Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Thats simple kwenye uchumba na mtu ambaye uko nae ilimradi tu! But for the woman you really fond for its a different story bro. Yani unaona kuliko umuache its better umrekebishe hata kwa kofi maana anavyofanya anakuzingua!
Kwamba kupiga ni alama ya kumpenda!!
Kwakweli usinipende km ni hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah, rafiki!
Hapa naomba uzidi kupiga goti kuomba mtu mwenye upendo na asiye na mkono wa kupiga.
[emoji16][emoji16][emoji16] rafiki hadi wewe, nilivyo mtoto mzuri mimi mtu anatoa wapi sababu ya kunipiga? Kiukweli siwezi kutoa uhuru kwa mtu wa kunipiga anavyojisikia, ikitokea ananipiga afanye hivyo kwa uoga sio mtu kisa ameoa anajiona ana haki ya kufanya chochote kwenye mwili wangu hiyo haikubaliki kabisa
 
Unataka nitoe siri za kambi wewe!

Kwa ufupi tu jitahidini mcontrol hasira zenu na mikono yenu muifanye mizito katika hili km una pepo au malezi yamekuathiri kaombewe,

tembelea wataalamu wa kisaikolojia watawasaidieni

Mwanamke utaemuoa mwambie udhaifu wako ulipo hii itamfanya yeye akusaidie kuacha hiyo tabia au ikitokea ukamuadhibu basi akupe msamaha wa dhati

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wawe na staha ya maneno, kujua kipi kinafaa kuongea katika mazingira gani.
 
Hakika mkuu,watu wanafikiri kwenye ndoa tunapiga wanawake kisa mfumo dume,wanawake wanatofautiana sana,bila makofi wengine ndani mnaweza kuwekeana mpaka zamu ya kupika na kusafisha nyumba.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha tatizo hawatakuelewa, wanawake wana tabia za kipekee sana hawafanani hata kidogo! Tofauti na sie vidume tabia na itikadi zetu ni universal!

Kuna mwanamke ukimdekeza anakuwa appreciating, anazidi kuinjoy na kukurejeshea wema. Kuna mwingine ukimdekeza anaanza dharau na kutaka kukupanda kichwani! Very problematic creatures! Kuna ambaye anataka akikuzingua umkaushie hadi aombe msamaha. Mwengine anataka akizengua umpige ndio anajiskia amani na kuzidisha penzi. Asee wacha niishie hapa tu!
 
[emoji16][emoji16][emoji16] rafiki hadi wewe, nilivyo mtoto mzuri mimi mtu anatoa wapi sababu ya kunipiga? Kiukweli siwezi kutoa uhuru kwa mtu wa kunipiga anavyojisikia, ikitokea ananipiga afanye hivyo kwa uoga sio mtu kisa ameoa anajiona ana haki ya kufanya chochote kwenye mwili wangu hiyo haikubaliki kabisa
Zidi kuomba katika hilo, upate asiye na mkono wa kupiga.
 
Mbona wamefunguka kuna pande mbili,moja wanasifia kupiga na tusiosifia tena tunaainisha hasara na faida

Wengi wenu wanaume mmesifia wachache tu ndo hawakubaliani na kipigo, sijui ulitaka watu wafungukeje
Naona wengi wa wachangiaji wanajifanya ni wasio na mihemko ya hasira, hatutaki tu kusema ukweli kwa tunayoyafanya majumbani mwetu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom