Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Haha kuna mtu hapa atakuja kukulazimisha kuwa huwa unapigwa, watu wa humu bwana wanachekesha kama sio kusikitisha
Anafikiri kuwa anavyoishi na mwenzie ndivyo na wengine wanaishi, ndoa haina formula moja ni kila mtu ana utaratibu wake, sina nguvu ila nishakataa huo ujinga hatua ya kunipiga inamaana tumechokana anidhalilishe kama mtoto kweli
 
Mkuu mbona weye hujafunguka kuhusu suala hili?

Ushawahi nyanyua mkono wako kumpiga mkeo, mpenzi,Demu??
Sababu ilikuwa nini ?
Je ni sahihi kumpiga MWANAMKE/MKEO/MPENZI??

MWANAMKE USHAWAHI KUPIGWA NA MPENZI/MUME WAKO ULIJISIKIAJE?


Kama ushawahi Kumpiga mkeo/mpenzi sababu ilikuwa nini? Na baada ya hapo ulichukua hatua gani kulimaliza hilo??
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisa.....just imagine unampiga then umpande halafu kabisa pasipo aibu utegemee ajitoe kufurahia tendo??

Bora yako una aibu kumpiga mwanamke na mwanaume shababi hampigi mwanamke wake

Hongera tena na isitokee ukateleza katika hilo
Na hili ndilo nisilolitaka la kisirani cha kila wakati na mengineyo. Warembo wote hawa? Kama imeshindikana kuelewana kwa kukaa chini na kuzimaliza tofauti zetu kwa kuongea kipigo kitaongeza tu tatizo husika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila mkiwa mnapigana mabao ndio kunakuwa na ndoa
Mara nyingine mnatakiwa mrudishwe mstarini kwa namna hiyo ingawa sijawahi kuwaza kumpiga mwanamke sababu huwa sioni pa kupiga na siwezi kupigana na mtu. Mara zote ambazo nakuwa naingia kwenye mahusiano na binti yeyote huwa namwambia hilo ila naweka angalizo mapeeema kabisa kuwa kumwambia hivyo isiwe tiketi ya kunidharau.
 
Back
Top Bottom