Mwandwanga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,057
- 1,572
Sio JKT , ni JWTZ ingekua JKT tungezungumzia wale wa mlale ambao ni wakulima tu.
Angalia sare.
Ahsante, hapo kwenye vijana wa JKT kuna mchangiaji nilikuwa namjibu, yeye kadai wapo Routemarch...
Sio JKT , ni JWTZ ingekua JKT tungezungumzia wale wa mlale ambao ni wakulima tu.
Angalia sare.