Uzalendo Installer
JF-Expert Member
- Nov 8, 2014
- 5,379
- 8,848
Watoto wakibonda bomba moja..maji machafu chini...huo ni uhuni
Kubwa zaidi4" ni nyembamba? Ilifaa waweke "ngapi?
Mtu kuwa fundi kazi yake sio kujenga tu ndio maana wanalipwaNa wewe kwa mawazo yako wote hao wamejijengea nyumba? Watu wengi ni wapangaji.
Wewe mtaalam wa kwenye mtandao tuambie hapo ungejenga chamber ngapi kwa ajili ya vyoo tisa vilivyo juu hivyo! Na ungeunganisha vipi kwenye septic tank.
Amandla...
Bora kimba lifike makazi yakeWATOTO WETU WOTE WATAINGIA FORM 1 MWAKA HUU HATUNA SECOND SELECTION TUMEJENGA MADARASA YA KUTOSHA RAIS AMETOA 842 BILIONI alisikika kiongozi mmoja akinadi kwa bashasha na masham sham sera za Chama
Ahsante mkuuMkuu siyo FALSE account bali ni FORCE account
We usithubutu. Harufu yoote ya shimo inarudi ndani. Ukitoka chooni nguo zote zinanuka.Ngoma zinaenda moja kwa moja bila kupita kwenye chemba ndogo, huyu injinia ni noma.......angeleta huu utaalamu kwa mafundi wetu wa kitaa.
Basi wangejenga vyoo vya shimowhat if eneo la shule lipo kijijini na hakuna maji, huoni chemba zitaleta shida?
Kama yule aliyeandika upupu wa chali nzeeeee janaHapo utamsikia mwehu mmoja anasema Rais samia amejenga matundu miambili ya vyoo....
What if wame forecast baada ya miaka miwili watakuwa na maji,itajuwa rahisi kufanya ukarabatiBasi wangejenga vyoo vya shimo
haya tuambie hayo mabomba yatafunikwa vipi ili kupata uchochoro tambarare?
Dah,huo ufundi wa hovyo kabisa kabisa, yaani bomba za uchafu zimetoka directly chooni kwenda kwenye chamber kubwa?WATOTO WETU WOTE WATAINGIA FORM 1 MWAKA HUU HATUNA SECOND SELECTION TUMEJENGA MADARASA YA KUTOSHA RAIS AMETOA 842 BILIONI alisikika kiongozi mmoja akinadi kwa bashasha na masham sham sera za Chama
Mfuate huko alipo huyo mungu wenu diktetaNatumbua fasta. Rip jpm wetu.
WATOTO WETU WOTE WATAINGIA FORM 1 MWAKA HUU HATUNA SECOND SELECTION TUMEJENGA MADARASA YA KUTOSHA RAIS AMETOA 842 BILIONI alisikika kiongozi mmoja akinadi kwa bashasha na masham sham sera za Chama
Mtu kuwa fundi kazi yake sio kujenga tu ndio maana wanalipwa
Wapi hapo Chato nini?WATOTO WETU WOTE WATAINGIA FORM 1 MWAKA HUU HATUNA SECOND SELECTION TUMEJENGA MADARASA YA KUTOSHA RAIS AMETOA 842 BILIONI alisikika kiongozi mmoja akinadi kwa bashasha na masham sham sera za Chama
Hiv watu ni makusudi au
Jf waongeze emojis maana nilikua nataka nioneshe kicheko cha kujigalagaza hapa hamna
Ngoma zinaenda moja kwa moja bila kupita kwenye chemba ndogo, huyu injinia ni noma.......angeleta huu utaalamu kwa mafundi wetu wa kitaa.
Hapo hakuna hata haja ya kuflash, kimba linateleza tu