Mama,
Kuna kama akina Dk.cyril Chami aliyekua deputy wa Bernard Membe,kuna akina Aggrey Mwamri ambae hata watu kutoka opposition walimkubali huyu jama ni mzalendo kweli kweli,rejea post ya Zitto kwenye ile thread iliyokua inawajadili akina Dk.Salim.
wengine walioko kama wangekua wachafu ni lazima wangekua wameshatangazwa kama Mramba.
uzuri wa mada hii ni kuexplore our ouw sentiments kuhusu makabila mengine. Je unafikiri wewe ni mkabila unapowafikiria watu wa makabila mengine in general terms? Well, wakati mnaendelea kujadiliana nakimbia kuwaletea taarifa ya habari ya saa mbili kupitia KLH News.. be the first to know, what people will be talking about tomorrow!
Mi mchagga...na nimeandika hivyo makusudi kabisa ili kutia 'vionjo' vya kichaga
On a serious note,
Nawaomba mamods hii thread ifunguwe, itupwe kapuni for good. Na Mwanakijiji afungiwe walau kwa wiki moja. Hii party ya huko sijui Columbus naona imembadili 'fikra' zake na sasa hivi amekuja na mawazo ya ukabila...sio watu wot wataweza kuelewa maudhui ya hii thread na kama walivosema wengine , hapa watu watatumia emotions tu
Hapa JF nina hisia kuwa wengi ni wachagga pia ( si ndo 'wamefanikiwa zaidi' so wana access ya komputer etc..) au la wana GF/BF wa kichagga..so kwa kuanzia walioa na unasaba wowote na wachagga wasiingie JF kuanzia kesho.
Mwanakijiji, pamoja na kupendekeza ufungiwe bado hutatakiwa uingie JF manake najua uchagani haoakwepeki.....bisha..!
mamod hilo ndo wazo langu jamani......
uzuri wa mada hii ni kuexplore our ouw sentiments kuhusu makabila mengine. Je unafikiri wewe ni mkabila unapowafikiria watu wa makabila mengine in general terms? Well, wakati mnaendelea kujadiliana nakimbia kuwaletea taarifa ya habari ya saa mbili kupitia KLH News.. be the first to know, what people will be talking about tomorrow!
teh teh teh teh tehhhhhhhhhhhhheeeeeeeeeeeeeeee. Report ndio mamod wataona, kelewuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, Yesu na Maria na Yosef, ha ha hahaaaaaaaaaaaaa. Jamani raha.........raha tupu JF, no wonder addicted.
Na wewe nawe....sio subutu bana ni thubutu....we kabila gani wewe?
We Kuhani nawe....kazi yako kuangalia vimakosa vidogo vidogo na kukosoa.....
Napinga hili. Hii ni moja ya maandiko muhimu katika historia ya jamboforum. For simple minds watarukia ubaguzi but for any critical person hii ni nafasi ya kuamka na kujitambua......wapi tunaelekea na siasa chafu tunazoelekea kuzizoea.......
This can be the best wakeup call ever kwetu sote na Tanzania yetu.....
Tanzanianjema
Basi sasa hivi ianze sera ya majimbo ili kila mkoa ujiendeleze kwa rasilmali zake!
Hapo sijui itakuwaje?
Noooooooooon!mimi si mmoja wao nakana mara mbili kabla jogoo hajawikaShhhhhhh.....na wewe ni mmoja wao?
Noooooooooon!mimi si mmoja wao nakana mara mbili kabla jogoo hajawika
Lakini hapa naona 'collective judgment' si inakubalika, kwamba Wahaya mambo fulani, Waha wabishi, Wachaga stingy, Wakyura wakorofi, Wamachinga hawakuchimba, Wanyakyusa wakabila, na Wasukuma wanga...
Ooh, na Wahehe ma-house girl.
Au?
Kuhani.. suala la mimi kupinga ukabila halikuanza kwenye mada hii... kwa miaka miwili nimekuwa nikikemea waziwazi hizi sentiments za kuchukia wachagga. Imefika mahali jina la Mchagga likitajwa kwenye nafasi fulani watu vinyweleo vinasisimka! Na yote haya yako based siyo na kitu ambacho kimefanywa na jamii ya Wachagga.. hapana, bali kwa sababu ya idadi yao kwenye nafasi au vyeo fulani.
Ndio maana hili pendekezo ni "modest" lingekuwa kali ningependekeza kitu kingine kabisa.
Hoja kama hizi ziwe zimetoka kwa Mgagagigikoko(wangwe) ama hata ROSTAMA AZIZII AMBAYE NI GAIDI LA KIARABU KUTOKA IRANI LILILOTUMWA KUJA KUICHUKUWA NCHI YETU MARA BAADA YA MAPIGANO YA WENYEWE KWA WENYEWE!
MTAPOKEA VIPI ORDER KUTOKA KWA MTU AMBAYE NDIYE ENGINEER MKUU WA UFISADI WOTE AMBAYE ALI WATARGET WACHAGGA ILI KUWA ELIMINATE NA KULETA WAARABU?
Tuta waachia Dar yao na ZENJI KAMA WANAZITAKA!
THIS IS BANTU LAND WAPELEKE MATAKO YAO UARABUNI!
AND OFCOURSE TUTAZICHAPA ILI KUTETEA uhuru wetu!
hao ni 0.000000101010% ya wachaga. Any way thanks kwa mfano huo, Chami ni mchaga wa Marangu ndo akawa msafi eeh? Na Mwanri ni wa Siha, inakuwaje kule Sanya wakafisadi misitu yote na yeye kanyamaza tu, au ndio kulinda heshima ya sirikali?
Mama
Sasa woote siwajui maanke wengine ni mpaka watuibie ndio wawe maceleb.