Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Mwingine unapiga goti unaomba poo, unakimbilia chini ya uvungu bado ana wewe ......

Kama umesoma kule juu kuna mmoja ye alipeleka simu na kuuliza jina la mpigaji simu akapewa kofi zito

Kupigwa sio ishara ya ukorofi hata
Naweza nikasema nina bahati ya kuwa nao ambao si wakorofi kiasi hicho. Wengi wao ukiwaambia sijapenda hiki au kile basi wanaomba samahani mie mrembo akishaomba samahani sioni sababu ya kuendeleza varangati.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmh nilipokea kipigo cha mbwa koko kisa kutotoa ushirikiano kwenye mgegedo....me nilikua sijisikii mwenzangu anataka doooh mvua ya ngumi ilinyesha...pasuliwa sim ,vunjiwa saa,,yan nyang'anyang'a...na ela nkapewa juu....tukasolve yakaisha hatujakaa sawa nimetimba magetoni anaomba mzigo naleta kamgomo weeeee alitaka kunichoma na mkasi kabsa shingoni mweee yule kaka...tukaachanaga kwa nguvu ivo ivo.....mpka Leo naogopa ugomvi bora nikimbie nikiona hari ya hewa imechange au nijishushe mpaka apoe kuna watu wanahasira dunia hii cjapata ona....

am better here
Hahah hilo jamaa sio li nyaki kweli?

Anyways pole kwa mkasa uliokukumba ila tu kwa usalama wako na wa baby face yako usipende kwenda kwa mwanaume kama haujiskii kusex nae. Katika hali ya kawaida jamaa alikuita ili akupige mikasi, ikiwa wewe mahitaji yako anakupa hakuzungushi wewe kwanini umletee zengwe?

Yani huyo mchizi alikuwa sexmaniac ila sio mbaya umejifunza kitu. Zingatia ushauri wangu hapo juu, better off kutoa excuse kuliko kuleta porojo mkiwa chumbani. Utachaniwa chupi upigwe miti ukiwa na Periods zako hutaamini!
 
Mwingine unapiga goti unaomba poo, unakimbilia chini ya uvungu bado ana wewe ......

Kama umesoma kule juu kuna mmoja ye alipeleka simu na kuuliza jina la mpigaji simu akapewa kofi zito

Kupigwa sio ishara ya ukorofi hata

Sent using Jamii Forums mobile app

Hio kufata mtu hadi uvunguni ni madness, huenda mtu unaishi na kichaa bila kujua!

Yule jamaa aliompiga Sakayo alimuonea tu! Mwanamke wako ana haki ya kuuliza chochote ambacho kinamtatiza kuhusu wewe. Sema tu ni ule utata na jamaa alijaribu kuua soo maana majibu ya maswali ambayo yangefuata asingeweza kuyajibu. Kofi lilikuwa la kuifunga ile mada!
 
Ndo wengi wenu mnatubutua kwa sababu hiyo sasa
Yule jamaa aliompiga Sakayo alimuonea tu! Mwanamke wako ana haki ya kuuliza chochote ambacho kinamtatiza kuhusu wewe. Sema tu ni ule utata na jamaa alijaribu kuua soo maana majibu ya maswali ambayo yangefuata asingeweza kuyajibu. Kofi lilikuwa la kuifunga ile mada!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah hilo jamaa sio li nyaki kweli?

Anyways pole kwa mkasa uliokukumba ila tu kwa usalama wako na wa baby face yako usipende kwenda kwa mwanaume kama haujiskii kusex nae. Katika hali ya kawaida jamaa alikuita ili akupige mikasi, ikiwa wewe mahitaji yako anakupa hakuzungushi wewe kwanini umletee zengwe?

Yani huyo mchizi alikuwa sexmaniac ila sio mbaya umejifunza kitu. Zingatia ushauri wangu hapo juu, better off kutoa excuse kuliko kuleta porojo mkiwa chumbani. Utachaniwa chupi upigwe miti ukiwa na Periods zako hutaamini!
[emoji16][emoji16][emoji16] hiyo aya ya mwisho imenitisha baby
 
Hilo nakubaliana nawe wengine wana asili ya ukorofi na kupenda kudhalilisha wenzao kwa kila namna.

Mwingine unapiga goti unaomba poo, unakimbilia chini ya uvungu bado ana wewe ......

Kama umesoma kule juu kuna mmoja ye alipeleka simu na kuuliza jina la mpigaji simu akapewa kofi zito

Kupigwa sio ishara ya ukorofi hata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
With all due respect naomba nitofautiane na wewe kimtizamo, Hakuna anaependa kupiga labda awe na mkono mwepesi.

Wako wanawake pasua kichwa amini nakwambia nimeshuhudia kwa ndugu yangu (bro), bro ni mkimya sana ila mke maneno mengi sana. Kuna siku sikuamini macho yangu mana ugomvi ulikuwa mkubwa hatari.

Sitaki kusema mengi ila mwanamke anaweza kukupush hadi mwisho aone utachomfanya, so diplomasia yako kwa mazingira ya kiafrika ni nadra sana kua applicable. Nlichojifunza kwa kisa cha bro ni kuwa wanawake kuna mda wanataka makofi mawili matatu wakae kwenye font fed.

Sent using Jamii Forums mobile app
We umeshuhudia sasa unaelewa hali halisi! Wasiojua vitu hivi wanatuona sie ma Adolph Hitler! Mwanamke usipokaa nae ndani ya kuta 4 kwa zaidi ya miezi 6 huwezi kuelewa lolote...wanakera sana!
 
Thats simple kwenye uchumba na mtu ambaye uko nae ilimradi tu! But for the woman you really fond for its a different story bro. Yani unaona kuliko umuache its better umrekebishe hata kwa kofi maana anavyofanya anakuzingua!
Alafu ukishampiga nafsi inakusuta unaanza kumwomba msamaha, . [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom