Je Yesu alitembea juu ya maji?
Nilishawahi kujiuliza hilo Swali
Ss tumezoea kitu kiwe na mwanzo au mwisho
Hata huyo Mungu lazima awe na mwanzo.

Huyo Mungu hawezi kuwepo tu, from nowhere.
Mungu aliumba Muda
Na yeye ndio muanzilishi
Kwa akili za binadamu tutaka aliyemuumba ni nani
Akati yeye ndio Beginner na akaumba Muda
Kwanza thibitisha uwepo wa huyo Mungu kabla ya kusema yeye ndio muumbaji.
Jiulize kwa nn Kuna umilele mbinguni?
Hapa duniani kuna mwisho
Ila sio Mbinguni
Mbingu haipo.
 
Ikiwa Yesu hakuwa juu ya maji bali katika astral projection, mbona kulikua na watu waliokuwa pembeni yake wakishuhudia?
Je, walikuwa kwenye projection hiyo pamoja nayeye?
Kama hawakua pamoja sasa waliona nini, roho au mwili?


Je, peter naye alikua kwenye projection?
Je kilichomzamisha ni hofu au hakuwa amebobea vya kutosha kwenye swala zimaa Astra projection?


Kwanini unafikiri hiyo hadithi ni ya kweli?
Je, kila mtu anaweza kuitafsiri biblia kwa jinsi alivyoelewa yeye tu?
Ikiwa ndivyo, basi tunabaki na dini ya hisia badala ya ukweli.
 
Kipindi tupo kidato Cha nne,kwenye mtihani wa taifa, nilijitoa kafara ya kuikakaa A ya lugha ya kingereza ili nijibie mtihani poem ya The song of lawino, The song of Ocol, matokeo yake ni kweli nilipata B ya kingereza,

Ninachofurahi ni kwamba, jinsi umri ulivyozidi kusogea, I came to notice, a poet is far away better than a dramatist

Ndio mleta mada,
ni kweli yesu alitembea juu ya maji, pia yesu alipaa mbinguni,

The interpretation of a dramatist will mislead you, but that of a poet will reveal truth,

Most of students niliosoma nao walipata A ya kingereza kwenye ule mtihani, hii ilinipa majibu ya wazi kuwa wengi wao hawakujibia poem ya The song of lawino, the song of Ocol,

Na wengi wao ndio kama wewe, wengine wapo mashariki ya kati wakihangaika kuutafuta ushahidi wa kihistoria juu uwepo wa neno la kiimani, pamoja na kufukua makaburi ya wafu huku wakidhani ni manabii waliopita, na wengine wametubariki vita ya kidini,

Ni kwenye poem ndio ninaweza nikazungumza matatizo ya Sababu, lakini walimwengu wakaenda kumtafuta mtu anayeitwa Sababu,

Jesus was a body, that embodied the ideal of Christ
 
SI maji pekee,

Yesu nilimuona akitembea juu ya mawingu juu ya farasi weupe. Aliambatana na maelfu ya watakatifu wake wamepanda farasi wamevaa mavazi meupe.

Yesu ni Mungu
 
Kwanza, Adamu na Hawa ni fictional characters.

Adamu na Hawa wana exist kwenye hekaya za Biblia tu.

Adamu na Hawa ni fictional characters sawa na Abunuwasi anaye exist kwenye hekaya zake.

Pili, Ukianza kuweka ulazima wa muumbaji kwenye ulimwengu, unatengeneza msururu mrefu wa waumbaji wengi wasio na mwisho.

Maana kama ni lazima kila kitu kilichopo kiwe na muumbaji, Hata huyo muumbaji wa kila kitu hawezi kuwepo tu from nowhere, pasipo muumbaji. Huyo muumbaji na yeye mwenyewe atahitaji awe na muumbaji wake mwingine.

Hivyo kutakuwa na msururu mrefu wa waumbaji wengi wasio na mwisho. Endless.

Na kama si lazima kwamba kila kitu kilichopo kina muumbaji, Hata ulimwengu na vyote vilivyomo except man-made things, Havina na havihitaji kuwa na muumbaji.
Well said
 
Nimekuonea huruma hadi nimetaka kulia
Wewe ndiye tunaye kuonea huruma uko Brain washed mna muamini mungu asiye kuwepo

Mungu wa haki na mwenye upendo Kwa watu wote Alikuwa wapi wakati watanzania walipo kuwa wanauliwa Tarehe 29 ,

Wafia dini mnaujinga mwingi sana 🤣🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom