Kanyawela
Senior Member
- Aug 22, 2015
- 178
- 190
Nadhani wakati huo lilishamilikiwa na mtu mwingine ( New habari )Sina imani naye hata kidogo tokea gazeti lake la Rai kwenye kampeni ya 2005 limchafue Salim na kumpamba JK na wengi walioshiriki walibarikiwa kupewa vyeo!! sio bure na siku hizi gazeti lake hili Raia limebadilika siyo lile la mwanzoni yetu macho!!!