Jenerali Ulimwengu afunguka kuhusu Rais Mkapa

Jenerali Ulimwengu afunguka kuhusu Rais Mkapa

for 15 yrs now he has been critic to Big Ben kila aandikapo makala ama platform....Lakini kweli apart from his ups n down against Mkapa anakuwaje na 80% negative on Mkapa
Hata hapo kajitahidi mimi ningekua na 95% negative to Mkapa
 
Kusema kweli kifo cha Mkapa hakijaniuma hata kidogo. Nakumbuka tu ushenzi aliofanya Mwembechai kwa watu wasio na hatia. So far Kiongozi pekee kama ikitokea akatangulia itaniuma kiasi fulani ni Kikwete peke yake! Nasema Kikwete peke yake! Labda aje atokee mwingine!
 
Hivi Generali anaiva na nani?
Jakaya aliiva naye siku chache sana za mwanzonimwanzoni mwa utawala wake.
Labda JPM anaiva nae.
Duh! Huyu ndiyo kabisaaa, ni heri na Mkapa tena.
 
Uuuzwaji wa nyumba za serikali,ubinafsishaji wa Mashirika ya Umma,Net group solution......R.I.P Mzee wetu.
 
Jenerali inaonekana bado ana hasira za kunyang'anywa uraia na kunyimwa uwaziri wa habari na utangazaji!

Hakuna binadamu asie na kasoro .. mtu akifa tunatoa sifa njema, tunaondoa vinyongo banaa
Jenerali sio mnafiki..
Anasema ukweli na haya ni maoni yake..
Kwanini amsifie akiwa amekufa sembuse akiwa hai hajawahi kumsifia na wakati hizo sifa yeye hazioni..?!
KUDOS Jenerali Twaha Ulimwengu.
 
for 15 yrs now he has been critic to Big Ben kila aandikapo makala ama platform....Lakini kweli apart from his ups n down against Mkapa anakuwaje na 80% negative on Mkapa
Umewahi kupata msukosuko wowote na wenye Mamlaka au unaongea tu! chukulia mfano mtu kama LISU aliyotendewa kisha akiulizwa habari ya watawala wa leo ajibu vzr..... kuepuka haya watu tuishi kwa kuheshimiana bila kujali vyeo
 
for 15 yrs now he has been critic to Big Ben kila aandikapo makala ama platform....Lakini kweli apart from his ups n down against Mkapa anakuwaje na 80% negative on Mkapa
...inawezekana ni wajenzi huru hao-wanajuana !
 
Jenerali kaonyesha immaturity kubwa kwenye hii Interview.


Mkapa kipindi cha utawala wake Alidhibiti mfumuko wa bei, hata nauli ya daladala ilibaki shilingi 150 kwa muda mrefu sana kwenye utawala wake

Alipandisha kipato cha mtanzania kutoka dola 170 kwa mtu hadi 500 kwa mtu kwa mwaka.

Alijenga Taasisi imara, TCU, NHIF, NSSF, TANROADS, LOANSBOARD.

Alikuwa na Programmes za maendeleo kama vile MKUKUTA, Mkakati wa kuondoa umasikini Tanzania, MMEM Mpango wa Elimu ya Msingi, MEMKWA, MKURABITA

Ni Mkapa ndiye aliyewaita wenye magazeti ya Mwananchi na The Citizens waje wawekeze Tanzania

Ni Mkapa ndiye aliyeanzisha TV ya Taifa (TBC1)

Ni Mkapa ndiye aliyetujengea uwanja bora kabisa na wa kisasa wa mpira hapa Dar

Pia alikuwa Jasiri kukiri makosa na kurekebisha, Serikali yake ilipounda Bodi ya Parole na kuweka wakiristo watupu, alikuwa wa kwanza kuona tatizo na immediately kuamua kuivunja na kuiunda upya.

Mitihani ya kidato cha nne ilipovuja kama njugu mwaka 1998, Aliifuta mitihani na kuleta mingine.

Waislamu walipolalamika kuwa hawajanufaika ipasavyo na matunda ya uhuru katika elimu, aliwapa majengo ya Tanesco wajenge chuo chao lakini wakati huohuo pia akabalance kwa kuwarudishia makanisa baadhi ya shule zao zilizochukuliwa na Nyerere

Sasa Jenerali Ulimwengu asilete chuki zake binafsi kwenye msiba wa mzee wetu.

Na kabla ya kuwa rais, Benjamin Mkapa alifanya kazi nzuri sana kama waziri wa. mambo ya nje kipindi cha Vita vya Kagera na pia alifanya kazi nzuri sana kwenye ukombozi wa kusini mwa Afrika

Mzee Mkapa katutoa mbali, Jenerali akae na chuki zake lakini tunayo rekodi nzuri ya kutukuka ya mzee wetu
 
Jenerali kaonyesha immaturity kubwa kwenye hii Interview.

Mkapa alijenga taasisi Imara nyingi tu za nchi yetu

Alidhibiti mfumuko wa bei.

Alipandisha kipato cha mtanzania kutoka dola 170 kwa mtu hadi 500 kwa mtu kwa mwaka
Alijenga Taasisi imara, TCU, NHIF, NSSF, TANROADS, LOANSBOARD.

Alikuwa na Programmes za maendeleo kama vile MKUKUTA, Mkakati wa kuondoa umasikini Tanzania, MMEM Mpango wa Elimu ya Msingi, MEMKWA, MKURABITA

Ni Mkapa ndiye aliyewaita wenye magazeti ya Mwananchi na The Citizens waje wawekeze Tanzania

Ni Mkapa ndiye aliyeanzisha TV ya Taifa (TBC1)

Ni Mkapa ndiye aliyetujengea uwanja bora kabisa na wa kisasa wa mpira hapa Dar

Pia alikuwa Jasiri kukiri makosa na kurekebisha, Serikali yake ilipounda Bodi ya Parole na kuweka wakiristo watupu, alikuwa wa kwanza kuona tatizo na immediately kuamua kuivunja na kuiunda upya.

Mitihani ya kidato cha nne ilipovuja kama njugu mwaka 1998, Aliifuta mitihani na kuleta mingine.

Waislamu walipolalamika kuwa hawajanufaika ipasavyo na matunda ya uhuru katika elimu, aliwapa majengo ya Tanesco wajenge chuo chao lakini wakati huohuo pia akabalance kwa kuwarudishia makanisa baadhi ya shule zao zilizochukuliwa na Nyerere

Sasa Jenerali Ulimwengu asilete chuki zake binafsi kwenye msiba wa mzee wetu.

Na kabla ya kuwa rais, Benjamin Mkapa alifanya kazi nzuri sana kama waziri wa. mambo ya nje kipindi cha Vita vya Kagera na pia alifanya kazi nzuri sana kwenye ukombozi wa kusini mwa Afrika

Mzee Mkapa katutoa mbali, Jenerali akae na chuki zake lakini tunayo rekodi nzuri ya kutukuka ya mzee wetu
Kuna cha uongo ama uzushi katika alichokisema Jenerali?
 
Back
Top Bottom