Je, Watanzania hatuaminiani?

Je, Watanzania hatuaminiani?

Kwa jinsi nilivo mimi, aisee ni kweli kabisa huu utafiti.
 
Naam ni kweli,pia ni inchi ambayo viongozi wake wana
Fikiri kwa sehemu za haja kubwa,hivi kafu ishinde halafu mfute matokeo,mkiulizwa mlitumia kiungo gani kufikiri,mtasema nikipi
 
Mimi nilidhani tuna wafanyakazi hewa tu kumbe hata uchumi wetu ni hewa basi wafanye utafiti zaidi isije ikawa hata nchi ni hewa nimeanza kustuka toka njemba moja idai yenyewe ndo mungu wa cite kuu.
 
Ujanja ujanja umeanzia kwa viongozi.
Kiongozi wetu alifariki uingereza hawakutuambia exacrly lini kafariki!
 
Kuwaamini wasio kuwa na sifa yauwaminifu, ndio sababu ya tanzania kupata sifa ya nchi isiokuwa aminifu duniani
 
Huu utafiti ni kweli kabisa, 10000000%. Viongozi wetu hawalioni hili kwa sababu wao ndo wanaongoza kwa unafiki na kukosa uaminifu. I wish we had somebody to do something about this.
 
Mimi nilidhani tuna wafanyakazi hewa tu kumbe hata uchumi wetu ni hewa basi wafanye utafiti zaidi isije ikawa hata nchi ni hewa nimeanza kustuka toka njemba moja idai yenye ndo mungu wa cite kuu.
Hazina wakikusanya mapato yote toka vyanzo vyote kabla ya kupeleka BOT wanakata panga anapewa Lipumba kwa ajili ya kuzitumia kuwadhoofisha Wapinzani,hata pesa za umma zinatumika kiharamu kwa matumizi ya kiharamia.
 
Pesa ya viwanda,pesa ya kuzuia Safari za nje,pesa za kubana matumizi na mapato kupewa Madalali wa siasa na Lipumba ndiyo Dhambi kubwa kwa Tanzania kuliko Nchi zingine Duniani,hata Lugumi na kivuko feki vinaishi Tanzania kwa 1000% Tanzania ndipo makao makuu ya maigizo.
 
ndio maana tunaogopa kuungana na majirani kwenye mambo mengi maana hatuaminiki na hatuaminiani.

Hizi tafiti ni aibu tena kipindi ambapo hata bunge liko gizani, matumizi ya pesa hayaeleweki, siasa ziko kapuni. Unaweza kuja kugundua ulipigwa mwaka 2017 mwaka 2023.

Kuna haja kama taifa tukae tujitafakari tulianguka wapi ili tuirudie njia kuu
Watazinduka siku wakishituka Lipumba anawachuna buzi
 
Tanzania na Morroko zimetajwa ndiyo nchi zisizokuwa aminifu zaidi duniani kati ya nchi 159 zilizofanyiwa utafiti. Utafiti huo umefanywa na jarida la week la Nature ambao umegusa maeneo ya Rushwa, Udanganyifu wa Kodi, Siasa, Kivuli cha Uchumi, Kipato cha mwananchi, Haki za kisiasa, Ufanisi wa serikali, Kuwalazimisha Watendaji nk.. Kenya pia imo katika orodha hiyo nchi zisizo aminifu. Nchi zilizotajwa kuwa aminifu zaidi kuliko zote duniani ni Uingereza, Uholanzi na Austria.

Tafsiri:

A study conducted by Nature, an international weekly journal of science, has named Tanzania and Morocco as the most dishonest countries in the world. The most honest countries, according to the study, were the United Kingdom, Austria and the Netherlands, while other dishonest countries included Kenya, Indonesia and Guatemala. The report, which examined 159 countries for their varying levels of corruption, political and tax fraud, also studied shadow economies, the prevalence of rule violations, government effectiveness, GDP per capita, political rights, constraint on executives and individualism.

View attachment 443066

Source: Intrinsic Honesty and the Prevalence of Rule Violations across Societies
Na huko marekani Kura zinako hesabiwa upya mbona hawasemi !? Crazy hypocrites !
 
Hawa watafiti si wazalendo hata kidogo. Tanzania ndio tunajipanga na tumeshatumbua majipu kadhaa ili kurejesha uaminifu wao wanaanika utafiti wao uchwara hadharani! Tusushabikie viutafiti hivi. Tanzania ni waaminifu sana kisiasa na rushwa ni tatizo la wote!! Tuwe wazalendo jameni!!!??????
 
Na huko marekani Kura zinako hesabiwa upya mbona hawasemi !? Crazy hypocrites !
Marekani kuna Nchi 52 kila jimbo lina Tabia zake lakini kumbuka marekani haipo kwenye Nchi Aminifu napo kuna mapungufu lakini hayafanani na haya ya Tanzania ambayo ni mabaya zaidi Duniani.
 
Back
Top Bottom