Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,712
- 96,771
Tanesco = Net Group solutionsUlimwengu kasema kweli hapo kwenye ubinafisishaji. Angalia Tanesco na wale wa South nimesahau jina lao. Board ya mikopo mpaka leo ni uozo tu.Binafsi natafuta la kumkumbuka Mkapa lililo zuri wala sioni zaidi ya Yeye na Koffi Anan kusaidia Raila Odinga na Kibaki wakaelewana kwa kuanzishwa cheo cha waziri mkuu kwa term moja.
Hivi Air Tanzania na South Africa Airways haukua kipindi chake?