hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
- Thread starter
- #161
Hahaa .. huyo mzee mwehu kweli !,.. eti kamjibu mkewe limbwata haulijui !!!akilipata hilo limbwata atajuta mwenyewe why alisema
Ili kuwaje sasa ..mpaka ukavunja screen ...Chapa BAN tu shenzy type, mi kuna mwingine alitaka nimsajilie line, nikablock calls zote juz saa nne na nusukapiga hadi nikavunja screen ya cm ambayo haijamaliza hata week nimemfyekelea mbali
Sent using Jamii Forums mobile app
itakua anajijua sasa hana msaada ila kaona msaada wake ni limbwata,,, ubwege huoHahaa .. huyo mzee mwehu kweli !,.. eti kamjibu mkewe limbwata haulijui !!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtihani sana ..kuna wa mama wanalia sana kwenye ndoa zaoitakua anajijua sasa hana msaada ila kaona msaada wake ni limbwata,,, ubwege huo
no more crying, suluhisho ni kuwapiga limbwata tu
Aisee hii kali ... lakini hapa anaye chukua uamuzi wa kubadilisha ni owner wa hiyo line mwenyew " nasio kwamba amepewa shinikizo na mume/mke wake mtarajiwa".....Hata ka ni nayo kwanza kuolewa haimaanishi Mimi mtumwa mtu aingilie simu yangu, na Mimi sihangaiki.na simu yake. In short huwezi mchunga mtu mzima
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha ..msi-tufanyie hivyo Jamanino more crying, suluhisho ni kuwapiga limbwata tu
hahaaaha hiyo nahisi ndo dawa, umeona mwenyewe mwanaume ndo kaliomba hajalazimishwa anataka ili atulie
Daah .. kwahuyo sawa"..., ila kwa sisi ambao tumetulia " msitufanyie hivyo aiseAisee hii kali ... lakini hapa anaye chukua uamuzi wa kubadilisha ni owner wa hiyo line mwenyew " nasio kwamba amepewa shinikizo na mume/mke wake mtarajiwa".....
Na anaamua kufanya hivyo baada ya kuona kuwa kuna watu ambao wanaweza kuhatarisha mahusiano yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha!!! sikuwa nalijua hili...Eee hivi umesahau kwamba nakusubiria wewe utangaze nia?
basi kumbe nilikuwa nasubiria meli JNIAHahaha!!! sikuwa nalijua hili...
HeeeNo yangu ni ileile toka tigo wanaitwa buzz mpaka nimeingia kwenye ndoa nipo nayo, kikubwa ni wewe tu unavyoamua uishi kuwa sasa hivi kila kitu naachana nacho nimeshaamua kuingia kwenye maisha ya ndoa.
Yeah " Mara nyingi huwa hivyo .... Madeni Au kesi kubwa inayoweza kumfikisha Pabaya
Oa Mangi tukija jf tunajitoa ufahamu tu nje ya jf tupo watu wa tofauti kabisa
Kuna katoto ninekapata haki ya mungu nakaoa hakaa...Oa Mangi tukija jf tunajitoa ufahamu tu nje ya jf tupo watu wa tofauti kabisa