Jeshi latanda Mjini Songea

Jeshi latanda Mjini Songea

Kwani kuna nini songea mbona mnatutisha af mmeleta habari isiyokamilika kwan wewe unashangaa wanajeshi?
 
Wanadumisha utamaduni wao au Kuna mkuu wao alifumaniwa na mke wa mtu akachezea kichapo sasa wapo mawindoni kwa waliohusika
 
Wanajeshi kutanda mjini songea ni kuimarisha usalama zaidi msiogope mpo mikono salama
 
Habari wakuu.

Kuna hali ambayo siyo ya kawaida hapa Songea kwani asubuhi ya leo kila kona hapa Mjini na nje ya Mji Wanajeshi wametapakaa mitaani na hakuna taarifa yoyote ya uhakika iliyopatikana, watu wameingiwa hofu hata vyombo vya usafiri ikiwemo bodaboda kama ilivyozoeleka hakuna.


Mji umepoa sana.


Kwa mwenye taarifa zaidi tujuzane waungwana.

Hiyo ndio mikwara ya madikteta,mafisadi wa Afrika.
Kuelekea uchaguzi hamtaona askari tu bali mtaona hadi vifaru,mabomu ya kutegwa aridhini,madege vita na kila uozo; huku mkioneshwa vita vya DRC, BURUNDI,SUDAN,KENYA, SOMALIA, SIRIA, IRAQ, AFAGHANSTAN, nk
 
Mazee msikonde, sisi tupo tunapasha misuli tu basi maana muda mrefu hatujapelekwa field (Si unajua nchi yetu amani ni ya kumwaga) ndiyo maana tukaonelea angalau leo week end tupashe misuli yetu town isije ikasinyaa. Tukitoka hapa tunakwenda zetu Officers' mess kutupia bia mbili tatu halafu adios.
 
Hiyo ndio mikwara ya madikteta,mafisadi wa Afrika.
Kuelekea uchaguzi hamtaona askari tu bali mtaona hadi vifaru,mabomu ya kutegwa aridhini,madege vita na kila uozo; huku mkioneshwa vita vya DRC, BURUNDI,SUDAN,KENYA, SOMALIA, SIRIA, IRAQ, AFAGHANSTAN, nk

Hakuna uhusiano wa mkusanyiko huu wa wazee wa kazi na ufisadi kama unavyotaka kuwaaminisha watu. Wewe subiri tu baadaye utajua kilichowakusanya.
 
Huwa mnasema Nchi haitakalika (MBOWE), sasa hayo manyunyu tu mlishakuwa na hofu ahhahhhah??? Usiogope kijana tuko kwenye mazoezi ya kawaida

Msiwafanye watu wapende kifo kama ninyi mnavyopenda kuishi!Watu wakifika hapo huo msamiati wa hofu utautafuta kwa tochi!Nadhani tatizo la wengi wa wakandamizaji ni kutokuwa na elimu ama kama wanayo basi kiburi huwafanya waamini wako salama kwa lolote watakalofanya kwa vile wana jeshi!Nawatakia mazoezi mema

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Na mimi nipo Songea sehem inaitwa Makambi, nimeuliza nikaambiwa ni mazoezi ya kawaida na nimeelezwa wapo hadi barabarani (za kwenda Njombe na Mtwara), mtoa taarifa wangu amenieleza kuwa pia hawa jamaa wametega mabomu (yasiyoua) pande hizi za milima ya Matogoro na watayalipua baadaye. Naambiwa pia ni trick ya kufichua na kuwathreat majambaz walioko mafichoni (kama wapo). Naendelea kuuliza uliza.
 
Na mimi nipo Songea sehem inaitwa Makambi, nimeuliza nikaambiwa ni mazoezi ya kawaida na nimeelezwa wapo hadi barabarani (za kwenda Njombe na Mtwara), mtoa taarifa wangu amenieleza kuwa pia hawa jamaa wametega mabomu (yasiyoua) pande hizi za milima ya Matogoro na watayalipua baadaye. Naambiwa pia ni trick ya kufichua na kuwathreat majambaz walioko mafichoni (kama wapo). Naendelea kuuliza uliza.

utaendelea kutujuza
 
Na mimi nipo Songea sehem inaitwa Makambi, nimeuliza nikaambiwa ni mazoezi ya kawaida na nimeelezwa wapo hadi barabarani (za kwenda Njombe na Mtwara), mtoa taarifa wangu amenieleza kuwa pia hawa jamaa wametega mabomu (yasiyoua) pande hizi za milima ya Matogoro na watayalipua baadaye. Naambiwa pia ni trick ya kufichua na kuwathreat majambaz walioko mafichoni (kama wapo). Naendelea kuuliza uliza.


Mmmh na wewe weka akiba ya maneno kha!!
 
Mmmh na wewe weka akiba ya maneno kha!!
Barabara ya kwenda mtwara ni ipi? Wacheni fix. Barabara kuu zinazoingia ni; Kuelekea mbinga(ikichukuliwa pale luhuwiko). Kuelekea njombe(ichukulie bombambili); Kuelekea tunduru(ichukulie Regional block); na kuelekea mitomoni(ichukulie lizaboni). deonova
 
Last edited by a moderator:
Acheni kutokwa povu leo kume kuwa na threat ya alshabab wanataka ku attack songea so jamaa wakatoka kuwaonyesha action polisi wasingeweza mziki wa hilo tukio
 
Jeshi bado limetanda kila kona ya Mji, hakuna taarifa rasmi inayoelezea nini kinachoendelea...

Tutaendelea kuwajuza..
 
Mazoezi tu wala usitie shaka!

Mkuu ungetujuza ni action ipi inaonyesha wanafanya mazoezi, wanakimbia mchaka mchaka, push-ups, goosmuch, au ni kipi hasa? Ungeweka na picha ingependeza zaidi
 
Back
Top Bottom