cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,683
- 137,424
Hata mimi ndio nilivyokuwa nafikiri, hapo ni kama kujenga Vyoo vya shimo kwa mtindo tofauti.
Wakati nasoma kwenye shule moja kongwe ya serikali tulikuwa na Vyoo vya aina mbili, vile vya kuflash na vile vya shimo ambavyo tulivipa jina na kuviita 'mapambano'....kutokana na changamoto ya maji ilikuwa ni salama na rahisi zaidi kutumia choo cha mapambano.