Je Yesu alitembea juu ya maji?
Kwanini mungu asinge tumia uweza wake wa yote aloo nao kuzuia Yale mauaji !?

Heee! Basi mtataka ata wake zenu wakiwa wnashonwa gesti Mungu akawatoe mkuku kwamba wana ndoa zao😂

mwizi naye akija kuiba Mungu amkimbize!!

Tuna free will, mambo yalibadilika tu shetani alipoingia, una uwezo wa kuchagua wema au ubaya

Pia aombaye hupewa ukitaka kitu unakuomba kwa kumaanisha utapewa, wala hizi kejeli hazikufanyi kuwa mr perfect, unaishia kukufuru kwa jambo usilolijua..

Amini tu kama ubaya upo basi na wema upo! Kama shetani yupo na Mungu yupo!

Mkiongelea fiction,mkiongelea Yesu sijui ni fictious character mnakosea kwa sababu wengi wetu apa ni millenious na gen z hakuna alokuwepo,huo ujuaji wenu pelekeni mahala pengine uko mkajenge nchi, kweli mageneous wapo ila sio wa kiwango cha kutunga bible, tutadanganyana!!

Nyie ni viumbe vya aina gani mnaamini hakuna kitu cha kutuongoza kwneye njia sahihi, unataka kusema hatima yako unajipangia mwanzo mwisho hakuna mtu juu yako? Hmm jishusheni vijana! Huu ujuaji mlokuja nao hivi karibuni sio mchezo..!
Kabisa
 
Wewe ni atheist kijana, unachanganya reason na faith, and to you reason makes sense while faith seems nonsense,

Huwezi kunielewa, and you miss a lot of subjects, focus on philosophy, theology, philology and literature, plus history kama bonus, kidogo tutaelewana..

Mwili una sifa ya kutoa maisha, na ndani ya haya maisha chochote kinaweza kuhifadhiwa Kwa sura na mfano wa mwili, mtu na Mungu ni wageni kwenye nyumba ya bwana sokwe,

Na siku ikatokea mwili ukakaribia kupoteza maisha, basi atatangulia mtu kuondoka, Kisha utafuata mwili,

Maisha hutoa nafasi ya chochote kuishi ndani yake, and most of those who understand this, including priests, they went on creating man so as to reside in apes palace.

Sisi wanyama tulichokuwa nacho ni silka tuu, na maisha yenyewe, ila fikra na mawazo yetu ni vitu ndani ya maisha,

Kuna vitu vinaelezeka Kwa kinywa ila haviandikiki, msamehe Mimi Bure, anasahau haraka sana maana ndivyo alivyojengwa, anaishi kama mtoto, asipoongea linakuja jambo lingine ambalo halimruhusu kukumbuka la awali,

Mtu ana sifa ya ubishi, kwakuwa ana ukaribu sababu, pamoja na Mimi,
Mtu anapenda ukweli, na akihisi anafahamu ya ukweli basi atamualika sababu na atakuja kama Mimi, yote ni kuonyesha kuwa amepata ukweli

Mtu anabadilika, ni Mimi ndio humchelewa kutokana na kujisikia tuu kwakuwa ana ukaribu na mnyama,

Sababu asikulaghai kuwa anafahamu ukweli, kwanza hakuzaliwa hapo anapoishi, kinachompa jeuri ni Kwakuwa mtu alimualika kama tabibu, baada ya Imani kudhohofika,
Na tangu afike amekuwa akimdanganya mtu kuwa hajawahi kuzingumza uongo, na mtu kinamweka sana Kwa sababu ni kivuli Cha Imani kinamsumbua, mpaka kupelekea kumuamini sababu

Kwanza, kosa lako ni kunielezea kama vile unanifahamu.
Hujui background yangu, kiwango changu cha ufahamu, wala nilichowahi kusoma, lakini unakurupuka kunipa presha za “go and read X.”
Hiyo ni presupposition isiyo na msingi.

Pili, unanipachika label ambazo sijasema.
Mimi si Atheist, na wala sijaweka identity yoyote ya imani hapa.
Umejijengea picha halafu unataka niingie humo.
Siendi huko.

Tatu, unaposema “sitakuelewa”…
Una data gani juu ya uwezo wangu wa kufikiri?
Cognitive ability haipimwi kwa hisia zako tu.

Na kabla hujaniletea lecture nyingine zisizokuwa na mantiki, hakikisha walau hata Level hii umeshaivuka;

1. Ego and The Id cha Sigmund Freud.

2. Man and His Symbols cha Carl Jun.

3. Sapiens cha Yuval Noah Harari.

4. The Art of Thinking Clearly cha Rolf Dobelli.

5. A History of God cha Karen Armstrong.

6. The Varieties of Religious Experience cha William James na —

7. The Origins of Religious Belief cha Pascal Boyer.
 
JESUS NEVER WALKED ON WATER. IT IS SYMBOLIC

Jesus was walking on top of the veil of the ether (astral projecting).
View attachment 3429876
The ether is the 5th element, also known as spirit. It’s a substance that has one foot in the astral plane and in the physical plane. Ether is the word either because it’s on either side.

For leaving the physical body. The water was the etheral plane, which is the veil between the physical world and the astral world.
In etheral plane there is
  • No Gravity
  • Normal Time: same as the Material Plane.

Jesus was walking on top of the veil of the ether (astral projecting).

When Jesus teaches Peter to “walk on water,” he is teaching him not to be scared or else you will fall back into the water.
This is symbolic of when you are astral projecting. When you start to fear when you're projecting, you will be sucked back into your body.

View attachment 3429904

Anxiety lowers you into lower dimensions
Jesus and Peter were in 4th Dimension
Because of Fear resulted Peter to
return into Physical Plane
In order to be in 4th Dimension during Astro projection
You should not have Fear



Mathew 14:29
“he was afraid and, beginning to sink, cried out, “lord, save me!



That’s why Witches , Demons and Satan use ways to create Anxiety to a person in order to lower them into lowest dimensions
But God says

2 Timothy 1:7
“For God hath not given us the spirit of fear; but of power, and of love, and of a sound mind.”



Do you know why during night hours our spirits are active and easy to ascend into spiritual realm?
I stand to believe that Jesus walked on water;this is what the bible says.Revelation should not be confused with material things mentioned in the story(ie the boat,,peter,and the whilding wind)
 
Kwanini mungu asinge tumia uweza wake wa yote aloo nao kuzuia Yale mauaji !?

Heee! Basi mtataka ata wake zenu wakiwa wnashonwa gesti Mungu akawatoe mkuku kwamba wana ndoa zao😂

mwizi naye akija kuiba Mungu amkimbize!!

Tuna free will, mambo yalibadilika tu shetani alipoingia, una uwezo wa kuchagua wema au ubaya

Pia aombaye hupewa ukitaka kitu unakuomba kwa kumaanisha utapewa, wala hizi kejeli hazikufanyi kuwa mr perfect, unaishia kukufuru kwa jambo usilolijua..

Amini tu kama ubaya upo basi na wema upo! Kama shetani yupo na Mungu yupo!

Mkiongelea fiction,mkiongelea Yesu sijui ni fictious character mnakosea kwa sababu wengi wetu apa ni millenious na gen z hakuna alokuwepo,huo ujuaji wenu pelekeni mahala pengine uko mkajenge nchi, kweli mageneous wapo ila sio wa kiwango cha kutunga bible, tutadanganyana!!

Nyie ni viumbe vya aina gani mnaamini hakuna kitu cha kutuongoza kwneye njia sahihi, unataka kusema hatima yako unajipangia mwanzo mwisho hakuna mtu juu yako? Hmm jishusheni vijana! Huu ujuaji mlokuja nao hivi karibuni sio mchezo..!
 
Wale atheists
Nauliza
1. Uhai ulianzaje kwa mara ya kwanza?

-Je, inawezekana kitu hai kitokane na kitu kisicho hai bila mpangilio wowote?
-Kitu gani kilisababisha chembehai ya mwanzo?

2. Nini chanzo cha sheria za fizikia?
-Gravity,quantum rules zilitoka wapi?
- Kwanini ulimwengu unaonekana una mpangilio?

3. Kwanini kuna kitu badala ya hakuna kitu?
- kwanini kuna ulimwengu badala ya kutokuwepo kabisa?

4. Je namba na mantiki ( logic & mathematics) ni halisi au mawazo tu?
- kama ni mawazo tu kwanini hufanya kazi kila mahali ulimwenguni?
-kwanini ulimwengu unatii hesabu zilezile?

5. Asili ya maadili ( morals) inatoka wapi?
-Nini kinaamua mema na mabaya?
- kwanini kuua , kuiba au kudhulumu ni vibaya kwelikweli?
 
Wale atheists
Nauliza
1. Uhai ulianzaje kwa mara ya kwanza?

-Je, inawezekana kitu hai kitokane na kitu kisicho hai bila mpangilio wowote?
-Kitu gani kilisababisha chembehai ya mwanzo?

2. Nini chanzo cha sheria za fizikia?
-Gravity,quantum rules zilitoka wapi?
- Kwanini ulimwengu unaonekana una mpangilio?

3. Kwanini kuna kitu badala ya hakuna kitu?
- kwanini kuna ulimwengu badala ya kutokuwepo kabisa?

4. Je namba na mantiki ( logic & mathematics) ni halisi au mawazo tu?
- kama ni mawazo tu kwanini hufanya kazi kila mahali ulimwenguni?
-kwanini ulimwengu unatii hesabu zilezile?

5. Asili ya maadili ( morals) inatoka wapi?
-Nini kinaamua mema na mabaya?
- kwanini kuua , kuiba au kudhulumu ni vibaya kwelikweli?
Maswali mazuri ila nahisi Atheist wengi wa humu ni flat earths sidhani kama wana amini kwenye gravity, na wanao amini watakuja na maswali yao ya ajabu mara umejuaje kama ulimwengu unachanzo, yani ni vyepesi wao kuamini ulimwengu hauna chanzo ila wanahoji inakuaje mungu yupo tu alitokea wapi
 
Maswali mazuri ila nahisi Atheist wengi wa humu ni flat earths sidhani kama wana amini kwenye gravity, na wanao amini watakuja na maswali yao ya ajabu mara umejuaje kama ulimwengu unachanzo, yani ni vyepesi wao kuamini ulimwengu hauna chanzo ila wanahoji inakuaje mungu yupo tu alitokea wapi
Nasubiri waje na maswali mengine pia.
 
Hahahaha ila fact tupu
Ngoja tumskie atakuuliza swali Gani.
Mtu haumbwi anazaliwa na mzazi wake fact kabisa.
Hili huwa ni jibu la ajabu sana huwa nashangaa , nisawa na kumuuliza mtu maharage yametoka wapi anakwambia yamevunwa, kuzaliwa ni kutoka sehemu sio chanzo cha wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom