Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,012
- 54,174
Huu uzi wewe ndio muhusika, ushauri wangu kwako kubadili line sio njia badala hivi uliniambia ndoa wiki ijayo 😊😊😊
Huu uzi wewe ndio muhusika, ushauri wangu kwako kubadili line sio njia badala hivi uliniambia ndoa wiki ijayo 😊😊😊
Hahaa ... Leo umevuta bangi !? .... mimi nifunge ndoa mara ngapi sasa !?Huu uzi wewe ndio muhusika, ushauri wangu kwako kubadili line sio njia badala hivi uliniambia ndoa wiki ijayo
Aisee ... mwambie Hawachi labda atakuelewahata kama ubadilishe vp no. kama tabia yako ni hiyo ya kuwa na michepuko mambo yanabaki yale yale miaka nenda miaka rudi, ushauri wangu watu wangebadili mioyo yao na si kubadili no.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niongeze na mimiHahaa nilitegemea statement ....
Kwa taarifa yako sasa mimi na Nyani Ngabu ndio mabikira pekee wakiume tuliobaki humu jf "..... haki ya Mungu hatujawahi kumla mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja kwanza ..tukufanyie uchunguzi . Tusije kukuongeza _ bila kuku chunguza ..kumbe ikawa ume bakiza members wawili tu (ke) ili idadi iweze kutimia wanawake 50
Hahaha Kabla haujaanza kufanya huo uchunguzi naomba kwanza uniombe radhi mkuu.Ngoja kwanza ..tukufanyie uchunguzi . Tusije kukuongeza _ bila kuku chnuguza ..kumbe ikawa ume bakiza members wawili tu (ke) ili idadi iweze kutimia wanawake 50
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenzi wako analichukuliaje hilo suala la wewe kuzima simu unapokuwa nyumbani ...Sitokaa nibadili namba zangu, labda nizime tu baadhi ya simu nikiwa nyumbani
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha basi samahani "Hahaha Kabla haujaanza kufanya huo uchunguzi naomba kwanza uniombe radhi mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naongelea simu za kazini maana waweza jikuta upo kwenye maandalizi ya kulala unapigiwa simu inayokubidi kutoka hususani usiku ndio nilimaanishaMwenzi wako analichukuliaje hilo suala la wewe kuzima simu unapokuwa nyumbani ...
Then yeye nae akichukua huo uamuzi wa kuzima simu akiwa nyumbani ..utauchukulia vipi huo uamuzi wake !?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ohhh hapo sawa nilidhani waogopa usumbufu wa michepukoNaongelea simu za kazini maana waweza jikuta upo kwenye maandalizi ya kulala unapigiwa simu inayokubidi kutoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Lol ..ndio naanza kufanya calculations hapa ... hauwezi kuamini display ya calculator imeandika "
Hahaha uchunguzi wako ni Batili mkuu. Umekosa viwango vya kiutafitiLol ..ndio naanza kufanya calculations hapa ... hauwezi kuamini display ya calculator imeandika "
Please due to the number of numbers " we can not read tha numbers
Salaalee "....
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha subiri kwanza kesho ... naelekea TBS .. usianze kujiwekea defense mechanism mapema hapaHahaha uchunguzi wako ni Batili mkuu. Umekosa viwango vya kiutafiti
Sent using Jamii Forums mobile app
Rafiki naona maisha sasa yamekunyookea,nimekumbuka wakati unanza safari ya kuja DSM.Haya maoni yako sijayaelewa!
umesema michepuko yote unawasiliana nayo kwa simu ya kazini, ukimaanisha kwamba ukishatoka kazini michepuko haikupati tena, sababu simu iko kazini kule.
Sasa inakuwaje tena ukifika nyumbani wanakupigia na simu unaiangalia tu sheikh wangu
Sina cha kuongeza hapo kaka.Haha subiri kwanza kesho ... naelekea TBS .. usianze kujiwekea defense mechanism mapema hapa
Sent using Jamii Forums mobile app