Nimeshawahi onana nae kariakoo anavaa baggy jeans hatari na ka tshirt kanabana hatari
Hahah kipindi kile sijui hata tulikua na ujinga gani kichwani.haaaahaaaahaaa hapo sasa unachemsha unataka nn kama sio umbea. mwee kama kuliwa tumeliwa sn na ndodi
Sasa hv Kuna Dr kumbukaHafu Hawa kina Dr ndondi waliibuka enzi za kina Jakaya, Mara Dr Rahabu, Mara Dr. Mwaka Yani mtu anajiita Dr na hajaenda kusoma bachelor ya medicine Muhimbili na serikali Ina mchekea tu.
Kigwangala siku hizi yuko bize kuomba pikipiki za mkopo kwa Mo Dewji mpk wanamuita Hamisi Mikopo.Hivi ni tofauti na huyu rafiki yake Kigwangala aliyepo TBC kila siku akitudanganya? Sheria ya Kigwangala sijui iliishia wapi.
Acha kupotosha watu. Sio kweli hayo uliyoandikamambo mawili
la kwanza hao wadudu wamepandikizwa yaan wakuletwa wameundwa maabara
jambo la pili ambalo ndio kuu zaidi hawatumii mbegu za asili zile za zamani ambazo zilikuwa na uwezo wa kuhimili magonjwa kwa kiasi kikubwa unaweza mche 1 tu ukawa umeathirika na mingne ikawa poa lkn mbegh hizi za kisasa ugonjwa ukianza mche 1 tegemea shamba zima km ujamwagilia dawa zao
SOLUTION tutumie mbegu zetu za hasili za zamani kuepusha madhala
mana nimeshangaa siku hizi mpk mpunga unatiwa mbolea unapuliziwa na dawa aisee sasa hii si balaa inapoelekea mpk muhogo utawekwa mbolea aisee
Ebu pinga kwa hoja mkuu, kusema ninapotosha bado haitoshiSio kweli mkuu. Unapotosha watu
Unga wa dona hauna aflatoxin ungekuwa na hicho usemacho ungekuwa umepigwa marufuku kwa matumizi ya binadamu na wanyama. Aflatoxin inatokea pale unga unapopata unyevu wakati wa ku uhifadhi ambapo unazalisha utando.Na Pia kiini cha mbegu ya mahindi hakina aflatoxin kama kingekuwa nacho mahindi yasingekuwa yanatumika yangekuwa sumu.Ebu pinga kwa hoja mkuu, kusema ninapotosha bado haitoshi
Mtumishi wa Kisabato huyo.NENDA PALE MAGOMENI MWEMBE CHAI ALIKUWA NA KITUO CHAKE KIKUBWA TU
Tulimpeleka mtoto kwake akiwa anasunbuliwa na minyoo akatuambia matibabu yake ni laki tisa......yani 900k au kwa jina lingine mia tisa elfu
Hapo penyewe ni sahihiHahah jamaa mswahili sana yule.
Anakwambia kwny tendo mwanamke ni kama chungu kinachelewa kupata moto na kinachelewa kupoa huku mwanaume ni kama sufuria linawahi kupata moto na linawahi kupoa.
Kha!kha!,Umenivunja mbavu balaa,yaani anatuzuia sisi wengine halafu yeye anatumia.Kampuni za Soda inabidi zimshitaki Kwa kuwaharibia soko.Anakwambia:
Matumizi ya sukari siyo mazuri. Hizi soda tunazokunywa na sukari tunazoweka kwenye chai zinaharibu afya zetu badala yake inatakiwa utumie asali.
Kwanza asali siyo tamu kama unabisha lamba asali halafu sikilizia ule utamu wake mwishoni utaona asali ni chungu.
Kwahiyo jitahidini kutumia asali, achana na sukari achana na soda.
Kuna member humu akasema akiwa mgahawani mkoa fulani bwana ndodi akiwa na kitambi kimeiva alinunua ugali wa sembe(unga anaokataza), kuku nusu (wa kizungu na kaungwa mafuta anayokataza), alivyomaliza akashushia na fanta baridi.
Sure mkuu.Ila siku hizi unaweza kutunza mahindi bila kuweka dawa,kwa kutumia mifuko ya Kinga njaa.Unatakiwa kuandaa vema mahindi yako.... Na usipende kutumia mahindi ambayo haujui yametokea wapi. Mengine wameyahifadhi na masumu ya wa dudu so ukisaga dona unakuwa katika hatari.
Mahindi mazuri ni yale unayawahi shambani kabla hayajapelekwa ghalani na kuwekwa dawa.
By the way, wakulima wetu tu miaka hii ni washamba na malimbukeni. Back in a day haya madawa ya kuzuia wadudu waharibifu hayakuwako na mahindi yalihifadhiwa vema tu na yakawa salama mwaka mzima na hata miaka.
Matumizi ya mapipa, na zile ghala za jadi. Tujifunze namna salama za kuhifadhi mazao tuachane na usenge wa kuiga kila tunacholetewa........ Ufala tu
ExactlyUnga wa dona ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).
Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.
Mkuu....Mmmmmmhmn so mababu na bibi zetu ambao wamekula dona maisha yao yote hiyo Aflatoxin haikuwapo au ndio mzungu ni kama MUNGU anachosema na asikilizwe?!
Unajua madhara ya kula masembe wewe?!
Unga wa dona unbalance virutubisho na ndio maana hata wagonjwa wa kisukari wanatakiwa kutumia huo na sio ule wa sembe. Sembe sio nzuri kwasababu inasababisha mwili kuzalisha kiwango kikubwa sana cha sukari inayotokana na wanga wake. Na mwishowe ndio watu wanakuwa na mifuta mwilini na haieleweki inatokea wapi.
Nilienda kufanya majaribio kwenye ishu ya msumari,nikakuta sio kweli,tokea hapo niliendea kutwanga coca km kawa.Jamaa anakwambia Ukichukua Coca-cola ukaichemsha kuna vitu vinabaki kwny sufuri,zile ni sumu.
Sasa unajiuliza unachemsha Coca ili upate nini?Maana haikutengenezwa ili ichemshwe.
Pili inayobaki chini kwny ile sufuria si ni ile sukari ya kiwandani 'industrial sugar' au?
Ndodi anakwambia hio ndio ile sumu niliyokua nakwambia na ndio maana ukichukua msumali ukauweka kwny Coca baada ya siku kadhaa utaukuta na kutu au ukimimina Coca kwny choo kilichojaa inaenda inasafisha vzr kabisaaa.
Hahah jamaa aliwezaga kutupiga Saundi sana aisee.
Sumu ya Aflatoxin inatokea tu ikiwa mahindi yalivunda, kama yalikauka vizuri na hayakuingia maji mahindi hayana shida kabisa. Pia sumu hiyo inaua haraka, otherwise ungeona watu wanaanguka kila mahali kwa sababu ya kula ugali.
Sawa inabidi tuchukue tahadhari lakini sio kweli kuwa unga wa dona una sumu.
Ebu ngoja niwape darasa kwanza.....Mkuu hapa umetupiga fix, sumu kuvu (aflotoxin) haisababishwi na kiini bali uhifadhi mbaya ambao hupelekea mahindi kutengeneza kuvu hiyo kuvu sasa ndio huzalisha hiyo sumu
Pia inapatikana kwenye karanga na mazao mengine mengi tu ambayo hayakuhifadhiwa vizuri sasa na kwenye karanga utasema kuna kiini
Hata huo unga wa sembe (ukishakua tayari) kama haukuhifadhiwa mahali pakavu vizuri bada unaweza tengeneza kuvu na kisha kutokeza sumu ya aflotoxin
Hiyo sumu siyo kila unga wa dona unayo. Inakuwa kwenye unga iwapo mahindi hayakukaushwa vizuri na kuweka fungus ambao wanazalisha hiyo sumu. Na pia inahitaji iliwe kwa kiwango kikubwa na mara kwa mara. Hata ukikoboa haisaidii. Nadhani solution ni kuhifadhi mahindi vizuri. Risk yake siyo kubwa sana kwani mahindi yamekuwa sehemu ya mlo wa aafrika wengi kwa uda mrefu.Mmmmmmhmn so mababu na bibi zetu ambao wamekula dona maisha yao yote hiyo Aflatoxin haikuwapo au ndio mzungu ni kama MUNGU anachosema na asikilizwe?!
Unajua madhara ya kula masembe wewe?!
Unga wa dona unbalance virutubisho na ndio maana hata wagonjwa wa kisukari wanatakiwa kutumia huo na sio ule wa sembe. Sembe sio nzuri kwasababu inasababisha mwili kuzalisha kiwango kikubwa sana cha sukari inayotokana na wanga wake. Na mwishowe ndio watu wanakuwa na mifuta mwilini na haieleweki inatokea wapi.
Mkuu, ebu acha kuniaibisha basi.....Unga wa dona hauna aflatoxin ungekuwa na hicho usemacho ungekuwa umepigwa marufuku kwa matumizi ya binadamu na wanyama. Aflatoxin inatokea pale unga unapopata unyevu wakati wa ku uhifadhi ambapo unazalisha utando.Na Pia kiini cha mbegu ya mahindi hakina aflatoxin kama kingekuwa nacho mahindi yasingekuwa yanatumika yangekuwa sumu.