Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,301
- 3,411
Kuna uongo na Propaganda inaendeshwa na inapamba moto Kwa hasa haya makanisa ya kipentekoste ,wanadanganywa hawa kina Nentanyau ndio waisraeli ,ukweli huo ni uongo mkubwa ,Leo nitakupa mwanga kidogo ,mengine ukatafiti mwenyewe
Hawa wanaojiita israel Leo kihalisia ni waongo ,hawa wanatokea khazarian mashariki mwa Israel, hawa ndio Gogu na Magogu waliotajwa na nabii Ezekiel sura ya 38.
Baadae walihama baada ya khazarian empire kuanguka ,wakatawanyika na kwenda ulaya ,na maeneo mengine ,
Walipooenda Israel walipata nguvu kubwa sana ,na wakashika Serikali ,ukiangalia alama ya zaman ya khazarian ndio hiyo hiyo ipo kwenye bendera ya Sasa ya hawa kina Nentanyau,ni alama ya Hexagram yenye ncha 6
View attachment 2858834
Wajinga wanadanganywa ni nyota ya Daudi
Unakuta makanisani ,wachungaji na maaskofu Wana phd wameiweka madhabahuni
Hiyo alama ni ya kipagan kutoka enzi za khazarian empire,na ni Moja ya alama za freemasons
View attachment 2858828
Angalia raman hapa ya khazarian utaona na alama yao ndio hiyo hiyo ipo kwenye bendera ya Sasa ya Israel.
Biblia inasema katika ufunuo
Ufunuo wa Yohana 2:9
[9]Naijua dhiki yako na umaskini wako, (lakini u tajiri) najua na matukano ya hao wasemao ya kuwa ni Wayahudi, nao sio, bali ni sinagogi la Shetani.
Unaona Biblia inatuonya kuna wayahudi fake wanajiita wayahudi Original
Hawa ndio wanafanya hata matamasha ya ushoga pale Tel Aviv ,hawa Kwa kujificha wanajiita Zionism
Wayahudi halisi wapo wachache sana pale israel wengine ni wale wakiroho wanaotajwa na biblia wale wanaorithi ahadi za ibrahimu
Pale israel kuna upinzan mkubwa sana kati ya Wayahudi halis na hawa Zionist ambao ndio Khazarian au Ashkenazi ,
Ingia YouTube andika Zionism vs Judaism utaona jinsi Wayahudi halisi wanavyowapinga hawa kina Nentanyau,
Tatizo Judaism pale israel wapo wachache sana ,ndio maana ni ngumu kujua huu upinzani, media zinawapumbaza na vita za Jews vs palestina na kuambiwa muwabariki Israel hawa kina Nentanyau wanaofanya matamasha ya ushoga pale Tel Aviv na Jerusalem.
View attachment 2858829
Hawa Khazarian ndio Gogu na Magogu wanatokea pale pale Urusi ,Wakati Nabii Ezekiel anatabiri kuhusu Gogu na Magogu kwenye kitabu Cha Ezekiel 38 ,akisema watapigana na Israel siku za mwisho, kwasasa walisha migrate na wamejificha pale pale israel ,na Sasa wanadanganya watu wao ndio Israel halisi .,na Urusi ni upagani.
View attachment 2858830View attachment 2858831
Inasikitisha sana humo makanisani watu wameweka bendera yenye alama za kipagani ,
View attachment 2858832View attachment 2858833
Hawa wanaojiita israel Leo kihalisia ni waongo ,hawa wanatokea khazarian mashariki mwa Israel, hawa ndio Gogu na Magogu waliotajwa na nabii Ezekiel sura ya 38.
Baadae walihama baada ya khazarian empire kuanguka ,wakatawanyika na kwenda ulaya ,na maeneo mengine ,
Walipooenda Israel walipata nguvu kubwa sana ,na wakashika Serikali ,ukiangalia alama ya zaman ya khazarian ndio hiyo hiyo ipo kwenye bendera ya Sasa ya hawa kina Nentanyau,ni alama ya Hexagram yenye ncha 6
View attachment 2858834
Wajinga wanadanganywa ni nyota ya Daudi
Unakuta makanisani ,wachungaji na maaskofu Wana phd wameiweka madhabahuni
Hiyo alama ni ya kipagan kutoka enzi za khazarian empire,na ni Moja ya alama za freemasons
View attachment 2858828
Angalia raman hapa ya khazarian utaona na alama yao ndio hiyo hiyo ipo kwenye bendera ya Sasa ya Israel.
Biblia inasema katika ufunuo
Ufunuo wa Yohana 2:9
[9]Naijua dhiki yako na umaskini wako, (lakini u tajiri) najua na matukano ya hao wasemao ya kuwa ni Wayahudi, nao sio, bali ni sinagogi la Shetani.
Unaona Biblia inatuonya kuna wayahudi fake wanajiita wayahudi Original
Hawa ndio wanafanya hata matamasha ya ushoga pale Tel Aviv ,hawa Kwa kujificha wanajiita Zionism
Wayahudi halisi wapo wachache sana pale israel wengine ni wale wakiroho wanaotajwa na biblia wale wanaorithi ahadi za ibrahimu
Pale israel kuna upinzan mkubwa sana kati ya Wayahudi halis na hawa Zionist ambao ndio Khazarian au Ashkenazi ,
Ingia YouTube andika Zionism vs Judaism utaona jinsi Wayahudi halisi wanavyowapinga hawa kina Nentanyau,
Tatizo Judaism pale israel wapo wachache sana ,ndio maana ni ngumu kujua huu upinzani, media zinawapumbaza na vita za Jews vs palestina na kuambiwa muwabariki Israel hawa kina Nentanyau wanaofanya matamasha ya ushoga pale Tel Aviv na Jerusalem.
View attachment 2858829
Hawa Khazarian ndio Gogu na Magogu wanatokea pale pale Urusi ,Wakati Nabii Ezekiel anatabiri kuhusu Gogu na Magogu kwenye kitabu Cha Ezekiel 38 ,akisema watapigana na Israel siku za mwisho, kwasasa walisha migrate na wamejificha pale pale israel ,na Sasa wanadanganya watu wao ndio Israel halisi .,na Urusi ni upagani.
View attachment 2858830View attachment 2858831
Inasikitisha sana humo makanisani watu wameweka bendera yenye alama za kipagani ,
View attachment 2858832View attachment 2858833