Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,115
Panda boti inayoenda Zanzibar then shuka kituo cha tatu utanikuta nakusubiria
Sent using Jamii Forums mobile app
Panda boti inayoenda Zanzibar then shuka kituo cha tatu utanikuta nakusubiria
Kumbe bado singo...Hata mimi ikitokea nikaingia ndoani nitabadili kuepuka usumbufu wa hapa na pale sio lazima iwe michepuko
Sent using Jamii Forums mobile app
Shunie, i wish to meet you!!!No yangu ni ileile toka tigo wanaitwa buzz mpaka nimeingia kwenye ndoa nipo nayo, kikubwa ni wewe tu unavyoamua uishi kuwa sasa hivi kila kitu naachana nacho nimeshaamua kuingia kwenye maisha ya ndoa.
Hahhaha tuombe uzima mkuu hakuna kinachoshindikana ila wahenga wa jf nawaogopa mimiShunie, i wish to meet you!!!
Hata mimi waniogopa come on...nisingeandika hapa hadharani kama ningekuwa na nia mbaya!!!Hahhaha tuombe uzima mkuu hakuna kinachoshindikana ila wahenga wa jf nawaogopa mimi
Mweeh pole sana. Unaumwa nini tena ?Naumwa.
Mweeh pole sana. Unaumwa nini tena ?
mpaka nimeingia kwenye ndoa.
Eee hivi umesahau kwamba nakusubiria wewe utangaze nia?Kumbe bado singo...
Jamaaani, nani anayekuonea mdogo wangu huyo nije kumchapa!
Watu wanabadili namba na kuhama makazi kukimbia michepuko yaani mtu anatoka mbagala anahamia kibaha wewe unasema hicho tu. Hii ni vita kama vita nyingine yoyote tu na inasababisha wakimbizi wengi kwa mwaka
Jamaaani, nani anayekuonea mdogo wangu huyo nije kumchapa!
Hee hutaki kusema nani kakupiga ???
Sijambo auntie mzima weweAuntie nakusalimia.
akilipata hilo limbwata atajuta mwenyewe why alisemaHawa cartoonist wanatuonea sana aise .. ina maana sisi wanaume ndio huwa tunachepuka peke yetu !?View attachment 1009697View attachment 1009698View attachment 1009699
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa mkuuHata mimi waniogopa come on...nisingeandika hapa hadharani kama ningekuwa na nia mbaya!!!
By the way JF ni sehemu tu watumia intaneti wanabangaiza, the real us ni wa huku mitaani...
Wa afya tele, msalimie mama wa vidio kolu.Sijambo auntie mzima wewe
MhhhMimi sijawahi kubadili no istoshe simu yangu ni yangu,yake ni yake
Sent using Jamii Forums mobile app