Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,232
- 113,610
Duh!
Naona Jenerali Ulimwengu na marehemu Rais Mkapa walikuwa hawapikiki chungu kimoja!
Naona Jenerali Ulimwengu na marehemu Rais Mkapa walikuwa hawapikiki chungu kimoja!
Jamaa huwa hana unafiqUzuri wa Jenerali huwa hakwepeshi wala kuremba
Hahahaha, nusu amvue uraiaAlimtesa Jamaa Sana
You think so?Ulimwengu is being harsh unnecessary.
Mkapa hakuwahi kufanya mahojiano na mwandishi mzawa? Alikuwa anawadharau waandishi wa nchini kiasi hicho?Nimesikiliza mpaka mwisho wa mahojiano na Jenerali amejibu kile alichoulizwa hasa kuhusu maoni yake.Hayo ni maoni yake na nakumbuka kuwa kwa kipindi chote cha utawala wake hakuwahi kufanya mahojiano ya mwandishi wa habari mzawa.
Mimi binafsi kuna mazuri ambayo alifanya na mojawapo ni kujenga mifumo ya kiserikali,hii TRA tunayoiona leo,kisomo kwa watoto waliokosa nafasi (MEMKWA) na alimudu kudhibiti inflation kwa miaka yote kumi.Pia aliweza kutoa pesa kwenye mifuko ya watu binafsi na kuirudisha serikalini kimya kimya (Enzi za Mwinyi pesa ilikuwa mifukoni mwa watu tena wengeine kwa ujanja ujanza).Ukiondoa ujeuri wa Kimakua naona alijitahidi sana kulijenga Taifa.Mengineyo alishatubu kwenye kitabu chake.
Anaishi hapahapa Bongo na anafahamu mipaka yake ya kuongea na kutumia freedom of speech.😳😳😳 Huyu jamaa anaishi nchi gani ?
Yes,kama kumbukumbu zangu ni sawa.Mkapa hakuwahi kufanya mahojiano na mwandishi mzawa? Alikuwa anawadharau waandishi wa nchini kiasi hicho?
Hakuna 80%,nafikiri tunaweka hisia zetu na preconceived information.for 15 yrs now he has been critic to Big Ben kila aandikapo makala ama platform....Lakini kweli apart from his ups n down against Mkapa anakuwaje na 80% negative on Mkapa