Ctakpga tena dearSitokaa nisahau kile kibao kabisaaa!! Kilikuwa kimoja tuuu ila niliona nyota zoote za mbinguni zimehamia pale sebleni!
Voxser empire
Ctakpga tena dearSitokaa nisahau kile kibao kabisaaa!! Kilikuwa kimoja tuuu ila niliona nyota zoote za mbinguni zimehamia pale sebleni!
mkuu its not about 50/50
Niqqasijawahi mpiga mpenz wangu mpya anapokosea namwambia tu kosa lake alaf tunasolve
japo ananipenda sana mm ata sijampenda kivile
maumivu niliyoyapitia kwenye mapenz
yalinifundisha kupenda kwa kutumia akili sio moyo
hata mke nitakaekuja kuoa sitampenda sana nitampenda kawaida tu kwa kumjali kama binadamu mwenzangu
Anaestahili kupendwa kutoka moyoni ni Mungu pekee maana yeye habadiliki
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuuPole
Voxser empire
Kwenye mitandao unaomba talaka ila ukipewa na mmeo huondokiYaani nilivyoona umenikoti nilijua tu kuwa hiki ndicho umeandika, mimi sipigwi ukinipiga uwe umeandaa kabisa na talaka
Mm nazani kungeazishwa chuo chakusomea jinsi yakuishi nao hawa watu.Unaweza kuahidi kutompiga mkeo ila hawa watu hata kama tunatakiwa kuishi nao kwa akili inatakiwa akili kubwa yenye IQ ya 100 mana du wanaudhi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kabisha mwanaume ananyanyua mkono wake anampiga mwanamke[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Sijawahi kuwaelewa. Its obvious ana matatizo makubwa sana,hajiamni,malezi mabovu,hajielewi.
Siku nikipigwa nahisi nitafanya jambo ambalo hatokaa alisahau.
mkuu Jokajeusi hapa kwenye mwanamke kuolewa na mwanaume asiyempenda hapa,hivi ikitokea inawezekana ndo nzuri ikajengeka kweli hapo?Mkuu hapo unajidanganya tuu. Mtu akishakuwa Mke Kumpenda kunakuja automatic. Kifupi huwezi oa mwanamke usiyempenda ila mwanamke anaweza olewa na mwanaume asiyempenda.
Usimlee mtoto kama yaiMtoto ni pambo la nyumba kwa kweli
Unamchapa kwa kosa gani? Kisa kachana kochi? We umeweka wembe visible kwanini?
Kavunja glass unampiga ili iweje?
Kawa mtundu siku nzima unarudi nyumbani wife anakuambia na wewe unaanza kupiga, Big NO
Hapo mtoto kaboeka inabidi umtoe nje katembee nae mnunulie ice cream au kama kuna mpira kacheze nae hata garden
Kweli wengi huona last option ni kupiga tu lakini mimi huwa najizuia na qhadhabu zangu na kusema nikimpiga haelewi hata kosa halafu baadae eti unamuonea huruma na kesho anarudia tena
Inataka moyo sana kuwamudu watoto
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Are you serious mkuu @ortutoo ?yaani ukosee wewe afu mkeo ndo aombe msamaha?kwa kipi hasa?is this for real au unaongea tu hapa ili muda usogee?hichi kizazi ni hatari,mwaume akikosea mwanamke antakiwa yeye ndo aombe msamaha
Wamekuwa mkuu wengine wako vyuoni
Kama n wa kike tatizo wakianza kuolewa yan hata akigombezwa na mume wake hata kidogo tu tayar kashabeba mabegi arudi kwa "dady" na ndo maana single mother wanaongezeka kwa stail hzhz za malezi mabovu toka wako wadogo wamezoea kudekezwa.Wamekuwa mkuu wengine wako vyuoni
Tuna ukaribu sana na watoto wangu
Kama kupiga inakupa ukaribu nao sawa ila kila mtu ana utaratibu wake wa kulea
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Ni sehemu na sehemu pia mataifa tofauti na jinsi ya makuzo tuKama n wa kike tatizo wakianza kuolewa yan hata akigombezwa na mume wake hata kidogo tu tayar kashabeba mabegi arudi kwa "dady" na ndo maana single mother wanaongezeka kwa stail hzhz za malezi mabovu toka wako wadogo wamezoea kudekezwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo nimeyapenda maelezo yakoNi sehemu na sehemu pia mataifa tofauti na jinsi ya makuzo tu
Kama utakuwa muongo kwa kujidanganya na maisha nao watakuwa hivyo hivyo
Kweli wapo wanaokuwa hivyo na wapo wanaojua njia bora ya ku handle maisha
Mimi sidekezi na kama wanakosea nawapa ukweli na kuwakaripia kupo ila sio kwa ngumi.
Kuna mipaka ya baba na watoto na hilo wanalijua pia heshima kwa watu ni jambo la muhimu sana
Inategemea na malezi na inaanzia kwenye msingi wa chini
Hata kama nina hela za kutosha kuwapa wakiwa holiday ni lazima wafanye volunteer au walipwe lakini kazi lazima wafanye kwa kujifunza
Sasa sijui nadekeza hapo pia
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
this is for real gentlemanAre you serious mkuu @ortutoo ?yaani ukosee wewe afu mkeo ndo aombe msamaha?kwa kipi hasa?is this for real au unaongea tu hapa ili muda usogee?
then that's not how a gentleman is supposed to bethis is for real gentleman