Wala usihofu, kwani hata mada yenyewe pia inasema hivyo. So km umefikia ktk ccm busara zoeleka zinakimbia sina cha kufanya.Hapo ndipo inabidi tuachane njia panda maana mimi ni CCM KWELI KWELI . ..Chama hichi kimenitoa mbali siwezi kukiasi hata punje . ..samahani sana . ..
Dah! kweli wewe ni mzalendo . ..barikiwa sana . .uwe na siku njemaWala usihofu, kwani hata mada yenyewe pia inasema hivyo. So km umefikia ktk ccm busara zoeleka zinakimbia sina cha kufanya.
Kweli ndege wa aina moja huruka pamoja lakini hiyo mikataba ni uongo hamna kitu hapo maana TZ na Moroko wote ni wasanii tu.
Amen...Dah! kweli wewe ni mzalendo . ..barikiwa sana . .uwe na siku njema
Amen RAAmen...