Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Kwanza tukubaliane hamna mtu anayependa kumpiga mkewe labda kama wale wenye mkono wa kupiga kabisa kabisa.

Mimi maisha ya ujana haya sijawahi piga mwanamke akikosea ishu ya kupigwa, namuacha badala ya kumpiga.

Huyu mwanamke wa sasa ni mpole nikisema anasikia vizuri tu na kufuata maelekezo hivyo kusema kumpiga ni matumizi ya nguvu yasiyo ya lazima na kufanya awe nunda.

Ila mpenzi wangu akiniuliza hivi ukinioa nikikuuzi sana utanipiga? namwambia ukweli kabisa tokea tumeanza mahusiano hujawahi fanya kitu kibaya mpk Nika lose control ila haimaanishi sitakuja kukupiga ukizingua.Kofi moja kubwa la nguvu litakuhusu.

Tukubaliane hapa 70% ya wanawake bila Kofi Moja kubwa la nguvu kwa mwaka mara Moja au mbili,ndoa nyingi zisingedumu.

Inafikiaga kipindi mwanamke aelewi kabisa hata ukijaribu kurudia rudia badooooo yaani anakuwa kama amekuzoea, anakudharau sasa zinapoanza dharau na makofi yanakuwa automatic tu yaani mkono unakuwa mwepesi tu.

Huwez kumuacha mwanamke au kupeleka kesi kwa wazazi eti mke wangu anisikilizi nisaidieni au eti mke wangu nikimwambia sipendi majibu ya dharau hataki kwahiyo namuacha khaaa lazima tutumie njia zote ya upole,ya serious,ya ukali, makofi ndo sasa yakuachana...

Sent using Jamii Forums mobile app
kapeace ndio unataka iwe hivi?
 
Na hili ndilo nisilolitaka la kisirani cha kila wakati na mengineyo. Warembo wote hawa? Kama imeshindikana kuelewana kwa kukaa chini na kuzimaliza tofauti zetu kwa kuongea kipigo kitaongeza tu tatizo husika.
Thats simple kwenye uchumba na mtu ambaye uko nae ilimradi tu! But for the woman you really fond for its a different story bro. Yani unaona kuliko umuache its better umrekebishe hata kwa kofi maana anavyofanya anakuzingua!
 
Ok mwanamke wa umri gani anafaa kupigwa ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka nitoe siri za kambi wewe!

Kwa ufupi tu jitahidini mcontrol hasira zenu na mikono yenu muifanye mizito katika hili km una pepo au malezi yamekuathiri kaombewe,

tembelea wataalamu wa kisaikolojia watawasaidieni

Mwanamke utaemuoa mwambie udhaifu wako ulipo hii itamfanya yeye akusaidie kuacha hiyo tabia au ikitokea ukamuadhibu basi akupe msamaha wa dhati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom