Je, Watanzania hatuaminiani?

Kwa hiyo suala la uwanja na msikiti inawezekana tukawa tumepigwa changa la macho?
 
Tanzania na Morroko zimetajwa ndiyo nchi zisizokuwa aminifu zaidi duniani kati ya nchi 159 zilizofanyiwa utafiti. Utafiti huo umefanywa na jarida la week la Nature ambao umegusa maeneo ya Rushwa, Udanganyifu wa Kodi, Siasa, Kivuli cha Uchumi, Kipato cha mwananchi, Haki za kisiasa, Ufanisi wa serikali, Kuwalazimisha Watendaji nk.. Kenya pia imo katika orodha hiyo nchi zisizo aminifu. Nchi zilizotajwa kuwa aminifu zaidi kuliko zote duniani ni Uingereza, Uholanzi na Austria.

Tafsiri:

A study conducted by Nature, an international weekly journal of science, has named Tanzania and Morocco as the most dishonest countries in the world. The most honest countries, according to the study, were the United Kingdom, Austria and the Netherlands, while other dishonest countries included Kenya, Indonesia and Guatemala. The report, which examined 159 countries for their varying levels of corruption, political and tax fraud, also studied shadow economies, the prevalence of rule violations, government effectiveness, GDP per capita, political rights, constraint on executives and individualism.

View attachment 443066

Source: Intrinsic Honesty and the Prevalence of Rule Violations across Societies


Sisi hatutaki watafiti uchwara wenu

Sisi Tunataka TWAWEZA
 
Wangesema ni wajinga tuu mbona wanaficha ukweli madini utadhani hayapo Tanzania Nchi na Raia wake choka mbaya utadhani hatuna hata Rasilimali yeyote...
 
Hawa watafiti si wazalendo hata kidogo. Tanzania ndio tunajipanga na tumeshatumbua majipu kadhaa ili kurejesha uaminifu wao wanaanika utafiti wao uchwara hadharani! Tusushabikie viutafiti hivi. Tanzania ni waaminifu sana kisiasa na rushwa ni tatizo la wote!! Tuwe wazalendo jameni!!!??????
kivuko feki,mabehewa chakavu,lugumi,kiwanda Hewa Lindi,chenji ya Rada,Reli kwenda Airport nk wametumbuliwa lini? Hii pesa inapotelea kwa siasa za maji Taka ya akina Lipumba unadhani hawaioni?
 
Mbinu kubwa ambayo hutumiwa na wazungu ili kumtawala mwafrika kisaikolojia ni kuja na porojo kama hizi
Trump mwenyewe alikuwa anadaiwa, Yule Rais wa FIFA
Tip of the iceberg: the role of the banks in the FIFA story | Global Witness
Usisikilize sana unayoambiwa na watu
Mzungu anataka kumtawala mwafrika kwa 100% na ndiyo maana waafrika waliokwenda shule hawawapendi wazungu kwa sababu they are fooling us, hata elimu yao inatupumbaza! Wao wanataka tu kutuona sisi siyo Bora siku zote,
Soma vizuri utaelewa,
Najua hufahamu kwamba kuna magonjwa yameletwa ili kukontrol population ya watu duniani hasa afrika
hakuna ugonjwa usio na dawa
yametengenezwa ili kukontrol population
najua hufahamu kwamba baada ya muda hakutakuwa na mbegu za mahindi original
people are making business, kila mbegu inayotengenezwa kwa sasa unaotesha mara moja tuu unapata zao na kila msimu lazima ununue,
watch out my african people
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
 
Do not cheat people,where did the radar scandle happen which led to millions refunded to TZ ?
Cabinet ministers Claire Short and Robin Cook tried to stopthe sale of a hugely expensive radar to the poverty- stricken Tanzanians.
 
Achana na wazungu matapeli .
...tushike yetu milele
 
case study yawezekana ilikuwa chama kile cha upinzani ....na ccm via jecha
 
Labda watupige mabomu, hii nchi inaenda mbele vibaya mno. Hao nabwana zenu kama hamjui wanaiongelea Tanzania kinyiume chake.
Kumbe tunaenda mbele vibaya? Du! Nilifikili tunaenda dar vizuri? Mungu atuokoe
 
Back
Top Bottom