TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Kosa lipo wapi!?Natumbua fasta. Rip jpm wetu.
Kosa lipo wapi!?Natumbua fasta. Rip jpm wetu.
Kuna siku na wewe utaelekea kuzimu ni swala la muda tuMfuate huko alipo huyo mungu wenu dikteta
Na injinia wa ujenzi wa wilayaViongozi Wapo
Afisa Elimu Mkoa Yupo
Afisa Elimu Wilaya Yupo
Mratibu Elimu Yupo
Nadhani tatizo ni hiyo kila tundu na bomba lake na kwa jinsi yalivyo unganishwa moja kwa moja na shimo ina maana harufu inarudi ndaniMleta uzi na wachangiaji hawasemi tatizo nini, ungessidia kuchangia bila muhaho
Hatua zitachukuliwa bila shakaWanafunzi wanakua na kuona utendaji wa kazi wa namna hii unadhani unawajengea utamaduni gani
Mambo kama haya tena shuleni ndio baadae tunaendelea kupata viongozi wanaojijali wao tu
Ila viongozi wapunguze mambo ya kuungaunga yamezidi na kuchosha kuonaHuu Ujenzi upo sawa kabisa kama pesa iliyokuwepo ni ndogo.
Kitaalam hapo hawajajenga Septic Tank wala hamna Soak Away Pit na hakuna haja ya kutumia vizuizi vya hewa Chafu kama S, P na U Traps ambazo hubaki na majimaji muda wote kuzuia hewa kurudi.
Kama sijakosea, Naona hii ni Modified Pit Latrine yaani Choo Cha Shimo Cha kisasa. Kitaalam kinaitwa REED ODOURLESS EARTH CLOSET
View attachment 1962440
Hairuhusu hewa kurudi ndani ya Choo kama wengi tunavyosema.
It's provided with Vent Pipe and is extremely a Satisfactory Toilet.
Faida zake 2 kwa aina hii ya Choo ni hizi;
1. Sakafu yake inabebwa na Udongo tu na hakuna Shimo chini yake kwa hiyo choo hakiwezi kushuka kwa kuporomoka kipindi Udongo ukizidiwa uwezo
2. Shimo lake linakaa pembeni ni rahisi kutapisha Uchafu na kuendelea kulitumia Tena Shimo hilohilo. Kwa hiyo kinadumu sana. Ni tofauti na hiki hapa chini kinachoweza kutumbukia
View attachment 1962441
Wasiwasi labda ni hizo Bomba kuwa za Plastic zinaweza zisidumu. Licha ya kuwa zitafukiwa vizuri maana pia zimewekwa karibu sana na Usawa wa ardhi na mbali kidogo kutoka kwenye Mashimo yenyewe ya Choo. Zingekuwa Rigid Pipes au Flexible Pipes na sio hizo BRITTLE choo safi saana