orturoo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 3,101
- 5,343
my mama always seeks for forgiveness hata kama hajakosea yeye kwa mwanamke ni vyema sana kujishusha,wakienda chumbani wanaeleweshana,then that's not how a gentleman is supposed to be
a gentleman kamwezi hawezi lazimisha mkewe amheshimu kimabavu,atafanya jukumu lake kama mwanaume na kumweka mwanamke kwenye position yake kulingana na tu na manish behaviours zake mkuu
plus a gentle man ataomba msamaha ikiwa atajua kwamba yeye ndo kakosea
pia hatakuwa tayari kuumiza hisia za mwanamke wake kwa kuwa anamjali na anajua mwanamke wake ni mtu pia na ana hisia kama tu yeye alivyo nazo
that's being gentle ila kutaka mkeo akuombe msamaha kosa lako ni kulazimisha heshima something that's too hard na jambo linalopelekaea wanandoa kuishi maisha ya kinafiki huku mmoja akienjoy ndoa mwengine akiwa picha tu kwa ajili ya hali nzuri ya mwingine,that's slavery dude not a lovely family,piga goti sana kupata mwanamke mtiifu kiasi hicho bila kuweka grudges moyoni mwake vinginevyo utapata taabu sana coz wapo one in a million mkuu,wachache sana mkuu.
note: Wanawake wengi wanapenda wanaume wababe