Jesca Kishoa, asimamishwa Vikao viwili vya Bunge

Jesca Kishoa, asimamishwa Vikao viwili vya Bunge

HIVI Ninyi Mnajua Maana Ya Vikao Hasa!!!?? KAMA Kuna WABUNGE Wenu Tokea Mkutano Huo Umeanza Hadi Unaenda Mwisho, Hawajaudhuria Hata Kikao 1 Tu! Itakuwa Yeye Kuzuiwa Vikao Hivyo 2!!! ATHARI Yake Ni Ipi Hasa, Kama Mnaelewa!!??? Mh. Zitto Aliwahi KUTOLEWA Na Kuzuiwa KUUDHURIA VIKAO Karibia Mwezi Mzima!!! KWA Kusema UKWELI Kuhusu Kashfa Za Ufisadi!!! HIYO Ni Kawaida Saana Tu Kwa Bunge Kuwaadhibu Wabunge Wa Upinzani!!!

Lete ushahidi wa Wabunge ambao hawajaudhuria!
 
Wanacha kuadhibu mafisadi wa Escrow walioko Bungeni wanahangaika na wazalendo wa nchi hii!
NDIO DAWA PEKEE YA KUWAKOMESHA WABUNGE WA UKAWA AMBAO WENGI WAO WANA ELIMU YA HAPA NA PALE NA YA KUUNGA UNGA
 
mbinu za mapambano ya kijeshi zinaelekeza kujificha ili adui asikuone , na unamuacha apite halafu unamtandika risasi kwa nyuma , ushahidi haujashindikana bali hizo ni mbinu za bunge lijalo , hutaamini !
Ha ha ha!
Ngonjera hizi!!!
 
Wale waliosema anao ushahidi wako wapi?

Umewashuka shuu.
Ningeshangaa kama we kigagula usingejitokeza kwenye thread kama hii.....waite na mapumbavu wenzio...Lizaboni, Hamy-D,and the likes. Hizi ndio thread size yenu...
 
Ningeshangaa kama we kigagula usingejitokeza kwenye thread kama hii.....waite na mapumbavu wenzio...Lizaboni, Hamy-D,and the likes. Hizi ndio thread size yenu...

Yamekuingia, huna cha kujibu unaanza kuhororoja na kubwabwaja bila mpango.
 
Mwakyembe aliwapa chance ya kummaliza kumbe hawana data zaidi ya kuropoka tu!!
Mtu kawaambia Kama mkileta huo ushahidi najiudhuru hata ubunge!
Hizo data zingekuwepo si UKAWA wangeona ndio sehemu ya kupatia sifa???
 
Ningeshangaa kama we kigagula usingejitokeza kwenye thread kama hii.....waite na mapumbavu wenzio...Lizaboni, Hamy-D,and the likes. Hizi ndio thread size yenu...
Nenda kamfunde mbunge wako Kishoa. Asikurupuke tu ilhali hana ushahidi. Haya mambo ya kuwasilisha hoja bungeni alizopata akiwa amekumbatiwa chumbani yatamtokea puani. Ona sasa anavyodhalilika. Hakuna atakayemuamini tena
 
Mwakyembe aliwapa chance ya kummaliza kumbe hawana data zaidi ya kuropoka tu!!
Mtu kawaambia Kama mkileta huo ushahidi najiudhuru hata ubunge!
Hizo data zingekuwepo si UKAWA wangeona ndio sehemu ya kupatia sifa???
UKAWW wamejaa waropokaji tu. hawana hoja za maana
 
Kishoa kama alikosea ni kwenye figure lakini tukio ni halisi, na serikali ya ccm ukisikia wametaja billioni 60 zidisha mara tano hizo 60 ni za kwenye makaratasi tu.
 
Tatizo la Jesca Kishoa ni kiherehere na kutojua tofauti kati ya mazungumzo ya mtaani na Bunge! Wabunge wa aina yake wanatakiwa wajifunze kwa Dr Slaa ambaye alikuwa anawasilisha hoja au tuhuma akiwa na vielelezo vya uhakika. Jesca yeye kakazana kuengea mipasho ya kwenye vijiwe. Hii inashusha hadhi ya Bunge. Shameful behaviour!
mikoba ya slaa ataiweza atulie kwanz ajifunze
 
Huyo mwenyekiti wa Bunge anafukuza wabunge badala ya kuitaka serikali kuleta Bungeni mkataba wa manunuzi ya mabehewa na riport ya CAG? Hivi chenge anaweza kukemea mafisadi? Post za wana JF humu ndani kuna ushabiki sana wa kisiasa badala ya facts. Je anayoyafanya JPM yangefanywa na uongozi wa upinzani yangesemwa mangapi? Kweli tunaisoma Namba.
 
Wanacha kuadhibu mafisadi wa Escrow walioko Bungeni wanahangaika na wazalendo wa nchi hii!
Mzalendo mwenyewe nani? au huyo aliyejihamishai mabilioni ya chama kupeleka akaunt binafsi nje ya nchi!
 
Ameshindwa kuwasilisha ushaidi wa tuhuma dhidi ya Mwakyembe na hata Mwenyekiti alipomtaka afute maneno yake maana ameshindwa kuleta ushaidi aligoma kufuta maneno yake.

Hivyo Mwenyekiti akatangaza kuwa kwa mjibu wa kanuni ilibidi asimamishwe vikao vitano ila kwa sababu bado siku mbili bunge liishe anamsimamisha vikao viwili vilivyobaki kuanzia mchana huu.

NB. Pole Jesca Kishoa Umaarufu gharama.
Ikumbukwe ZZK nae aliwahi kutolewa bungeni kwa issue ya Buzwagi lakini baadae ikahit...
 
Mzalendo mwenyewe nani? au huyo aliyejihamishai mabilioni ya chama kupeleka akaunt binafsi nje ya nchi!
HUYO Mh. KISHOA Anaweza Vp Kuhamisha Pesa Za CHAMA Na Kupeleka Account Binafsi Nje Ya NCHI!!!!!!! Wkt Hana CHEO Chochote Kikubwa Ndani Ya CHAMA CHAKE!!!!!?? NADHANI UMEKARIRISHWA Vibaya, Ndio Ninyi Mliyofanywa MISUKULE Ya CCM!!!!!
 
Back
Top Bottom