Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

mkianza kupigana hamna ndoa tena.......mnaanzaje....si kila mtu aende zake........nikikupiga ujue nshakutoa rohoni......and am leaving........siamini ktk kupigana.....hata kama umecheat....nishadhibitisha......ni kwamba sikufai...so what next......
 
Nilipoa my dear! Ni ndoa mamy kupishana kupo na kila mmoja ana namna ya kumaliza hasira zake!

Hapana my dear, usimtetee mana hukufanya kosa lolote yeye ndo alifanya kosa sasa ili kujihami akaamua kukuadhibu ili usimuulize, na amefanikiwa mana kashakujengea uoga na amekufunga kinywa hutaweza kumuuliza tena mambo yake hata uone anakosea mbele ya macho yako utabakia kugumia rohoni, sasa ni maisha gani hayo?
 
Du mi kwa kweli sijawahi kumpiga wife wala mwanamke yeyote coz mi hasira ikifika climax naenda zangu bar.nikirudi zimeisha coz najitambua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana my dear, usimtetee mana hukufanya kosa lolote yeye ndo alifanya kosa sasa ili kujihami akaamua kukuadhibu ili usimuulize, na amefanikiwa mana kashakujengea uoga na amekufunga kinywa hutaweza kumuuliza tena mambo yake hata uone anakosea mbele ya macho yako utabakia kugumia rohoni, sasa ni maisha gani hayo?
Na mie wala simuogopi, namheshimu!
Naelewa alipanick na sio namtetea namjua vyema kabisaaa! Hayupo kama unavyofikiria my dear
 
No ni life style yangu toka npo dogo tu kupiga mtu siwezagi coz najua mazungumzo ndo huleta suruhu nzuri.pia mkono mzito matukio ya kuwapiga vijana wenzangu labda direct ame nia attack apo lazima nijitetee

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ujumla kumpiga mwanamke sio jambo nzuri kabisa ila inapobidi. Hivyo isiwe kila siku.
Kwa maana kawaida binadamu tunatakiwa kuzoweshana mambo ambayo ya kufurahisha.
Ili ikatokea kua mbali na Mtu au watu wakukumbuke na kuutambua umuhimu wa wewe kuwepo.
Lakini ukimzowesha mke kumpiga piga siku akimpata alive dhaifu( asie na Hila ya kumpiga ) Ujue usha poteza ndoa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa ujumla kumpiga mwanamke sio jambo nzuri kabisa ila inapobidi. Hivyo isiwe kila siku.
Kwa maana kawaida binadamu tunatakiwa kuzoweshana mambo ambayo ya kufurahisha.
Ili ikatokea kua mbali na Mtu au watu wakukumbuke na kuutambua umuhimu wa wewe kuwepo.
Lakini ukimzowesha mke kumpiga piga siku akimpata alive dhaifu( asie na Hila ya kumpiga ) Ujue usha poteza ndoa


Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana my dear, usimtetee mana hukufanya kosa lolote yeye ndo alifanya kosa sasa ili kujihami akaamua kukuadhibu ili usimuulize, na amefanikiwa mana kashakujengea uoga na amekufunga kinywa hutaweza kumuuliza tena mambo yake hata uone anakosea mbele ya macho yako utabakia kugumia rohoni, sasa ni maisha gani hayo?
wacha upumbafu wa kumshawishi mwenzio aharibu ndoa yake.....walipishana maneno...keshaamua kusamehe.....mpongeze na kumpa pole.....mengine "delete"
 
huaga kuna ushenzi unakujaga inabidi ufanye kama hivo.. hawa watu wanatiaga hasira sana asee
 
wacha upumbafu wa kumshawishi mwenzio aharibu ndoa yake.....walipishana maneno...keshaamua kusamehe.....mpongeze na kumpa pole.....mengine "delete"

Hayo ndo mawazo yangu japo yakipumbavu na ww mpe yako ya kiungwana itatosha sana, mana binadamu hatufanani fikra kwahyo hukuwa hata na sababu kujibu comnent yangu ungeongea moja kwa moja na muhusika
 
Yaaan nilichoka kwakweli kuna siku alinikimbiza barabarani nkalukia kwwnye daladala imagine nilisuka yebo fasta zilinyofoka kwa kuvutwa...ile naingia kwenye daladala nkakaa siti ya mwisho na hema hatari abiria wanaanza kuniuliza we vip unaumwa....baada ya kuokolewa ndo akanza kuwa Malaya sasa njunjana na mademu hatari kwa kisingizio alinipenda sana lkn me sikumpenda kwaio umalaya wake anasema mm nimesababisha....dah

am better here
akafie huko jinga kabisa hilo umalaya wake afu akusingizie we ndo chanzo kwa hiyo alitaka akuue ili ye asiwe Malaya stupid kabisa
 
Back
Top Bottom