johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,879
Hahahaaaa........basi niseme mkoa tarajiwa wa Chato!Hakuna mkoa unaoitwa Chato..kuna na adabu bwashee..
Hahahaaaa........basi niseme mkoa tarajiwa wa Chato!Hakuna mkoa unaoitwa Chato..kuna na adabu bwashee..
Mkoni Chato tena?! Basi haya bwasheeNiko njiani nikitokea mkoani Chato bwashee!
Mmawia anagonga supu ya samaki nchanga muda huu!Mkoni Chato tena?! Basi haya bwashee
Ngoja Mmawia aamke utakiona cha moto 😂😂
Labda!Ni ishu za Ugaidi kule Msumbiji (nafikiri)
Wewe unakazi gani mpaka usiende?Najua muda huu mkuu Pascal Mayalla uko njiani kuelekea pale Ngome kuitikia wito wa JWTZ.
Natumai utatuhabarisha yanayojiri kama ulivyofanya juzi kwenye ule mkutano wa TOTAL.
Mungu wa mbinguni akupe wepesi.
Haya ni Matangazo ya kawaida ya kiutendaji na utawala wa jeshi hutangazwa na CDF, Dont worry. Ingawaje Hili ni tangazo maalum kwa lugha za kijeshi. Kama ingekuwa ni Tangazo la kuingia vitani lingetangazwa na Amiri Jeshi Mkuu mwenyewe. Hivyo tulieni. Acheni wasiwasi chapeni kazi.Magaidi wa ukweli wanaotishia usalama na uhuru kaakazini mwa Msumbiji na kusini mwa Tanzania. Sidhani kama wataongea mambo ya aibu ya uchaguzi mkuu 2020 kwa maana ya kushiriki kwao au kufanyishwa usafi kila mara CHADEMA wakitaka kufanya matembezi au wao kufanya usafi. Pengine sasa wanatangaza henceforth watafanya kazi zilizoainishwa na JWTZ. Tunachoomba usalama wa mipaka yetu.
Nilikuwa mkoani Chato ndio narudi Rombo manka.Wewe unakazi gani mpaka usiende?
Rombo hakuna kazi za ulinzi tenaNilikuwa mkoani Chato ndio narudi Rombo manka.
Kimei ametuchafua sana!
hakuna sababu za msingi za kuanzishwa mkoa wa tochaHahahaaaa........basi niseme mkoa tarajiwa wa Chato!
Tunalinda mpaka!Rombo hakuna kazi za ulinzi tena
Vipi, hii itakuwa ni mara yao ya kwanza katika miaka 60?
Binafsi sijawahi sikia tangazo kama hilo toka kwa watu hao. Nyakati zinabadilika sana.
Salam zimefika hizo
Tatizo mmezidi kudanganywa na nyie mnakubali tu kudanganywa kama mazuzu tuyaani ungejua mizizi na matawi ya CCM ilipokwenda wala hata usingejisumbua kuwaza hivyo...
Mkuu mbona umemkazia Sana , KWa nini watu wa ukanda huu hukana jina tajwa, Ili Hali unakuta ni sehem ya Kabila hiloWewe ni Mnyangara kawadanganye wasiyo kujua.
J.Zoka alitisha Sana.Wakati wa JK TISS walikuwa wanafanya mikutano na waandishi wa habari wanajibu hoja za upinzani.
Huyu namjua sana tu hana la kudanganya.Mkuu mbona umemkazia Sana , KWa nini watu wa ukanda huu hukana jina tajwa, Ili Hali unakuta ni sehem ya Kabila hilo
Sema unavizia pombe, kwa taarifa yako hakuna pombe tena Rombo ukija ujipange kunywa pepsiTunalinda mpaka!