orturoo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 3,102
- 5,347
nihamie wapi? Kichapo utakula ukikosa nidhamu maana mwanamke ni sehemu ya watoto.Aisee mimi unipige hivi labla uhame Dunia
nihamie wapi? Kichapo utakula ukikosa nidhamu maana mwanamke ni sehemu ya watoto.Aisee mimi unipige hivi labla uhame Dunia
Hahaha tatizo hawatakuelewa, wanawake wana tabia za kipekee sana hawafanani hata kidogo! Tofauti na sie vidume tabia na itikadi zetu ni universal!
Kuna mwanamke ukimdekeza anakuwa appreciating, anazidi kuinjoy na kukurejeshea wema. Kuna mwingine ukimdekeza anaanza dharau na kutaka kukupanda kichwani! Very problematic creatures! Kuna ambaye anataka akikuzingua umkaushie hadi aombe msamaha. Mwengine anataka akizengua umpige ndio anajiskia amani na kuzidisha penzi. Asee wacha niishie hapa tu!
Yani wewe tena nakuelewa sana mpenzi, kidomo domo ndo switch on ya makofi ilipo! Ukijua tu kukaa kimya na kusema samahani au yameisha mpenzi wangu. Sikugusi hadi unaingia kaburini[emoji16][emoji16][emoji16] rafiki hadi wewe, nilivyo mtoto mzuri mimi mtu anatoa wapi sababu ya kunipiga? Kiukweli siwezi kutoa uhuru kwa mtu wa kunipiga anavyojisikia, ikitokea ananipiga afanye hivyo kwa uoga sio mtu kisa ameoa anajiona ana haki ya kufanya chochote kwenye mwili wangu hiyo haikubaliki kabisa
Serious akinipiga kiasi hicho ama zake ama zangu nitatumia njia yoyote nimuumize.
Sasa unakuta huyo ni type 2! Ukipiga kofi anarudi katika mstari nyoofu anajua yupo na dume!Wa kufurahia kipigo itakuwa ni mtu wa mara labda
Sasa ukipangiwa zamu ya kupika hapo mzee hata ukimpiga haisaidii huyo ni ameshakudharau mpk mwisho
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa akili zako sio.Wa kufurahia kipigo itakuwa ni mtu wa mara labda
Sasa ukipangiwa zamu ya kupika hapo mzee hata ukimpiga haisaidii huyo ni ameshakudharau mpk mwisho
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante mpenzi, ninafurahi sana kukupata weweYani wewe tena nakuelewa sana mpenzi, kidomo domo ndo switch on ya makofi ilipo! Ukijua tu kukaa kimya na kusema samahani au yameisha mpenzi wangu. Sikugusi hadi unaingia kaburini
wewe itakua umeolewa na ki ben 10Serious akinipiga kiasi hicho ama zake ama zangu nitatumia njia yoyote nimuumize.
Mkuu mwili huu hujawahi kupigwa na sidhani kama nitapigwa sichukui wanaume wa ajabu ajabu nimekosea huwa naeleweshwa mtoto wa kike kwa lugha lainiiii sio ubondia kama una mbavu mashindano yapo ya kulipwa.nihamie wapi? Kichapo utakula ukikosa nidhamu maana mwanamke ni sehemu ya watoto.
Lakini katika hali halisi kupigwa kupo tu.Mbona wamefunguka kuna pande mbili,moja wanasifia kupiga na tusiosifia tena tunaainisha hasara na faida
Wengi wenu wanaume mmesifia wachache tu ndo hawakubaliani na kipigo, sijui ulitaka watu wafungukeje
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa jibu ilo ungekua karibu ungekua kwenye ambulance! SaizMkuu mwili huu hujawahi kupigwa na sidhani kama nitapigwa sichukui wanaume wa ajabu ajabu nimekosea huwa naeleweshwa mtoto wa kike kwa lugha lainiiii sio ubondia kama una mbavu mashindano yapo ya kulipwa.
Wakati babaako anakupiga ulikuwa unajihami? Unajua tatizo la wanawake wa sikuhizi mnaozeshwa kiholela bila wazazi ku pass values! Obviously mwanaume anaekuoa anaenda ku assume majukumu ya baba yako na kakaako at the same time!Kwa hiyo mtu ukimpiga abakie tu kama ng'ombe ashindwe hata kujihami loh hivi ninyi watu mnahisi mnamiliki ulimwengu eeh?
Hao ni wanawake wasio jua kufanya kazi.Hio tabia ya wanawake wakishaona mmechuma vya kutosha! Mna nyumba kibao miradi tofauti ndio unaskia kama vipi kila mtu achukue ustaarabu wake!
Pole mimi sweet wangu nikimkosea huwa hanipigi zaidi ya kiss mwili mzima na maneno matamu tunaombana msamaha yanakwisha.kwa jibu ilo ungekua karibu ungekua kwenye ambulance! Saiz
Ki ben huwa hawapigiwewe itakua umeolewa na ki ben 10
Pole sana Dada.Asa namwachacha sababu ya kibao ama?! Sikumwacha wala, ila nililia wiki nzima!
Chanzo ni simu yake iliita nikaifuata kumchukulia, kusoma jina linasomeka barafu wangu mie nikamwambia barafu wako anakupigia simu daaahhh nilisikia tuu kibao na kile kimotorola chake ninacho mkononii nikaona mbingu inatetema, nyota zoote ziko sebleni hatimaye nikadondoka chiini! Dk tano nzima sikuelewa nini kinaendelea kabisaaa nyota zikakoma machozi yakaanza sasa!
Hicho ni kile tunaita kipigo kitakatifu!Me nishawahi boss, ila now anajitambiua na me sikudhamiria kufanya hivyo , Just kihere here chake nikipiga napiga kama naua , .
Mi nilikuwa namwambia kuwa nitakupiga since january to dec, siku nilipombariki heshima imekaa mkao
Sent using Jamii Forums mobile app
Serious akinipiga kiasi hicho ama zake ama zangu nitatumia njia yoyote nimuumize.