Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,252
- 125,002
Hahaha hiyo ndio ilimchanganya we jina limeandikwa barafu wangu we unasoma barafu wako lol[emoji23][emoji23][emoji23]Asa namwachacha sababu ya kibao ama?! Sikumwacha wala, ila nililia wiki nzima!
Chanzo ni simu yake iliita nikaifuata kumchukulia, kusoma jina linasomeka barafu wangu mie nikamwambia barafu wako anakupigia simu daaahhh nilisikia tuu kibao na kile kimotorola chake ninacho mkononii nikaona mbingu inatetema, nyota zoote ziko sebleni hatimaye nikadondoka chiini! Dk tano nzima sikuelewa nini kinaendelea kabisaaa nyota zikakoma machozi yakaanza sasa!