Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Na kweli sitorudia tena kunyanyua simu yake nimpe, ikiita huwa naiacha akaichukue mwenyewe!
Huyo nae jamaa kavu kichizi. Sema unaonekana utakuwa mlalamishi as well,sasa ili kuepusha lawama bora usiiguse simu ya boss kazi. Kama kila ukishika simu swali la "Huyu nani?!" halikauki hamna namna zaidi ya ban ya nguvu!
 
Ulimwacha au ulifanya nini ,??
Chanzo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Asa namwachacha sababu ya kibao ama?! Sikumwacha wala, ila nililia wiki nzima!

Chanzo ni simu yake iliita nikaifuata kumchukulia, kusoma jina linasomeka barafu wangu mie nikamwambia barafu wako anakupigia simu daaahhh nilisikia tuu kibao na kile kimotorola chake ninacho mkononii nikaona mbingu inatetema, nyota zoote ziko sebleni hatimaye nikadondoka chiini! Dk tano nzima sikuelewa nini kinaendelea kabisaaa nyota zikakoma machozi yakaanza sasa!
 
Of course I know my position, ila mabavu big no

Wewe Khantwe,hebu niambie kama watu wazima hapa,wewe umeolewa,hivi utajuaje mpo kwenye true love kama hamjawahi pata true pain na mkaivuka?

Ndoa ni fake kama pain haijawahi ingia na mka graduate from that pain!

Bado mpo kwenye ndoa fake wewe!

Kwenye ndoa ni LAZIMA kuna siku mtu atapewa ubatizo ndio itakaa sawa na true love itakuwepo!

Sasa hivi mnachezeana sharubu tu,hakuna lolote!
 
Ushakataa kwa kufanya nini mkuu??
Trully kuna time mnaboa sana hadi inafikia hatua Nimekukwida shingoni nataka nkzabe makofi nakuacha, .
Usipate mtu mwenye hasira sana boss labda ukute hufanyi ujinga ujinga na ukiambiwa unasikia.
Hapo ndo wanawake tunakosea eti olewa unambie!! Mtanyanyasika sana habari za kuhalalisha kipigo....mi wangu hanipigi na nishakataa huo ujinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sijawahi mpiga mpenz wangu mpya anapokosea namwambia tu kosa lake alaf tunasolve
japo ananipenda sana mm ata sijampenda kivile
maumivu niliyoyapitia kwenye mapenz
yalinifundisha kupenda kwa kutumia akili sio moyo

hata mke nitakaekuja kuoa sitampenda sana nitampenda kawaida tu kwa kumjali kama binadamu mwenzangu

Anaestahili kupendwa kutoka moyoni ni Mungu pekee maana yeye habadiliki

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah mzee naona una ganzi flani
 
Back
Top Bottom