Hili Ndilo Kosa Moja Unalofanya Kila Siku kwenye Maisha yako…

Seif Mselem

JF-Expert Member
Oct 16, 2023
257
441
…kabla Sijakwambia ni Kosa gani Naomba kwanza Nikuulize hili Swali hapa Chini...
.
“Je ni Kweli Ungependa kujua Kosa Lako MOJA Kubwa Unalofanya Kila siku kwenye Maisha yako?..”
.
Kama Jibu Lako ni…“NDIO”
.
Basi…hii Itakuwa moja ya Makala yako BORA Kabisa kuwahi Kusoma ndani ya Mwaka huu…
.
Kwasababu…
.
Baada ya Sekunde 60 tu Utaenda Kujua ni Kosa gani Moja umekuwa Ukilifanya Muda wote huo na… Jinsi gani Unaweza KUACHA Kulifanya na Kufika kule Unakotaka…
.
…maana Kosa hili Moja ndilo Linalowafelisha Zaidi ya 80% ya Vijana Kutimiza Malengo yao kila Mwaka…
.
ILA…
.
Kabla Sijakwambia ni Kosa gani, Naomba kwanza…
.
Nikupe Huu Msemo hapa Chini…
.
Unasema Hivi…
.
“Do Not Stare at the Summit, INSTEAD Stare at your Boots”
.
…huu ni Msemo Maarufu sana kwa Wapanda Milima…
.
Au nyie Wazungu Mnawaita…
.
“Mountain Climbers”
.
Wenye maana ya Kwamba…
.
…ukitaka kufika Juu ya Mlima basi Usiangalie Kileleni unakokwenda…Badala yake angalia kwenye Buti zako…
.
Yaani… Usiangalie kwenye Kilele cha Mlima badala yake… Angalia kila hatua Unayopiga ili Kufika unakokwenda…
.
Kwasababu…
.
Kadri unavyozidi Kuangalia unakokwenda bila Kufika ndivyo kadri… Unavyozidi Kuumia na Kuchoka zaidi na Mwisho wake unakata Tamaa…
.
Ndio maana Watu wengi huwa hawafiki kwenye… “Summit”
.
Au… kwenye Kilele cha Mlima!
.
Kwahiyo…
.
Badala ya wewe Kuangalia Kileleni unakokwenda… Wewe angalia kwenye Buti zako…
.
Angalia kwenye kila “HATUA” Unayopiga ili Kufika kwenye Kilele cha Mlima…
.
Na… Hivyo ndivyo Utakavyoweza Kufika Kileleni!
.
Sasa Mselem… Kwanini una Nambia Haya yote Leo?..
.
Yeah Vizuri Sana… na Bora Umeuliza!
.
Ukweli ni Kwamba…
.
Mimi binafsi huwa namuona Mtu yoyote anayetaka Kutimiza malengo yake flani kwenye Maisha au Biashara yake ni kama Mtu anayetaka Kupanda Mlima…
.
Kwasababu… Kuikuza biashara yako hadi Ifike hatua flani unayoitaka SIO kitu Rahisi…
.
Na…
.
Naweza kufananisha hiyo Hali ni sawa na Kupanda Mlima…
.
Kwahiyo…
.
Kama wewe ni Mjasiriamali mdogo na Unapambana Kufika kwenye Level flani Unayoitaka…
.
Basi usiweke Mawazo yako yote kwenye Malengo ya Mwaka badala yake Hamishia...
.
Mawazo yako yote kwenye Vitu ambavyo unaweza Kuvifanya leo ili Kufikia Malengo yako ya Mwakani…
.
Usikifikie kuhusu geto kali Utakalopata baada ya Kufanya Ishu flani…
.
Usifikirie kuhusu Lifestyle flani ya kwenda kukaa kwenye Restaurant flani huku pembeni una MacBook yako na Kikombe cha Kahawa…
.
Usifikirie kuhusu Iphone 14 Pro utakayopata baada ya Kupiga Dollar 1700 kwenye Forex…
.
Kwasababu…
.
Hayo yote hayawezi Kutokea usipokaa CHINI kila Siku na Kufanya unachotakiwa Kufanya ili Kutimiza Malengo yako…
.
Kwenye Maisha hasa hasa Maisha ya Biashara Inabidi uwe na…
.
“Realistic GOALS”
.
Usije ukatamani Maisha anayoishi Millard Ayo au Idriss Sultan na...
.
Ukadhani ni Maisha yaliokuja kama Bahati… HAPANA!
.
Kuna msoto mrefu Umefanyika nyuma ya PAZIA hadi kufika hapo Walipo Leo… na Kama wangeweka Akili zao kwenye Maisha walionayo leo basi nina Uhakika wasingekwepo hapo Walipo leo...
.
Hilo Lifestyle ni Matokeo ya…
.
Early Mornings na Late Nights Kibao + Kupoteza Weekends na Holiday Kibao kwenye Kufanya kile Wanachofanya now…
.
(Respect to These Guys)
.
Kwahiyo…
.
Kama wewe ni Kijana mdogo Unaeendelea Kujitafuta Ishi kwenye Kitu Kimoja Kinaitwa…
.
“Day – Sized Compartments”
.
Yaani…
.
Badala ya kufikiria kuhusu Malengo yako ya Mwaka mzima… Wewe fikiria kwamba ni Kitu gani utafanya Kila siku ili Kupata kile Unachokitaka mwishoni mwa Mwaka…
.
Sijasema Malengo yako SIO ya Muhimu…NOPE!
.
ILA…
.
Hayawezi Kutimia bila Kukaa chini Kila Siku na Kuyafanyia kazi…
.
Kwasababu…
.
“Targets are Always USELESS… Unless you’re Shooting them”
.
Na…
.
Hili ndilo KOSA Moja linalofanywa na 80% ya Vijana Kila Siku…
.
Badala ya Kuwekeza Akili na Nguvu zako zote katika Kitu gani Kifanyike leo ili Kufika kule Unakotaka… Badala yake Unafikiria kuhusu geto lako Litakavyokuwa baada ya Kupata unachokitaka…
.
Na…
.
Mwisho wa Siku unaishia Kuchoka na kukata Tamaa kwasababu… Muda unaenda na Kile unachokitaka Hakina hata dalili ya Kutokea…
.
Na…
.
Mwisho wake kabisa una… QUIT!
.
Na… hapo Ndipo vijana wengi Wanapofeli!
.
Kwahiyo…
.
Kitu kimoja ninachoweza Kukuachia leo hii ni kwamba…
.
1). Define your Goals…
.
Jua nini unataka Kukipata baada ya Mwaka kuisha hasa hasa Mwaka Ujao.
.
2). Fanya kitu kinaitwa… “CHUNKING”
.
Yaani…
.
Vunja vunja Malengo yako kwenye Vipande vidogo vidogo ambavyo Unaweza ukawa unavitimiza Kila mwezi…
.
Mwisho…
.
3). Fanya… “Reverse Engineering”
.
Anzia mwisho wa Mwaka jinsi Malengo yako unavyotaka yawe… Kisha anza kurudisha Nyuma hadi Siku uliyopo halafu Jiulize ni…
.
Vitu gani unatakiwa Kufanya kila Saa, Kila Siku, Kila Wiki na Kila Mwezi ili Kutimiza Malengo yako ya Mwaka mzima…
.
Then baada ya Hapo…
.
Fanya kile Kitu wanachofanya Mountain Climbers kwamba…
.
“Do Not Stare at the Summit, INSTEAD Stare at your Boots”
.
Yaani…
.
Stick to the PLAN… and NOT to the Goals!
.
Because… All “GOALS” are derived from the Execution of the Plan!
.
Na…
.
Hivyo Ndivyo utakuwa na Nafasi kubwa ya kutimiza Malengo yako kila Mwaka!
.
I Hope Umejua wapi Ulikuwa Unatereza?..
.
Si Ndio?..
.
Yeah… VIZURI
.
I Hope Umejifunza Kitu Kipya.
.
Uwe na JUMAPILI Njema.
.
GRACIAS
.
Seif Mselem
 
…kabla Sijakwambia ni Kosa gani Naomba kwanza Nikuulize hili Swali hapa Chini...
.
“Je ni Kweli Ungependa kujua Kosa Lako MOJA Kubwa Unalofanya Kila siku kwenye Maisha yako?..”
.
Kama Jibu Lako ni…“NDIO”
.
Basi…hii Itakuwa moja ya Makala yako BORA Kabisa kuwahi Kusoma ndani ya Mwaka huu…
.
Kwasababu…
.
Baada ya Sekunde 60 tu Utaenda Kujua ni Kosa gani Moja umekuwa Ukilifanya Muda wote huo na… Jinsi gani Unaweza KUACHA Kulifanya na Kufika kule Unakotaka…
.
…maana Kosa hili Moja ndilo Linalowafelisha Zaidi ya 80% ya Vijana Kutimiza Malengo yao kila Mwaka…
.
ILA…
.
Kabla Sijakwambia ni Kosa gani, Naomba kwanza…
.
Nikupe Huu Msemo hapa Chini…
.
Unasema Hivi…
.
“Do Not Stare at the Summit, INSTEAD Stare at your Boots”
.
…huu ni Msemo Maarufu sana kwa Wapanda Milima…
.
Au nyie Wazungu Mnawaita…
.
“Mountain Climbers”
.
Wenye maana ya Kwamba…
.
…ukitaka kufika Juu ya Mlima basi Usiangalie Kileleni unakokwenda…Badala yake angalia kwenye Buti zako…
.
Yaani… Usiangalie kwenye Kilele cha Mlima badala yake… Angalia kila hatua Unayopiga ili Kufika unakokwenda…
.
Kwasababu…
.
Kadri unavyozidi Kuangalia unakokwenda bila Kufika ndivyo kadri… Unavyozidi Kuumia na Kuchoka zaidi na Mwisho wake unakata Tamaa…
.
Ndio maana Watu wengi huwa hawafiki kwenye… “Summit”
.
Au… kwenye Kilele cha Mlima!
.
Kwahiyo…
.
Badala ya wewe Kuangalia Kileleni unakokwenda… Wewe angalia kwenye Buti zako…
.
Angalia kwenye kila “HATUA” Unayopiga ili Kufika kwenye Kilele cha Mlima…
.
Na… Hivyo ndivyo Utakavyoweza Kufika Kileleni!
.
Sasa Mselem… Kwanini una Nambia Haya yote Leo?..
.
Yeah Vizuri Sana… na Bora Umeuliza!
.
Ukweli ni Kwamba…
.
Mimi binafsi huwa namuona Mtu yoyote anayetaka Kutimiza malengo yake flani kwenye Maisha au Biashara yake ni kama Mtu anayetaka Kupanda Mlima…
.
Kwasababu… Kuikuza biashara yako hadi Ifike hatua flani unayoitaka SIO kitu Rahisi…
.
Na…
.
Naweza kufananisha hiyo Hali ni sawa na Kupanda Mlima…
.
Kwahiyo…
.
Kama wewe ni Mjasiriamali mdogo na Unapambana Kufika kwenye Level flani Unayoitaka…
.
Basi usiweke Mawazo yako yote kwenye Malengo ya Mwaka badala yake Hamishia...
.
Mawazo yako yote kwenye Vitu ambavyo unaweza Kuvifanya leo ili Kufikia Malengo yako ya Mwakani…
.
Usikifikie kuhusu geto kali Utakalopata baada ya Kufanya Ishu flani…
.
Usifikirie kuhusu Lifestyle flani ya kwenda kukaa kwenye Restaurant flani huku pembeni una MacBook yako na Kikombe cha Kahawa…
.
Usifikirie kuhusu Iphone 14 Pro utakayopata baada ya Kupiga Dollar 1700 kwenye Forex…
.
Kwasababu…
.
Hayo yote hayawezi Kutokea usipokaa CHINI kila Siku na Kufanya unachotakiwa Kufanya ili Kutimiza Malengo yako…
.
Kwenye Maisha hasa hasa Maisha ya Biashara Inabidi uwe na…
.
“Realistic GOALS”
.
Usije ukatamani Maisha anayoishi Millard Ayo au Idriss Sultan na...
.
Ukadhani ni Maisha yaliokuja kama Bahati… HAPANA!
.
Kuna msoto mrefu Umefanyika nyuma ya PAZIA hadi kufika hapo Walipo Leo… na Kama wangeweka Akili zao kwenye Maisha walionayo leo basi nina Uhakika wasingekwepo hapo Walipo leo...
.
Hilo Lifestyle ni Matokeo ya…
.
Early Mornings na Late Nights Kibao + Kupoteza Weekends na Holiday Kibao kwenye Kufanya kile Wanachofanya now…
.
(Respect to These Guys)
.
Kwahiyo…
.
Kama wewe ni Kijana mdogo Unaeendelea Kujitafuta Ishi kwenye Kitu Kimoja Kinaitwa…
.
“Day – Sized Compartments”
.
Yaani…
.
Badala ya kufikiria kuhusu Malengo yako ya Mwaka mzima… Wewe fikiria kwamba ni Kitu gani utafanya Kila siku ili Kupata kile Unachokitaka mwishoni mwa Mwaka…
.
Sijasema Malengo yako SIO ya Muhimu…NOPE!
.
ILA…
.
Hayawezi Kutimia bila Kukaa chini Kila Siku na Kuyafanyia kazi…
.
Kwasababu…
.
“Targets are Always USELESS… Unless you’re Shooting them”
.
Na…
.
Hili ndilo KOSA Moja linalofanywa na 80% ya Vijana Kila Siku…
.
Badala ya Kuwekeza Akili na Nguvu zako zote katika Kitu gani Kifanyike leo ili Kufika kule Unakotaka… Badala yake Unafikiria kuhusu geto lako Litakavyokuwa baada ya Kupata unachokitaka…
.
Na…
.
Mwisho wa Siku unaishia Kuchoka na kukata Tamaa kwasababu… Muda unaenda na Kile unachokitaka Hakina hata dalili ya Kutokea…
.
Na…
.
Mwisho wake kabisa una… QUIT!
.
Na… hapo Ndipo vijana wengi Wanapofeli!
.
Kwahiyo…
.
Kitu kimoja ninachoweza Kukuachia leo hii ni kwamba…
.
1). Define your Goals…
.
Jua nini unataka Kukipata baada ya Mwaka kuisha hasa hasa Mwaka Ujao.
.
2). Fanya kitu kinaitwa… “CHUNKING”
.
Yaani…
.
Vunja vunja Malengo yako kwenye Vipande vidogo vidogo ambavyo Unaweza ukawa unavitimiza Kila mwezi…
.
Mwisho…
.
3). Fanya… “Reverse Engineering”
.
Anzia mwisho wa Mwaka jinsi Malengo yako unavyotaka yawe… Kisha anza kurudisha Nyuma hadi Siku uliyopo halafu Jiulize ni…
.
Vitu gani unatakiwa Kufanya kila Saa, Kila Siku, Kila Wiki na Kila Mwezi ili Kutimiza Malengo yako ya Mwaka mzima…
.
Then baada ya Hapo…
.
Fanya kile Kitu wanachofanya Mountain Climbers kwamba…
.
“Do Not Stare at the Summit, INSTEAD Stare at your Boots”
.
Yaani…
.
Stick to the PLAN… and NOT to the Goals!
.
Because… All “GOALS” are derived from the Execution of the Plan!
.
Na…
.
Hivyo Ndivyo utakuwa na Nafasi kubwa ya kutimiza Malengo yako kila Mwaka!
.
I Hope Umejua wapi Ulikuwa Unatereza?..
.
Si Ndio?..
.
Yeah… VIZURI
.
I Hope Umejifunza Kitu Kipya.
.
Uwe na JUMAPILI Njema.
.
GRACIAS
.
Seif Mselem
Ahsante kwa ushauri mzuri.
 
Siri ya utajiri ni kuweka akiba kisha kuwekeza kwenye biashara sahihi yani kupata details za kutosha sana kuhusu biashara unayotaka kwenda kufanya kutoka kwa watu sahihi wanaofanya biashara hiyo ili kuepuka kupoteza kile ulicho-make kwa mwaka au miaka kadhaa
Kumbuka kwamba hakuna akiba ndogo

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Uko Sahihi Kabisa Kaka...
 
Back
Top Bottom