Je, Watanzania hatuaminiani?

Labda watupige mabomu, hii nchi inaenda mbele vibaya mno. Hao nabwana zenu kama hamjui wanaiongelea Tanzania kinyiume chake.
 
Hizo ni tafiti zilizofanyika zile enzi za Tanzania ya giza kabla ya awamu ta tano. Ukifanya utafiti kama huo leo utashangaa tunaongoza kwa kila kitu!
 
Kukisha Kuwa na udanganyifu kweye chaguzi Za kisiasa,zinazotawaliwa na rushwa na wizi wa kura,hakuwezi Kuwa Na haki tena Sehemu yoyote.Tunapataje viongozi?Tume zinatenda haki?Hapo ndo pa kuanzia.
 
Utafiti uko sahii kabisa 10000000000& unayepinga ipo siku ata ukiambia uki sex na mzazi wako ni irani ya chama utafanya ivyo coz kumetokea kizazi cha hajabu sana ktk hili linchi sizani kama kutatokea kizazi cha hovyo kama hiki na ingelikuwa kipindi kile miaka ya B.C tungeangamizwa kwa mawe kwa sababu hatuna faida yoyote kny huu ulimwengu zaidi ya unafiki na wizi tungeangamizwa ili kije kizazi chenye akili timamu siyo hiki cha wizi unafiki na usengerema
 
"Wanatuonea gere tu" mbona mabo yetu safi tu kwa mfano Mzee Jecha tumemuamini iliyobaki ni kumzawadia tu.
Uhuni wa Jecha ni ushahidi tosha tena kielelezo muhimu cha unafiki wa wenzetu. Waalaniwe milele hawa.
 
Huu ni uzushi na uonevu.Hakuna mtu wa kuaminika kama mtz .Huu utafiti unatuonea wivuuuu.
 
Back
Top Bottom