Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Asa namwachacha sababu ya kibao ama?! Sikumwacha wala, ila nililia wiki nzima!

Chanzo ni simu yake iliita nikaifuata kumchukulia, kusoma jina linasomeka barafu wangu mie nikamwambia barafu wako anakupigia simu daaahhh nilisikia tuu kibao na kile kimotorola chake ninacho mkononii nikaona mbingu inatetema, nyota zoote ziko sebleni hatimaye nikadondoka chiini! Dk tano nzima sikuelewa nini kinaendelea kabisaaa nyota zikakoma machozi yakaanza sasa!
Mungu wangu, shoga hiyo sio ndoa, pole
 
Mwaka 2015 sikumbuki tulipisha kiswahil gan na wife ukazuka mzozo na kama unavyojua wanawake ukishampenda na kumuheshimu na ukizingatia kama elim hatuna tofauti basi huwa wanaona kama tunawaogopa sana.

Maneno yakaanza bwana, nikatulia kimyaa sebuleni yy yuko pembeni.Kaongeeeeaaa ila mm nimetulia kimya tu.(kipindi hicho alikua na mimba ya miezi kama mi 3,sasa sijui kama ndio ilikua inamsumbua).Kumbe kukaa mm kimya kunazidi kumkera anataman tujibizane.

Nikaona isiwe tabu nikazama gheto kulala ingawa ilikua mchana sijaenda kazini.Akanifuata gheto bado anaoiga kelele.Nikatulia kimya nikaamka.Bado kelele zinaendelea.Nikanyanyuka nitoke nje kabisaa akaniwah kukaa mlangoni eti anazuia nisipite nibaki ndani.
Nikamwabia nomba kupita, eeh!!hapo ndio akanivaa mwilin et ananioiga push na kifua chake.Nikaona isiwe tabu.NILIMUWASHA KIBAO KIMOJA TU kitakatifu ,akajikuta amerushwa mpaka kitandani.Mm nikatoka nje nikatuliaaa.Na ukizangatia hii ndio ilikua mara ya kwanza na alikua ana mimba basi hichi kitendo kilinifanya nijiskie vibaya sana.Nikajua sasa maisha yatakua magumu kwa muda acha nijiandae kisaikolojia.

Eeh!Cha kushangaza kama baada ya saa moja namuona huyo anakuja nje kuniaribisha ndani nikale chakula.Nikashangaa sana.Na upendo ukaundlea kama hakuna kilichotokea.

Wanawake ni wa ajabu sana kuwaelewa.
hahaha dah. noma sana kaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Speaking as a married woman, niko kwenye ndoa mwaka wa 6 huu na hakuna kitu kama hicho na wala sioni dalili kama kitakuja kutokea

Oh yeah?

Miaka sita nayo ni miaka?

Kitatokea,bado wakati wako....

Kwanini usi-relax una-declare ushindi mapema namna hii?

Mpaka mmoja wenu afe au wote ndio unaweza declare hakijawahi tokea...

Besides,no one knows you,inawezakua unatudanganya pia,who knows?
 
Oh yeah?

Miaka sita nayo ni miaka?

Kitatokea,bado wakati wako....

Kwanini usi-relax una-declare ushindi mapema namna hii?

Mpaka mmoja wenu afe au wote ndio unaweza declare hakijawahi tokea...

Besides,no one knows you,inawezakua unatudanganya pia,who knows?

Nikudanganye ili nipate faida gani wakat hata hatujuani? Wanaume wasiopiga waliolelewa vyema wapo tena wengi saaana, na mume wangu ni mmoja wao, na sio kama hatukoseani ila tutajibizana, tutanuniana na baada ya hapo yanaisha maisha yanaendelea, lakn sio kupigana, unaanzaje kunipiga? Unless uwe umeshaichoka hyo ndoa unatafuta sababu tuachane
 
Alafu kanakukwida na shati hii inatokea kwa sisi wanaume ambao ni wapole ambao mwaka mzima tunatoa vitisho vya kupiga lakini hatupigi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji870]



Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂maneno yanawaponza sana,yani kana question uanaume wako,unajikuta tu umekazibua kanalialia tu helpless
 
Nikudanganye ili nipate faida gani wakat hata hatujuani?
Si ili ujipatie umaarufu hapa kua una exceptional husband!Which infact it is a lie!

Wanaume wasiopiga waliolelewa vyema wapo tena wengi saaana, na mume wangu ni mmoja wao
Waliolelewa vyema?

According to who?Wewe hapo?Wewe ndio mtoa standard?

Stop acting!

na sio kama hatukoseani ila tutajibizana, tutanuniana na baada ya hapo yanaisha maisha yanaendelea, lakn sio kupigana, unaanzaje kunipiga?

Kumbe mnapishana na kukombana,there will be flashpoints,zitakuja!Eti unajigamba anaanzaje kukupiga?

Hivi inakuaje watu wanapigana?Wewe sio mtu ni gogo?Inakuaje nchi zinaenda vitani,and who the fvck are you?

Acha kujishaua wewe!

Endelea kuomba mungu isitokee flashpoints hivyo hivyo,ila itatokea hata kama itakua ni mwaka wa 50 wa marriage!

Au,lets say your "very good" has realized his position as number 2 behind you and he's comfortable and whatever bullshit you drop has the pass!

Unless uwe umeshaichoka hyo ndoa unatafuta sababu tuachane
Hivi unadhani ndoa zinavunjika sababu ya kupigana?

Ukicheck takwimu worldwide kupigana ni reason number 3....

Hii notion eti watu wakipigana ndio kuvunjika kwa ndoa,check again!

Broaden your horizon,kupigana ni least of the problems!

Kwahiyo hebu relax,acheni kupaniki!
 
Si ili ujipatie umaarufu hapa kua una exceptional husband!Which infact it is a lie!


Waliolelewa vyema?

According to who?Wewe hapo?Wewe ndio mtoa standard?

Stop acting!



Kumbe mnapishana na kukombana,there will be flashpoints,zitakuja!Eti unajigamba anaanzaje kukupiga?

Hivi inakuaje watu wanapigana?Wewe sio mtu ni gogo?Inakuaje nchi zinaenda vitani,and who the fvck are you?

Acha kujishaua wewe!

Endelea kuomba mungu isitokee flashpoints hivyo hivyo,ila itatokea hata kama itakua ni mwaka wa 50 wa marriage!

Au,lets say your "very good" has realized his position as number 2 behind you and he's comfortable and whatever bullshit you drop has the pass!


Hivi unadhani ndoa zinavunjika sababu ya kupigana?

Ukicheck takwimu worldwide kupigana ni reason number 3....

Hii notion eti watu wakipigana ndio kuvunjika kwa ndoa,check again!

Broaden your horizon,kupigana ni least of the problems!

Kwahiyo hebu relax,acheni kupaniki!

I feel sorry 4u
 
Au unadhani according to these internet lies and claims ndio zinafanya uwe ahead of other people labda?
Besides,we dont know each other,we are just internet characters,nothing serious,leave it alone lady!
Kuna siku nilitumia some explicit words kuwatahadharisha watu humu wanadanganyana sana, nikaishia Ban!..
Me mwanamke asithubutu nikunja au sema tutapigana, achague sana maneno ya kutumia kwenye hasira zake!..
 
hahaha dah. noma sana kaka

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua hiyo ni kwa sababu gani?
Kuna msemo usemao kukaa kimya hilo ni jibu la mjinga.
Kwa hiyo huyo ndugu hata kama kesi hiyo Inge kua kwa mkewe halafu yeye amehamaki mkewe kakaa kimya kwa kweli angejisikia vibaya na kuzidi kupaniki.
Mi nisemetu kukaa kimya wakati wa ugomvi kati ya mke na mume ni jambo ambalo baya sana na linaweza kuchochea ugomvi kubwa mkubwa na usioisha.
Chamsingi ni kuongea kwa uangalifu Hasa ukijua wewe ndio mwenye kosa mambo hayakawii kwisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Oh yeah?

Miaka sita nayo ni miaka?

Kitatokea,bado wakati wako....

Kwanini usi-relax una-declare ushindi mapema namna hii?

Mpaka mmoja wenu afe au wote ndio unaweza declare hakijawahi tokea...

Besides,no one knows you,inawezakua unatudanganya pia,who knows?
Mwambie, itatokea tuu day one akae chonjo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si ili ujipatie umaarufu hapa kua una exceptional husband!Which infact it is a lie!


Waliolelewa vyema?

According to who?Wewe hapo?Wewe ndio mtoa standard?

Stop acting!



Kumbe mnapishana na kukombana,there will be flashpoints,zitakuja!Eti unajigamba anaanzaje kukupiga?

Hivi inakuaje watu wanapigana?Wewe sio mtu ni gogo?Inakuaje nchi zinaenda vitani,and who the fvck are you?

Acha kujishaua wewe!

Endelea kuomba mungu isitokee flashpoints hivyo hivyo,ila itatokea hata kama itakua ni mwaka wa 50 wa marriage!

Au,lets say your "very good" has realized his position as number 2 behind you and he's comfortable and whatever bullshit you drop has the pass!


Hivi unadhani ndoa zinavunjika sababu ya kupigana?

Ukicheck takwimu worldwide kupigana ni reason number 3....

Hii notion eti watu wakipigana ndio kuvunjika kwa ndoa,check again!

Broaden your horizon,kupigana ni least of the problems!

Kwahiyo hebu relax,acheni kupaniki!
Mathewson msamehe mkuu,,.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom