Huyu jamaa hana lolote ni tapeli mmoja kwa sasa kaishiwa pesa ndio maana anajufanya kupiga keleleJe, kweli Jenerali Ulimwengu anawatumikia watanzania kama vile alivyokuwa Habari Corparation, Chanel na sasa yupo gazeti la Raia Mwema, au tuseme sasa anamtumikia mwanasiasa mmoja aliekuwa maarufu?
Nasena hivyo hasa baada ya miaka ile alikuwa ni mmoja ya waandishi waliokuwa wanafichua maouvu mpaka kufikwa kufukuzwa nchini lkn sasa tunamuona amegeuka kabisa, anawapamba mafisadi
Duh nilifiri Malaria Sugu amerudi kumbe umeibua mada ya enzi zile.Huyu jamaa hana lolote ni tapeli mmoja kwa sasa kaishiwa pesa ndio maana anajufanya kupiga kelele
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
0Je, kweli Jenerali Ulimwengu anawatumikia watanzania kama vile alivyokuwa Habari Corparation, Chanel na sasa yupo gazeti la Raia Mwema, au tuseme sasa anamtumikia mwanasiasa mmoja aliekuwa maarufu?
Nasena hivyo hasa baada ya miaka ile alikuwa ni mmoja ya waandishi waliokuwa wanafichua maouvu mpaka kufikwa kufukuzwa nchini lkn sasa tunamuona amegeuka kabisa, anawapamba mafisadi
Anawapamba mafisadi si kwa ajili wanataka kumuua .Je, kweli Jenerali Ulimwengu anawatumikia watanzania kama vile alivyokuwa Habari Corparation, Chanel na sasa yupo gazeti la Raia Mwema, au tuseme sasa anamtumikia mwanasiasa mmoja aliekuwa maarufu?
Nasena hivyo hasa baada ya miaka ile alikuwa ni mmoja ya waandishi waliokuwa wanafichua maouvu mpaka kufikwa kufukuzwa nchini lkn sasa tunamuona amegeuka kabisa, anawapamba mafisadi
Aisee
Kivipi?
Chuma, halafu kuna nyingine alikuwa na Samora Machel. Huyu jamaa nahisi alikuwa mafia wa hatari sana enzi ya Nyerere
Mada ya zamani inashabihiana na nyakati tulizonazo!Duh nilifiri Malaria Sugu amerudi kumbe umeibua mada ya enzi zile.
Chuma, halafu kuna nyingine alikuwa na Samora Machel. Huyu jamaa nahisi alikuwa mafia wa hatari sana enzi ya Nyerere
Kuna kikosi kazi kisha kuna kikosi kazi maalum.Chuma, halafu kuna nyingine alikuwa na Samora Machel. Huyu jamaa nahisi alikuwa mafia wa hatari sana enzi ya Nyerere
Sasa mgalilaya wa kongwa anajitutumua kugombana nae nini? Yeye akapigane fimbo na wagiligili wenzake huko kongwa ya galilaya ambalo alimuona mke wa yesu wake.Kuna kikosi kazi kisha kuna kikosi kazi maalum.
Huyu alikuwa kwenye kikosi kazi maalum.
Mafisadi wote wako çcm kuanzi ikulu mpaka chiniJe, kweli Jenerali Ulimwengu anawatumikia watanzania kama vile alivyokuwa Habari Corparation, Chanel na sasa yupo gazeti la Raia Mwema, au tuseme sasa anamtumikia mwanasiasa mmoja aliekuwa maarufu?
Nasena hivyo hasa baada ya miaka ile alikuwa ni mmoja ya waandishi waliokuwa wanafichua maouvu mpaka kufikwa kufukuzwa nchini lkn sasa tunamuona amegeuka kabisa, anawapamba mafisadi
Fafanua,Je, kweli Jenerali Ulimwengu anawatumikia watanzania kama vile alivyokuwa Habari Corparation, Chanel na sasa yupo gazeti la Raia Mwema, au tuseme sasa anamtumikia mwanasiasa mmoja aliekuwa maarufu?
Nasena hivyo hasa baada ya miaka ile alikuwa ni mmoja ya waandishi waliokuwa wanafichua maouvu mpaka kufikwa kufukuzwa nchini lkn sasa tunamuona amegeuka kabisa, anawapamba mafisadi
Jenerali yuko overrated tu hana lolote la ajabu. Wakati wa JPM miaka yote 5 aliufyata kama mjinga kwa vile alijua yule kichaa Mwendazake anaweza mpoteza. Sasa ameanza chokochoko kipindi cha Mama ili aonekane kuwa naye yupo.
Hicho kichwa endelea tu kufugia nywele maana hakina matumizi mengineJenerali yuko overrated tu hana lolote la ajabu. Wakati wa JPM miaka yote 5 aliufyata kama mjinga kwa vile alijua yule kichaa Mwendazake anaweza mpoteza. Sasa ameanza chokochoko kipindi cha Mama ili aonekane kuwa naye yupo.