Je, wanawake wana uwezo wa akili sawa na wanaume?

Je, wanawake wana uwezo wa akili sawa na wanaume?

Hapo ni Logic ( Males ) vs Imagination ( Females ).
Mwanamke huwa yupo hatua Moja mbele.
Huoni kama logic ndio kigezo bora cha kuonesha uwezo wa akili wa mtu ? Au wewe kwako maoni yako ni yapi ?

Karibu.
 
Wanawake wana akili sawa tu na wanaume

Lakini mara nyingi hawapendi kuzitumia,mfano ukiwa nae kwenye mahusiano ataacha kutumia zake anapenda kutumia akili za mwanaume
Haoni kuwa hicho ni kigezo tosha cha mmoja kumzidi mwenzake ? Kwa nini mwanaume asiwe hivyo ?
 
1675951877180.png
 
Huoni kama logic ndio kigezo bora cha kuonesha uwezo wa akili wa mtu ? Au wewe kwako maoni yako ni yapi ?

Karibu.
Bila kupiga picha itakuwaje, logic inakuja kukuingiza mkenge peupe.
Ushawahi fanya Jambo bila kuimagine umelifanya ?
 
Haoni kuwa hicho ni kigezo tosha cha mmoja kumzidi mwenzake ? Kwa nini mwanaume asiwe hivyo ?
Mwanaume ukiwa hivyo mambo mengi hayataenda kumbuka hii dunia nzima inamtegemea mwanaume

Baada ya mungu ni mwanaume ndo anafata,bila mwanaume hii dunia ingekuwa ya hovyo
 
Katika hali ya kawaida inaonekana mwanaume ana akili kuliko mwanaume linapokuja swala la maamuzi yanahitaji akili.
Lakini ukweli ni kwamba mwanamke ana akili kubwa kuliko mwanaume, lakini asili na mazingira ndio yanayo dumaza akili yake

Tunapo sema asili maana yake akili ya mwanamke pamoja na kuwa kubwa lakini haijawahi kiwa na matokeo chanya ya moja kwa moja.

Sehemu yoyote kumuachia mwanamke atumie akili yake kama ndio final huwa hakuna matokeo bora ya moja kwa moja.
 
Ningependa kuwakaribisha members wote [wa kike kwa wa kiume] katika hili swali;

SWALI
Je, wanawake wana uwezo wa kiakili sawa na wanaume?

Karibuni wadau wote kwa majibu yenu na maelezo yenu.
1.wanaume angalia duniani wagunduzi wengi wa mambo ni wanaume
2.google inasema ni wanaume
3.wanawake wamejijengea utegemezi so hawazungushi sana bongo na hiyo inakua passed down through genes ambayo imekua ikishusha uwezo wao wa kutatua mambo
 
Mwanaume ukiwa hivyo mambo mengi hayataenda kumbuka hii dunia nzima inamtegemea mwanaume

Baada ya mungu ni mwanaume ndo anafata,bila mwanaume hii dunia ingekuwa ya hovyo
Kwa hiyo tuna hitimisha kwa kusema kuwa mwanaume yupo juu kiuwezo wa kiakili tofauti na mwanamke.
 
Back
Top Bottom