Je, Watanzania hatuaminiani?

Je, Watanzania hatuaminiani?

Huwa nasema humu ndani kila siku wasomiw a tanzania hawan adabu wala uaminifu wa kitaaluma, ndio maana hawana uaminifu ktk lolote.Ni waongo hadi wanajidanganya ndio maana walishapoteza sense ya ukweli na uongo.
 
Utafiti sahihi kabisa huu...!vigezo walivotumia vipo wazi...!
 
Tanzania ni nchi ya asali na maziwa hayo mengine mbinu za wazungu tu kutuweeken....!!
 
Naam ni kweli,pia ni inchi ambayo viongozi wake wana
Fikiri kwa sehemu za haja kubwa,hivi kafu ishinde halafu mfute matokeo,mkiulizwa mlitumia kiungo gani kufikiri,mtasema nikipi
kisutu.......
 
Tanzania iliyoongozwa na itakayoendelea kuongozwa na hiki chama chetu pendwa itakuwa ya mwisho kwa kila kitu kwa muda wote. Huo ndio ukweli. Baada ya hapo, tuendeleeni sasa kupiga piga zile bla bla zetu.
 
Marekani kuna Nchi 52 kila jimbo lina Tabia zake lakini kumbuka marekani haipo kwenye Nchi Aminifu napo kuna mapungufu lakini hayafanani na haya ya Tanzania ambayo ni mabaya zaidi Duniani.
Ni kweli kabisa
 
Waongo wakubwa ni wazungu wenyewe waliotudanganya tumetoka kwa manyani na mambo mengi tu . ..afanalek . .wazungu wajinga sana!
 
Waongo wakubwa ni wazungu wenyewe waliotudanganya tumetoka kwa manyani na mambo mengi tu . ..afanalek . .wazungu wajinga sana!
haha, kwani misomi yenu ya UDSM inayodai chuo chao sijui ni cha ngapi duniani.Haikuweza ng`amua?Wenzio ulaya wapo mahakamani, kurudisha elimu mbadala kwamba binadamu waliumbwa na Mungu. Hii yako ya UDSM haina hata fikra elimu mbadala kuhusu asili ya mwanadamu. Siku zote huwa nasema hii misomi yetu ni mipuuzi,miongo, inahubiri wasichokiamini wanaishi kisanii tuu. Sasa dunia inawaacha na kuwashangaa.
 
haha, kwani misomi yenu ya UDSM inayodai chuo chao sijui ni cha ngapi duniani.Haikuweza ng`amua?Wenzio ulaya wapo mahakamani, kurudisha elimu mbadala kwamba binadamu waliumbwa na Mungu. Hii yako ya UDSM haina hata fikra elimu mbadala kuhusu asili ya mwanadamu. Siku zote huwa nasema hii misomi yetu ni mipuuzi,miongo, inahubiri wasichokiamini wanaishi kisanii tuu. Sasa dunia inawaacha na kuwashangaa.
Ku deal na hii mijitu inahitaji HEKIMA
 
Ku deal na hii mijitu inahitaji HEKIMA
Yeah, ila taratibu watanzania wakianza jifunza jisomea wenyewe vitabu vingi,utashi wao utawaamsha sana na mwishowe kujinasua ktk makucha ya hawa jamaa wanaojiita manguli wa elimu kumbe ni mapandikiz ya CCM kuharibu akli za watu .
 
Yeah, ila taratibu watanzania wakianza jifunza jisomea wenyewe vitabu vingi,utashi wao utawaamsha sana na mwishowe kujinasua ktk makucha ya hawa jamaa wanaojiita manguli wa elimu kumbe ni mapandikiz ya CCM kuharibu akli za watu .
Hapo ndipo inabidi tuachane njia panda maana mimi ni CCM KWELI KWELI . ..Chama hichi kimenitoa mbali siwezi kukiasi hata punje . ..samahani sana . ..
 
Back
Top Bottom