Jenerali Ulimwengu afunguka kuhusu Rais Mkapa

Jenerali Ulimwengu afunguka kuhusu Rais Mkapa

Ulimwengu kasema ukweli ambao wengi huwa hawapendi kusikia. Rais mstaafu marehemu B W Mkapa aliuza NBC kwa pesa za kutupwa, licha ya kufanya nchi yetu kuwa watumwa wa SA. Aliwapa zawadi Air Tanzania pamoja na Tanesco.

Yapo mazuri ambayo alifanya lakini mabaya ndio yanakumbukwa.
 
Mmmh haya
May God have a Mercy upon us!
Mambo mengi duh!
Pumzika papaa ya ulimwengu umeyaacha nenda salama
 
Kusema kweli kifo cha Mkapa hakijaniuma hata kidogo. Nakumbuka tu ushenzi aliofanya Mwembechai kwa watu wasio na hatia. So far Kiongozi pekee kama ikitokea akatangulia itaniuma kiasi fulani ni Kikwete peke yake! Nasema Kikwete peke yake! Labda aje atokee mwingine!
Babu seya na familia yake hawatauzunika jk akifa, lowassa na wanamtandao hawatauzunika pia.
Kiufupi huwezi kupendwa na kila mtu
 
for 15 yrs now he has been critic to Big Ben kila aandikapo makala ama platform....Lakini kweli apart from his ups n down against Mkapa anakuwaje na 80% negative on Mkapa
Ulimwengu achunguzwe! Kichwa yako haupo sawa!
 
Akijaribu kanamtafuna na hilo analijua ,labda anavizia Magu amalize utumishi wa umma
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mbona hakusema kabla hajafa?
Uoga au unafiki tu, sasa anashindana na marehemu
 
Ni raisi pekee,kama sio ktk nchi za Afrika,aliyeweza kukusanya mapato,na kuanza kulipa madeni ya nje,ya world bank,na IMF,
Ila alikuwa haambiriki,ubinafsishaji,aliingiza nchi chaka
Uuze viwanda vyako vyote na mashirika ulipe madeni unabakia na nini? Agekuwa kichwa angegawa container terminal ya TPA ambayo ndio ilikuwa kitengo kinachoingiza pesa nyingi?
 
Kusema kweli kifo cha Mkapa hakijaniuma hata kidogo. Nakumbuka tu ushenzi aliofanya Mwembechai kwa watu wasio na hatia. So far Kiongozi pekee kama ikitokea akatangulia itaniuma kiasi fulani ni Kikwete peke yake! Nasema Kikwete peke yake! Labda aje atokee mwingine!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Na lazima mtakula sana mataoishi yenu,!

Wakati Mnyika anamuita JK dhaifu mlikuwa mnazungusha mikono kushangailia
 
Ni raisi pekee,kama sio ktk nchi za Afrika,aliyeweza kukusanya mapato,na kuanza kulipa madeni ya nje,ya world bank,na IMF,
Ila alikuwa haambiriki,ubinafsishaji,aliingiza nchi chaka
mbona hata meko anasema kila siku analipa deni la nje kwa pesa za ndani au huwa humsikii
 
Back
Top Bottom