Tatizo viongozi wa CCM wamepageuza PANGO LA WANYANG'ANYIIkulu ni mahala patakatifu
Najivunia hii ikulu nzuri ya nchi yangu.Jengo la Ikulu , Chamwino Dodoma lina tarajiwa KUZINDULIWA leo (Siku ya Sita ya Juma) na Mhe. Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN ( Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Sita )
Namuomba sana MUNGU, aliwekee WOGA, HOFU, WASIWASI na MASHAKA,.. ili liweze kukaliwa tu na watu sahihi. Na wale wasiokua sahihi wasipate nafasi hata ya kulisogelea.
"Ikulu ni mahala patakatifu" Mwl. Nyerere ( Hayati Baba Wa Taifa )
"MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA"
View attachment 2628286
Mkuu kuna kitu kinaitwa IDENTIFICATION utambue hilo kwanza ndio uhoji na pia ni km nembo ya taifa rejea maana ya NENO IKULU ni Nini ndio utaelewa zaidiNa mimi sielewi kwanini wamerudia ramani ile ile ya Dar ambayo ilijengwa na mkoloni,ndio kuitangazia dunia hatun uwezo wa kufanya mambo kwa akili zetu wenyewe?
Ulitaka ijengwe kwà Tembe au kwà bati za msauzi? Aah sio kweli bhana!!!Na mimi sielewi kwanini wamerudia ramani ile ile ya Dar ambayo ilijengwa na mkoloni,ndio kuitangazia dunia hatun uwezo wa kufanya mambo kwa akili zetu wenyewe?
AminaNajivunia hii ikulu nzuri ya nchi yangu.
Hii ni building code ya nchi yangu?
Mungu amlinde Rais anayeishi humo
Pale Magogoni ikulu ikageuzwa kuwa isolated area ambapo hata kupita pembeni ya ukuta iligeuzwa kosa la jinai. Barabara ya Barack Obama imefungwa imegeuka private road......Kwenye video za kutengeneza za hii ikulu kulikuwa na bustani za wanyama mbalimbali hapo nje,naomba kujua kama hao wanyama tayari wameshawekwa.
Hata kama haendeshi nchi vizuri, ni wajibu wetu kumuombea kwa Mungu amuongoze na kumlinda kiongozi wetu kwani yeye ndiye hutoa ulinzi na hekimaAmina
Good pointMkuu kuna kitu kinaitwa IDENTIFICATION utambue hilo kwanza ndio uhoji na pia ni km nembo ya taifa rejea maana ya NENO IKULU ni Nini ndio utaelewa zaidi
Wenzetu Kenya wanatuzidi kiuchumi lakini cheki Ikulu yao, simple tuJengo la Ikulu , Chamwino Dodoma lina tarajiwa KUZINDULIWA leo (Siku ya Sita ya Juma) na Mhe. Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN ( Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Sita )
Namuomba sana MUNGU, aliwekee WOGA, HOFU, WASIWASI na MASHAKA,.. ili liweze kukaliwa tu na watu sahihi. Na wale wasiokua sahihi wasipate nafasi hata ya kulisogelea.
"Ikulu ni mahala patakatifu" Mwl. Nyerere ( Hayati Baba Wa Taifa )
"MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA"
View attachment 2628286
Kwà zindiko la leo, nakuhakikishia...hawataendelea na mchezo huoTatizo viongozi wa CCM wamepageuza PANGO LA WANYANG'ANYI
Una maanisha kuanzia hawamu ya pili mpaka ya tano (kipindi cha kwa na cha pili) wako IKULU kwa kulazimishwa?Wale wote wenye uchu wa Madaraka,
Wenye tabia za kufuja mali za Umma,
Wasiokua na UZALENDO
Wasipate kabisa nafasi ya kuishi, kukanyaga ndani ya jengo hilo.....mipango yao , mawazo yao...yakawe yanapanguliwa na Mungu , wasiweze kabisa kulifikia.
Amina kubwaHata kama haendeshi nchi vizuri, ni wajibu wetu kumuombea kwa Mungu amuongoze na kumlinda kiongozi wetu kwani yeye ndiye hutoa ulinzi na hekima
Kwenye komenti yangu umekejeli then huku umekubali... Unafiki huoGood point
really? ......kusingekuwa rushwaIkulu ni mahala patakatifu
Ulishasema KENYA, hapa ni Tz Bob!!!! Ni suala la uamuzi tu.Wenzetu Kenya wanatuzidi kiuchumi lakini cheki Ikulu yao, simple tu
Kabisaa,utadhani msikitiYaani hata architects wa Victorian age wasinge design utopolo kama huu
Hivi nyie mnaosemaga Kenya imeizidi Tanzania huwa mmelogwa au?Wenzetu Kenya wanatuzidi kiuchumi lakini cheki Ikulu yao, simple tu
Una umri gani Ndugu?Kupoteza fedha bure, hapakuwa na sababu ya msingi kuhamia Dodoma. Sababu za zamani zilizotolewa kuhamia Dodoma hazina maana tena leo katika digital world!