Je Yesu alitembea juu ya maji?
Mkuu vipi kuhusu Ile wanasema ety Mungu ameshandaa destination yako kila sehemu aliopanga upite utapita hii imekaaje
Mi huwa nahisi ni kama matawi ya njia nyingi nyingi , Mungu anajua matokeo yote ya njia utazopita hivyo wewe ni kuchagua njia ipi unapita na kama unataka msaada ndio anakuonyesha ni njia ipi, anachofanya ni kuruhusu unayofanya kama unayofanya yatakuwa na madhara kwa wengine basi utalipa kwa kufanya vile na wao pia watalipwa kwa kufanyiwa vile, utasema kwa nini aache watu wateseke sababu anajua utakulipa vizuri, ni kama ukimuona mtu ana hustle anahangaika ila unajua atapata faida nzuri utamzuia au utamuacha ajitahidi
 
Mi huwa nahisi ni kama matawi ya njia nyingi nyingi , Mungu anajua matokeo yote ya njia utazopita hivyo wewe ni kuchagua njia ipi unapita na kama unataka msaada ndio anakuonyesha ni njia ipi, anachofanya ni kuruhusu unayofanya kama unayofanya yatakuwa na madhara kwa wengine basi utalipa kwa kufanya vile na wao pia watalipwa kwa kufanyiwa vile, utasema kwa nini aache watu wateseke sababu anajua utakulipa vizuri, ni kama ukimuona mtu ana hustle anahangaika ila unajua atapata faida nzuri utamzuia au utamuacha ajitahidi
Kabisa
 
Kwanza, kosa lako ni kunielezea kama vile unanifahamu.
Hujui background yangu, kiwango changu cha ufahamu, wala nilichowahi kusoma, lakini unakurupuka kunipa presha za “go and read X.”
Hiyo ni presupposition isiyo na msingi.

Pili, unanipachika label ambazo sijasema.
Mimi si Atheist, na wala sijaweka identity yoyote ya imani hapa.
Umejijengea picha halafu unataka niingie humo.
Siendi huko.

Tatu, unaposema “sitakuelewa”…
Una data gani juu ya uwezo wangu wa kufikiri?
Cognitive ability haipimwi kwa hisia zako tu.

Na kabla hujaniletea lecture nyingine zisizokuwa na mantiki, hakikisha walau hata Level hii umeshaivuka;

1. Ego and The Id cha Sigmund Freud.

2. Man and His Symbols cha Carl Jun.

3. Sapiens cha Yuval Noah Harari.

4. The Art of Thinking Clearly cha Rolf Dobelli.

5. A History of God cha Karen Armstrong.

6. The Varieties of Religious Experience cha William James na —

7. The Origins of Religious Belief cha Pascal Boyer.
Human animal is sick,
I am no longer driven by mob anymore, I create mob,

Carl Jung ni mkosoaji wa Sigmund Freud na pia ni Nietzschean, na huyo shoga pia ni Nietzschean, na mawazo yake mengi pia ni copy and paste ya ideas za Nietzsche

Watu pekee ambao ninaweza nikapoteza muda wangu kwasasa kuwasoma ni Nietzsche na Dostoevsky,

This generation will never understand what I say, labda vitukuu vyao, ndivyo tulivyo...

Siku ukiachana na mob pamoja na kuvuta pumzi ya so called idols, tutazungumza...

Hakuna namna umenidhihaki,

I am not man, I am beyond man,
 
Human animal is sick,
I am no longer driven by mob anymore, I create mob,

Carl Jung ni mkosoaji wa Sigmund Freud na pia ni Nietzschean, na huyo shoga pia ni Nietzschean, na mawazo yake mengi pia ni copy and paste ya ideas za Nietzsche

Watu pekee ambao ninaweza nikapoteza muda wangu kwasasa kuwasoma ni Nietzsche na Dostoevsky,

This generation will never understand what I say, labda vitukuu vyao, ndivyo tulivyo...

Siku ukiachana na mob pamoja na kuvuta pumzi ya so called idols, tutazungumza...

Hakuna namna umenidhihaki,

I am not man, I am beyond man,
Eti "I'm not a Man, I'm beyond a Man".
Anyway uko sahihi kulingana na unavyolitafsiri neno "man" and siwezi kukujudge kwahilo.

Na Kuhusu ushoga wa mhusika uliyemhukumu "sijadili tabia za watu, mimi najadili hoja tu".

Na kuhusu kumuelewa Nietzsche uko sahihi that's why unajiita “God is dead,” si ndiyo?

Lakini kumbuka Dostoevsky alizingua vitu vingi tu ikiwemo kudai kwamba ni Mungu tu ndiye anayezuia mwanadamu kugeuka mnyama which is not true.

Logically Mtu mwenyewe akidisconnect mwili, akili na roho ndiyo anageuka kuwa mnyama na wala siyo kutokana na other forces from nowhere.

Halafu unapowaweka hawa wawili pamoja, hoja zako hazitakiwi kuwa za majivuno, zinatakakiwa zionyeshe kweli umewaelewa.

Sema unavyojivunia sasa kwamba wewe ni super human, ni kama vile una perform Olympian level ego theater.

Ubaya zaidi kipimo cha “superhuman” kwa upande wangu ni kimoja tu kile Einstein alisema "uwezo wa kubadilika".

Kama unauwezo wa kubadilisha mazingira yako, mifumo yako, kudhiibiti mwili wako like monks na kukuza teknolojia kwa kiwango kikubwa like Elon then uko juu ya wastani yaani "Super human", if you're not bhasi unapiga porojo tu hapa.

Unapozungumza sana saana kuhusu “mob,” bado unabaki kuwa mob tu (Sigmund's).
Yaani wala hata huhitaji kujieleza kwamba hufuati mob, ningeisense tu kwenye maandishi yako, you sound like "Joseph Mrindoko" mchokonozi.

By the way, sijaona hoja ya msingi kutoka kwako zaidi ya ego tupu.
Kwa sasa niko out mpaka ulete hoja yenye mashiko.
Ibn Unuq
 
Huyu braza shetani ndo pasua kichwa kweli eti kashndwa mapinduz huko heaven kafight wee na majeshi ya sir god mwishowe akatupiwa kwetu wahuni hapa duniani

Sasa wao km walimshindwa msala tunapewa sisi huku
Why?
Ukifikiri deep dini zote ni hadithi za upupu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom