Jeshi latanda Mjini Songea

Jeshi latanda Mjini Songea

Kwa nini serikali isitoe taarifa ya kinachoendelea ili kuwaondoa hofu wananchi?
Mara nyingi unapoona hali kama hiyo ni vizuri kujifungia ndani usije kukutwa na yasiyotarajiwa.
 
Kuweni na subra,tulieni musisikilize maneno ya mtaani.Serikali ndiyo itakayotoa tamko.
 
Nimejaribu kuwauliza walioko songea. Watu kama watano wamenipa visa/ sababu tofauti. Kila mtu anasema alichosikia.....tukumbuke info za kijeshi huwa zinatoka kwa utaratibu na sababu maalumu. Sio kama yule kamanda wetu wa mkoa maalum anavofanyaga.
 
Kuweni na subra,tulieni musisikilize maneno ya mtaani.Serikali ndiyo itakayotoa tamko.

Hivi mnakuwaga vipi..? Wasisikilize maneno ya mtaani wakati huko mtaani ndo kwenye mabomu na risasi...?? ... Watoa matamko wapo tuliii...
 
Nimejaribu kuwauliza walioko songea. Watu kama watano wamenipa visa/ sababu tofauti. Kila mtu anasema alichosikia.....tukumbuke info za kijeshi huwa zinatoka kwa utaratibu na sababu maalumu. Sio kama yule kamanda wetu wa mkoa maalum anavofanyaga.
Lakini kisa maalum wanakijua... Kwanini wasiwaambie ndugu zetu..? Unamuacha mtu anaendelea na shughuri zake halafu anakutana na mabomu na risasi huko huko
 
Update ya ki eti eti nyingine toka mtu aliyeko majengo Songea ni kwa inasemekana ndege ya alshaab imeonekana Songea halafu haijulikani imepotelea wapi. Ila kuna milipuko mikubwa kama mitano imetokea maeneo ya mjini.... Watu wamejifungia majumbani na JWTZ wamezagaa mitaani toka asubuhi kama alivyosema muanzisha mada
 
Mh hii hatari sasa, Hivi hata usingizi unaweza kuupata ktk hali kama hii.?

BACK TANGANYIKA
 
Kwani Songea si iko karibu na Burindi na si munajuwa huko Burundi kinani..
 
Update ya ki eti eti nyingine toka mtu aliyeko majengo Songea ni kwa inasemekana ndege ya alshaab imeonekana Songea halafu haijulikani imepotelea wapi. Ila kuna milipuko mikubwa kama mitano imetokea maeneo ya mjini.... Watu wamejifungia majumbani na JWTZ wamezagaa mitaani toka asubuhi kama alivyosema muanzisha mada

Jamani mbona Alshabab walidai hawana haja naw Tanzania? Hizi drama zinatokea wapi tena?

BACK TANGANYIKA
 
Kuna raia waonga na mnavyo sadadia vita nchi nyingne mnafikiri nin? eti Marekan imchape Urus! mnadhani vita ni kitu kizuri hapo ni bomu tu la machozi mnalialia! Songea hali ilikuwa si shwari barabarani ni kweupe nimehamisha makazi kwa mda mfupi nipo njiani naelekea Dar!
 
Kuna raia waonga na mnavyo sadadia vita nchi nyingne mnafikiri nin? eti Marekan imchape Urus! mnadhani vita ni kitu kizuri hapo ni bomu tu la machozi mnalialia! Songea hali ilikuwa si shwari barabarani ni kweupe nimehamisha makazi kwa mda mfupi nipo njiani naelekea Dar!

Kama umesafir leo basi umepekuliwa na jwtz
 
jamani ni mazoezi tu hayo
na zoezi la mabomu na risasi limedumu kwa nusu saa tu
na sasa kupo kimya
 
Back
Top Bottom