Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,465
- 4,678
Tokea nizaliwe sijawai kusikia mtu anatoka mjini anaenda kutafuta maisha kigoma, sumbawanga, Gairo, Mara, Ruvuma, Mtwara, Singida n.k.
Simaanishi kwamba hakuna watu wenye pesa lakini naona kama huko mikoa ya pembezoni nguvu ya kuweza kuinua mtaji wa Kwa Kasi na kukua sio jambo jepesi ni kimbembe, nilifanikiwa kwenda maeneo kama kakonko, kibondo, Bariadi, Gairo, chemba, Bahi, Ruangwa, Songea, same, Mwanga na maeneo mengine ya vijijini, kwanza kila ndoto ya wakazi wa huko wanawaza kwenda daresalam na Mwanza kutafuta maisha.
Daresalam linabaki kama jiji muhimu sana kwa mtu kwenda kutafuta kipato kwa sababu ya mzunguko uliopo, ukiwa na mtaji, nidhamu,Mungu basi kwa mtaji wa million 5-10 unatosha kabisa kua wa tofauti kwa muda wa miaka 2 tu.
Lakini hata ukiwa na mtaji wa hiyo million 5-10 huko mikoani unaweza kukosa Cha kufanya maana unaweza anzisha biashara na ukakosa pia wateja.
Huko vijijini ni ngumu Sana kupata kijana mwenye pesa, mfano tokea alipoanza kuhustle mpaka kua na assets yoyote ya maana sio rahisi Kwa muda wa miaka 5, lakini Kwa daresalam mtu mwenye mtaji miaka 5 ni mingi sana lazima atakua na asset za maana na zinazoonekana, matajiri wengi huko mikoani na vijijini ni wazee.
Hivi mawazo yangu yapo sahii? Huko mikoani mtu anaweza kutoboa Kama ilivyo kwenye miji mikubwa?
Simaanishi kwamba hakuna watu wenye pesa lakini naona kama huko mikoa ya pembezoni nguvu ya kuweza kuinua mtaji wa Kwa Kasi na kukua sio jambo jepesi ni kimbembe, nilifanikiwa kwenda maeneo kama kakonko, kibondo, Bariadi, Gairo, chemba, Bahi, Ruangwa, Songea, same, Mwanga na maeneo mengine ya vijijini, kwanza kila ndoto ya wakazi wa huko wanawaza kwenda daresalam na Mwanza kutafuta maisha.
Daresalam linabaki kama jiji muhimu sana kwa mtu kwenda kutafuta kipato kwa sababu ya mzunguko uliopo, ukiwa na mtaji, nidhamu,Mungu basi kwa mtaji wa million 5-10 unatosha kabisa kua wa tofauti kwa muda wa miaka 2 tu.
Lakini hata ukiwa na mtaji wa hiyo million 5-10 huko mikoani unaweza kukosa Cha kufanya maana unaweza anzisha biashara na ukakosa pia wateja.
Huko vijijini ni ngumu Sana kupata kijana mwenye pesa, mfano tokea alipoanza kuhustle mpaka kua na assets yoyote ya maana sio rahisi Kwa muda wa miaka 5, lakini Kwa daresalam mtu mwenye mtaji miaka 5 ni mingi sana lazima atakua na asset za maana na zinazoonekana, matajiri wengi huko mikoani na vijijini ni wazee.
Hivi mawazo yangu yapo sahii? Huko mikoani mtu anaweza kutoboa Kama ilivyo kwenye miji mikubwa?