pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 17,696
- 13,756
Kwa asili Israel ni nchi ya wyahudi tangu enzi hizi. hawa WAPALESTINA walihamia tu baada ya kunogewa kwani walikuwa wakipita kama wachuuzi. Soma vitabu vitakatifu utaona hili
Hajaulizwa Prof Lumumba, ameuliza humu kama hujui wewe nyamaza tu.Muulize Prof. Lipumba alipata kuandika na hata Kutetei Manyanyaso na Uonevu wa waislael kwa Waperestina...I am sure Prof.Lipumba can tell the story..
Sio lipumba tu,, hata nyerere alipinga udhalimu wa wayahudi na sie yeye tu hata mzee madiba pianilimshangaa eti anawatetea waperestina, kwani walikuwa wapikipindi waislael wanachukua ardhi wanayodai ni yao
Yule alikuwa mtesi sana, bora Mungu katuondolea lile balaaWewe ndio unajua binadamu wenzako wa kukaa motoni je wewe utakuwa wapi ukifa usifurahie vifo vya wenzako mpuuzi wewe
Mijitu humu hata uiambie vp imekaakama mazombi haisikiiSio lipumba tu,, hata nyerere alipinga udhalimu wa wayahudi na sie yeye tu hata mzee madiba pia