Mbugi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,488
- 258
Watanzania wapasha habari Bwana tabu tupu wakilindwa shida!!! wasipolindwa serikali gani hii??? mambo ni ilimradi tu wamelaumu hivi au vileHabari wakuu.
Kuna hali ambayo siyo ya kawaida hapa Songea kwani asubuhi ya leo kila kona hapa Mjini na nje ya Mji Wanajeshi wametapakaa mitaani na hakuna taarifa yoyote ya uhakika iliyopatikana, watu wameingiwa hofu hata vyombo vya usafiri ikiwemo bodaboda kama ilivyozoeleka hakuna.
Mji umepoa sana.
Kwa mwenye taarifa zaidi tujuzane waungwana.