Je, wanawake wana uwezo wa akili sawa na wanaume?

Je, wanawake wana uwezo wa akili sawa na wanaume?

Hili swali nilikuwa najiuliza na mimi miaka ya nyuma hapo mpaka nikaanza kujiuliza kuwa hivi mwanamke ana akili saana kuliko mwanaume au

Ila nilipata jibu kuwa ndio kuna wanawake wana akili saana kuliko wanaume

Wewe angalia matukio ya wanawake tu uko nyuma ndo na katika dunia tunaishi utajua ilo hawa viumbe wameumbwa na akili kubwa saana
 
Ukiangalia hata darasani kama wanaume tupu wapo kwenye top ten njoo na jibu lako. Na hata maofisini uwezo wa kikazi, kuna wanaume vilaza na wavivu. So kwa imani yangu. Wapo wanaume vilaza tena haswa wanashindwa na wanawake. Janaume zima unakuta linauza kitu chake cha ndani lika bet! Af linakuja humu linakwambia mwanamke lazima aninyenyekee
Sawa
 
Hili swali nilikuwa najiuliza na mimi miaka ya nyuma hapo mpaka nikaanza kujiuliza kuwa hivi mwanamke ana akili saana kuliko mwanaume au

Ila nilipata jibu kuwa ndio kuna wanawake wana akili saana kuliko wanaume

Wewe angalia matukio ya wanawake tu uko nyuma ndo na katika dunia tunaishi utajua ilo hawa viumbe wameumbwa na akili kubwa saana
Wacha tuendelee kuchunguza hili swala.
 
Ba
mwanamke ana akili 2 wakati mwanaume ana akili 1. Haya ni matokeo ya utafiti uliofanyika nchini Uingereza na kurudiwa nchini Marekani ili kuthibitisha matokeo ya utafiti husika. Kwa hiyo kwa ujumla wanawake wana akili kuliko wanaume.
Basi akili hazina maana, Kama tukifuata vigezo vya kisomi na kisayansi hatuwezi kupata jibu.Lakini tukifuata macho, desturi ma matukio ya kila siku tutapata jibu tofauti.Tutumie maarifa, tuangalie mashuleni, makazini mipango na shughuli mbalimbali.KISHA TUJIRIDHISHE.
 
Katika hali ya kawaida inaonekana mwanaume ana akili kuliko mwanaume linapokuja swala la maamuzi yanahitaji akili.
Lakini ukweli ni kwamba mwanamke ana akili kubwa kuliko mwanaume, lakini asili na mazingira ndio yanayo dumaza akili yake

Tunapo sema asili maana yake akili ya mwanamke pamoja na kuwa kubwa lakini haijawahi kiwa na matokeo chanya ya moja kwa moja.

Sehemu yoyote kumuachia mwanamke atumie akili yake kama ndio final huwa hakuna matokeo bora ya moja kwa moja.
Haitoshi kukujibu kwamba hizo akili zina kasoro mkuu.
 
Mwanaume ana akili mingi ila akili yake ili iwe nyingi sharti azaliwe na kunyonyeshwa na kulelewa na mama mwenye akili mingi.
 
Back
Top Bottom