kombaME
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 2,115
- 2,819
HaahahahhaahahaNdodi alimfanya bibi angu asichemshe maji eti anaanika tu
HaahahahhaahahaNdodi alimfanya bibi angu asichemshe maji eti anaanika tu
Mkuu wewe ni Daktari wa Meno?Amenisaidia mpka Leo hii ni najua dawa za jino na ninasaidia sana watu kijjn kwangu kwa tatizo lolote LA jino.endeleeni kuponda watu wanapona
Kaveli uliupata huu wimbo?Hivi ile kwaya iliyokuwa ikichezwa background RFA wakati wa kipindi chake, unaitwaje ule wimbo? naupenda mnooo. Nilikuwaga nafurahia pale tu unapoanza kusikika. Nilishautafuta ule wimbo bila mafanikio, nadhani ni wimbo wa AIC kwaya.
-Kaveli-
Namkubali sana huyu mwamba.Amerudi radio Uhuru jumatau hadi alhamis na jumapil kuanzia SAA NNE usiku ,,pia ofisin kwake malamba mawili mbezi
Ni kawimbo flani kataamu sana.Kaveli uliupata huu wimbo?
Maelezo ya huo wimbo yapo kwenye thread moja humu ngoja nikutagNi kawimbo flani kataamu sana.
"Hakiiika hakiiiiika natembea mimi ni marehemu"
What a beautiful song aisee tafuteni jina lake mtujuze najaribu kupenda Gospel nowadays
Naomba unielekeze vizuri tafadhalinakumbuka nilikua nafuatilia channel ten nafikiri, alitoa tiba ya mafua kwa kutumia kitunguu swaumu, nilijaribu kweli kuchukua kitunguu swaumu nikakitwanga na kupaka kwenye nyayo za miguu, nilipo amka ahsubuhi pua zilikua nyeupe. sijui yukowapi sikuizi huyu jamaa.
unachukua kitunguu swaumu unavitwanga alafu kabla hujalala usiku, unanawisha nyayo za miguu ziwe safi, unapaka kitunguu swaumu kwenye nyayo za miguu, itabidi uangalie pozi gani utalala ili usichafue kitanda, unaacha hivo hivo mpaka ahsubuhi.Naomba unielekeze vizuri tafadhali
Asante sana mkuuunachukua kitunguu swaumu unavitwanga alafu kabla hujalala usiku, unanawisha nyayo za miguu ziwe safi, unapaka kitunguu swaumu kwenye nyayo za miguu, itabidi uangalie pozi gani utalala ili usichafue kitanda, unaacha hivo hivo mpaka ahsubuhi.
Mganga hajigangi mkuu...😂Kanenepa kuliko Msechu
Hahaaa amekimbia mwembechai itumbi hoteli ,hali ngumuAmerudi radio Uhuru jumatau hadi alhamis na jumapil kuanzia SAA NNE usiku ,,pia ofisin kwake malamba mawili mbezi
Nitaanza kumfatilia ,Hivi Radio Uhuru inapatikana Online TuneIn?Amerudi radio Uhuru jumatau hadi alhamis na jumapil kuanzia SAA NNE usiku ,,pia ofisin kwake malamba mawili mbezi
100% ni utapeli. Na ni kawaida sana ya tapeli kuwa na lugha nzuri.
Daaah! Kitambo sana aiseeHahahah! Ngwizukulu jilala au matunge herbalist
Naomba uniambie ni dawa gani hiyo mkuu?Tangu nifuate ushauri wake ni miaka minne sasa siijui dawa ya malaria.Kabla nilikuwa nakunywa dawa hizi kila baada ya miezi miwili.Ilikuwa ni lazima uugue malaria
Kinaitwa "natural remedy encyclopedia"Zile tiba ni kweli ila kwa kuzuia magonjwa zaidi. Ukishasubiri hadi hali iwe tete lazima umuite tapeli. Halafu kipo kitabu cha kutib u zaidi ya magonjwa 500 ukikipata hicho hutakanyaga kwa ndodi