Je, tunaweza kujenga Tanzania ya viwanda bila kutegemea mabeberu? Ukaribu beberu na 'next door' ni fimbo au biashara tu?

Kenya mnailaumu tu bure

Historia yetu ndiyo inayotuangusha,.
Kuherere cha mwalimu ndiyo kinatufanya tuwe hivi,
Tuliweza sana kwenye azimio la arusha, tukaendesha nchi kwa mazao japo yalipilata changamoto hasa uuzaji wa nuts kule marekani, je, ni kwa nini tuliamua kujibebesha africa mabegani?
Tazama nchi tulizozisaidia kupata uhuru zimetufaidisha nini? Tukang'oa reli ya kusini, tukaacha kujenga barabara ya Kusini , tukaachana na Mtwara corridor kwa kigezo cha ukombozi wa kusini mwa afrika, rais anajenga nchi changa huku anapigana vita hata vita uganda ni kutokana akili mbovu za mwalimu na haiba binfsi.

Tuassume nchi hii tusungejiingaje huku kote leo tungekuwa wapi?
Mwalimu pia alikuwa na akili kidogo aliamini hatuwez kutoboa bila elimu kwa watu wetu ikiwezekana wote, alijenga viwanda huku anatusomesha lkn elimu ya chini kwa watu wachache angalau angejenga shule nyingi hata waliomfuta hawakujua kama elimu ni mtaji kidogo mkapa mwishoni akagundua.
Tulipo leo katika elimu ya kata wao walikuwa miaka 80-90 na Moi aliahakikisha wakenya wanasoma tena la nane lao lilikuwa bora kuliko la saba letu na mpaka leo elimu yao ni bora kuliko yetu
Tazama bharesa alianza na wakenya kibao wakati anaanzisha kiwanda na hapa tz course nyingi za viwandani hatuna ukizipata ni kuanzia degree nawakati kenya unaanza na cheti.

Tusiwalaumu kenya waliwekeza kwenye elimu na walikuwa wabunifu,
Wao ndio wa kwanza kuwa na kiwanda cha kuchakata minofu ya samaki, walivumbua uvuvi WA dagaa ziwa Victoria na soko LA kwanza LA dagaa ni Kenya badae sirari na arusha ambapo wanunuzi wengi wakiwa wakenya kote huko.

Ebu tuangalie viwanda vilivyopo Kenya miaka 20 iliyopita ndiyo tunayoangaika kuvianzisha leo Tz na ndio maana elimu ya kitaalamu ilipanuka mapema, uzalishaji WA maziwa Kenya, chai, nyama na matunda ni makubwa kuliko hapa, viwanda vidogo Kenya n vingi ambavyo mtaji ni ml 15-30-50 je tungekuwa na elimu nzuri tusingejua hili, wakati tunabinafsisha kuuma viwanda vikubwa wenzako uchumi WA viwanda wakawakabidhi wananchi na wageni waaminifu.

Nilishituka sana siku hiyo kumuona Kenyatta white house lkn Kenyatta katumia nafasi ya taarifa ya kamanda WA marekani Africa kwenye Congress na jinsi Kenya ilivyoamua kutumika na marekani lkn nao wameamua kuitumia sasa kwa faida.
Soon senate itatoa huo mkataba na utasainia ikiwa tayari Kenya ndio nchi inayouza vitu vya afrika mashariki nje kwa wingi, wakati mayala unataja nyanya tayari wamefika kwenye avocado na Magu anajua maana naye mwaka huu anaenda kuuza kwa wakenya tena wananunua mtini ukiwa mchanga.

Tujiulize tu mh alivyoenda Mara alitumia sh .ngapi tukijumuisha na perdiem zinazplipwa na mikoa, wilaya, halmashauri na mashirika utagundua n pesa inayotosha kumpeleka UN na kujadili mambo vema, lkn tukumbuke Kenyatta hotuba mwaka Jana UN alitoa siku ya kwanza na aliaddress mambo ya nchi yake kama leading country in Afrika.

Elimu
Elimu
Elimu itatuweka pazur

Nimesikia wanafanya review ya Sera ya elimu ya mwaka 2014 lkn hatujashirikishwa wadau WA nje ya taasisi kubwa

Napenda tupunguze madarasa ya msingi tena yabaki manne .

Viwanda na mabeberu kama watu wako hawana elimu ya viwanda kitaalamu n bure kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya mnailaumu tu bure

Historia yetu ndiyo inayotuangusha,.
Kuherere cha mwalimu ndiyo kinatufanya tuwe hivi,
Tuliweza sana kwenye azimio la arusha, tukaendesha nchi kwa mazao japo yalipilata changamoto hasa uuzaji wa nuts kule marekani, je, ni kwa nini tuliamua kujibebesha africa mabegani?
Tazama nchi tulizozisaidia kupata uhuru zimetufaidisha nini? Tukang'oa reli ya kusini, tukaacha kujenga barabara ya Kusini , tukaachana na Mtwara corridor kwa kigezo cha ukombozi wa kusini mwa afrika, rais anajenga nchi changa huku anapigana vita hata vita uganda ni kutokana akili mbovu za mwalimu na haiba binfsi.

Tuassume nchi hii tusungejiingaje huku kote leo tungekuwa wapi?
Mwalimu pia alikuwa na akili kidogo aliamini hatuwez kutoboa bila elimu kwa watu wetu ikiwezekana wote, alijenga viwanda huku anatusomesha lkn elimu ya chini kwa watu wachache angalau angejenga shule nyingi hata waliomfuta hawakujua kama elimu ni mtaji kidogo mkapa mwishoni akagundua.
Tulipo leo katika elimu ya kata wao walikuwa miaka 80-90 na Moi aliahakikisha wakenya wanasoma tena la nane lao lilikuwa bora kuliko la saba letu na mpaka leo elimu yao ni bora kuliko yetu
Tazama bharesa alianza na wakenya kibao wakati anaanzisha kiwanda na hapa tz course nyingi za viwandani hatuna ukizipata ni kuanzia degree nawakati kenya unaanza na cheti.

Tusiwalaumu kenya waliwekeza kwenye elimu na walikuwa wabunifu,
Wao ndio wa kwanza kuwa na kiwanda cha kuchakata minofu ya samaki, walivumbua uvuvi WA dagaa ziwa Victoria na soko LA kwanza LA dagaa ni Kenya badae sirari na arusha ambapo wanunuzi wengi wakiwa wakenya kote huko.

Ebu tuangalie viwanda vilivyopo Kenya miaka 20 iliyopita ndiyo tunayoangaika kuvianzisha leo Tz na ndio maana elimu ya kitaalamu ilipanuka mapema, uzalishaji WA maziwa Kenya, chai, nyama na matunda ni makubwa kuliko hapa, viwanda vidogo Kenya n vingi ambavyo mtaji ni ml 15-30-50 je tungekuwa na elimu nzuri tusingejua hili, wakati tunabinafsisha kuuma viwanda vikubwa wenzako uchumi WA viwanda wakawakabidhi wananchi na wageni waaminifu.

Nilishituka sana siku hiyo kumuona Kenyatta white house lkn Kenyatta katumia nafasi ya taarifa ya kamanda WA marekani Africa kwenye Congress na jinsi Kenya ilivyoamua kutumika na marekani lkn nao wameamua kuitumia sasa kwa faida.
Soon senate itatoa huo mkataba na utasainia ikiwa tayari Kenya ndio nchi inayouza vitu vya afrika mashariki nje kwa wingi, wakati mayala unataja nyanya tayari wamefika kwenye avocado na Magu anajua maana naye mwaka huu anaenda kuuza kwa wakenya tena wananunua mtini ukiwa mchanga.

Tujiulize tu mh alivyoenda Mara alitumia sh .ngapi tukijumuisha na perdiem zinazplipwa na mikoa, wilaya, halmashauri na mashirika utagundua n pesa inayotosha kumpeleka UN na kujadili mambo vema, lkn tukumbuke Kenyatta hotuba mwaka Jana UN alitoa siku ya kwanza na aliaddress mambo ya nchi yake kama leading country in Afrika.

Elimu
Elimu
Elimu itatuweka pazur

Nimesikia wanafanya review ya Sera ya elimu ya mwaka 2014 lkn hatujashirikishwa wadau WA nje ya taasisi kubwa

Napenda tupunguze madarasa ya msingi tena yabaki manne .

Viwanda na mabeberu kama watu wako hawana elimu ya viwanda kitaalamu n bure kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app


Kenya walikuwa koloni. Unaandika kama umetoka kunywa togwa. Katika zama hizi za uwazi na uchumi wetu unavyokwenda sina shaka yoyote na nchi kama Kenya. The price is higher than that.
 
Kenya mnailaumu tu bure

Historia yetu ndiyo inayotuangusha,.
Kuherere cha mwalimu ndiyo kinatufanya tuwe hivi,
Tuliweza sana kwenye azimio la arusha, tukaendesha nchi kwa mazao japo yalipilata changamoto hasa uuzaji wa nuts kule marekani, je, ni kwa nini tuliamua kujibebesha africa mabegani?
Tazama nchi tulizozisaidia kupata uhuru zimetufaidisha nini? Tukang'oa reli ya kusini, tukaacha kujenga barabara ya Kusini , tukaachana na Mtwara corridor kwa kigezo cha ukombozi wa kusini mwa afrika, rais anajenga nchi changa huku anapigana vita hata vita uganda ni kutokana akili mbovu za mwalimu na haiba binfsi.

Tuassume nchi hii tusungejiingaje huku kote leo tungekuwa wapi?
Mwalimu pia alikuwa na akili kidogo aliamini hatuwez kutoboa bila elimu kwa watu wetu ikiwezekana wote, alijenga viwanda huku anatusomesha lkn elimu ya chini kwa watu wachache angalau angejenga shule nyingi hata waliomfuta hawakujua kama elimu ni mtaji kidogo mkapa mwishoni akagundua.
Tulipo leo katika elimu ya kata wao walikuwa miaka 80-90 na Moi aliahakikisha wakenya wanasoma tena la nane lao lilikuwa bora kuliko la saba letu na mpaka leo elimu yao ni bora kuliko yetu
Tazama bharesa alianza na wakenya kibao wakati anaanzisha kiwanda na hapa tz course nyingi za viwandani hatuna ukizipata ni kuanzia degree nawakati kenya unaanza na cheti.

Tusiwalaumu kenya waliwekeza kwenye elimu na walikuwa wabunifu,
Wao ndio wa kwanza kuwa na kiwanda cha kuchakata minofu ya samaki, walivumbua uvuvi WA dagaa ziwa Victoria na soko LA kwanza LA dagaa ni Kenya badae sirari na arusha ambapo wanunuzi wengi wakiwa wakenya kote huko.

Ebu tuangalie viwanda vilivyopo Kenya miaka 20 iliyopita ndiyo tunayoangaika kuvianzisha leo Tz na ndio maana elimu ya kitaalamu ilipanuka mapema, uzalishaji WA maziwa Kenya, chai, nyama na matunda ni makubwa kuliko hapa, viwanda vidogo Kenya n vingi ambavyo mtaji ni ml 15-30-50 je tungekuwa na elimu nzuri tusingejua hili, wakati tunabinafsisha kuuma viwanda vikubwa wenzako uchumi WA viwanda wakawakabidhi wananchi na wageni waaminifu.

Nilishituka sana siku hiyo kumuona Kenyatta white house lkn Kenyatta katumia nafasi ya taarifa ya kamanda WA marekani Africa kwenye Congress na jinsi Kenya ilivyoamua kutumika na marekani lkn nao wameamua kuitumia sasa kwa faida.
Soon senate itatoa huo mkataba na utasainia ikiwa tayari Kenya ndio nchi inayouza vitu vya afrika mashariki nje kwa wingi, wakati mayala unataja nyanya tayari wamefika kwenye avocado na Magu anajua maana naye mwaka huu anaenda kuuza kwa wakenya tena wananunua mtini ukiwa mchanga.

Tujiulize tu mh alivyoenda Mara alitumia sh .ngapi tukijumuisha na perdiem zinazplipwa na mikoa, wilaya, halmashauri na mashirika utagundua n pesa inayotosha kumpeleka UN na kujadili mambo vema, lkn tukumbuke Kenyatta hotuba mwaka Jana UN alitoa siku ya kwanza na aliaddress mambo ya nchi yake kama leading country in Afrika.

Elimu
Elimu
Elimu itatuweka pazur

Nimesikia wanafanya review ya Sera ya elimu ya mwaka 2014 lkn hatujashirikishwa wadau WA nje ya taasisi kubwa

Napenda tupunguze madarasa ya msingi tena yabaki manne .

Viwanda na mabeberu kama watu wako hawana elimu ya viwanda kitaalamu n bure kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Wako bize kuuwa upinzani kuliko kuwa bize kuuwa umasikini wakenya wako bize kuuwa umasikini
 
Umeangalia takwimu ya FID uingiaji wa makampuni mapya ya nje kwenye uwekezaji mpya,umeangalia export, umeangalia purchasing power?Umeangalia marejesho ya mikopo ktk mabenk ? Au unatoa porojo tu

Hilo swala nakuuliza wewe na umegota kutegemea Mabeberu, nchi inajengwa na wananchi haijengwi na mabwenyeye. Pesa tunazo sisi wenyewe kama hupendi nenda kajinyonge. Serikali hii inapokopa pesa kutoka nje unafikiri inacheza upatu. Enzi zenu za JK kula na kusaza bila kunawa zimepitwa na wakati.

Unaweza kupita hata hapa chini kujirizisha. Nchi yetu ipo pazuri kuliko jana.



Why Tanzania continues to borrow despite huge reserves
 
Pamoja na hoja yako ambayo unafikiri kwamba rais anaposafiri ndio analeta maendeleo na kukuza uchumi sio sahihi. Katika ulimwengu wa leo na technology ilivyokuwa hivi sasa sio lazima usafiri nje ndio unaweza kufanya yale ambayo yanaonekana kwa macho hivi sasa Tanzania.

Watanzania wengi ni wabinafsi hawaangalii benefits ambazo zinatokana na kuwa na Kiongozi kama JPM. Sio nyinyi mliombatiza JK jina la Vasco da Gama? Je, JK alifanikiwa vipi katika kuendeleza maendeleo ya Tanzania katika miaka 10 aliyokaa? Tulichokuwa tumeambulia ni baadhi ya wachache kujitajirisha, hata watoto wake nao walikuwa marais.

Mwacheni JPM aivushe Tanzania kwenye level nyingine ambayo nyinyi hamkuizoea. Hakuna kiongozi yeyote duniani ambaye hatamani kukutana na JPM, lakini hivi sasa ana kazi moja tu kuisafisha hii nchi ili kizazi kijacho kiondokane na umasikini uliokubuhu. We deserve better than what JK, BWM did for our Country. Those FDI in actual fact we do not need them, as we have everything to develop with our own abundant resources. Those few individuls who used to think Tanzania ni shamba la bibi watakiona cha mtema kuni.

Maendeleo hayaletwi na wewe kujaziwa noti mfukoni bila kuwa na elimu na uwezo wa kutatua matatizo yako wewe mwenyewe. Huu ujinga ambao Western Countries wamewaloga nao ni kama ukoma. Nchi ina kila aina ya utajiri kupiga hatua, tumuunge mkono JPM kwa hali na mali na kuachana na vibaraka wanaojitembeza na bakuli.
Kada huyo. Pole sana kwa taarifa yako tunaelekea Zimbabwe .muda utaongea
 
Hilo swala nakuuliza wewe na umegota kutegemea Mabeberu, nchi inajengwa na wananchi haijengwi na mabwenyeye. Pesa tunazo sisi wenyewe kama hupendi nenda kajinyonge. Serikali hii inapokopa pesa kutoka nje unafikiri inacheza upatu. Enzi zenu za JK kula na kusaza bila kunawa zimepitwa na wakati.

Unaweza kupita hata hapa chini kujirizisha. Nchi yetu ipo pazuri kuliko jana.



Why Tanzania continues to borrow despite huge reserves
Miaka 60 hata kujenga vyoo tunategemea misaada, tumeshindwa tokomeza nyumba za nyasi watu wanaishi kama wanyapori kwenye nyasi.No country is self sufficient ili uendelee ni lazima uliwe.Kama unakopa na kuwekeza kwenye miradi ya kisiasa je
 
Moja Nchi 25 zilizopewa mkopo kuokoa uchumi usianguke Kutokana na Janga la Corona Tanzania imenyimwa.Pili nchi 27 zilizosamehewa Madeni Kutokana na Corona Tanzania haimo.Sasa mabeberu...
Duh...!. Mabeberu buana, hii Corona wanataka kuitumia kama fimbo ya kutuchapia!.
P
 
Kenya mnailaumu tu bure

Historia yetu ndiyo inayotuangusha,.
Kuherere cha mwalimu ndiyo kinatufanya tuwe hivi,
Tuliweza sana kwenye azimio la arusha, tukaendesha nchi kwa mazao japo yalipilata changamoto hasa uuzaji wa nuts kule marekani, je, ni kwa nini tuliamua kujibebesha africa mabegani?
Tazama nchi tulizozisaidia kupata uhuru zimetufaidisha nini? Tukang'oa reli ya kusini, tukaacha kujenga barabara ya Kusini , tukaachana na Mtwara corridor kwa kigezo cha ukombozi wa kusini mwa afrika, rais anajenga nchi changa huku anapigana vita hata vita uganda ni kutokana akili mbovu za mwalimu na haiba binfsi.

Tuassume nchi hii tusungejiingaje huku kote leo tungekuwa wapi?
Mwalimu pia alikuwa na akili kidogo aliamini hatuwez kutoboa bila elimu kwa watu wetu ikiwezekana wote, alijenga viwanda huku anatusomesha lkn elimu ya chini kwa watu wachache angalau angejenga shule nyingi hata waliomfuta hawakujua kama elimu ni mtaji kidogo mkapa mwishoni akagundua.
Tulipo leo katika elimu ya kata wao walikuwa miaka 80-90 na Moi aliahakikisha wakenya wanasoma tena la nane lao lilikuwa bora kuliko la saba letu na mpaka leo elimu yao ni bora kuliko yetu
Tazama bharesa alianza na wakenya kibao wakati anaanzisha kiwanda na hapa tz course nyingi za viwandani hatuna ukizipata ni kuanzia degree nawakati kenya unaanza na cheti.

Tusiwalaumu kenya waliwekeza kwenye elimu na walikuwa wabunifu,
Wao ndio wa kwanza kuwa na kiwanda cha kuchakata minofu ya samaki, walivumbua uvuvi WA dagaa ziwa Victoria na soko LA kwanza LA dagaa ni Kenya badae sirari na arusha ambapo wanunuzi wengi wakiwa wakenya kote huko.

Ebu tuangalie viwanda vilivyopo Kenya miaka 20 iliyopita ndiyo tunayoangaika kuvianzisha leo Tz na ndio maana elimu ya kitaalamu ilipanuka mapema, uzalishaji WA maziwa Kenya, chai, nyama na matunda ni makubwa kuliko hapa, viwanda vidogo Kenya n vingi ambavyo mtaji ni ml 15-30-50 je tungekuwa na elimu nzuri tusingejua hili, wakati tunabinafsisha kuuma viwanda vikubwa wenzako uchumi WA viwanda wakawakabidhi wananchi na wageni waaminifu.

Nilishituka sana siku hiyo kumuona Kenyatta white house lkn Kenyatta katumia nafasi ya taarifa ya kamanda WA marekani Africa kwenye Congress na jinsi Kenya ilivyoamua kutumika na marekani lkn nao wameamua kuitumia sasa kwa faida.
Soon senate itatoa huo mkataba na utasainia ikiwa tayari Kenya ndio nchi inayouza vitu vya afrika mashariki nje kwa wingi, wakati mayala unataja nyanya tayari wamefika kwenye avocado na Magu anajua maana naye mwaka huu anaenda kuuza kwa wakenya tena wananunua mtini ukiwa mchanga.

Tujiulize tu mh alivyoenda Mara alitumia sh .ngapi tukijumuisha na perdiem zinazplipwa na mikoa, wilaya, halmashauri na mashirika utagundua n pesa inayotosha kumpeleka UN na kujadili mambo vema, lkn tukumbuke Kenyatta hotuba mwaka Jana UN alitoa siku ya kwanza na aliaddress mambo ya nchi yake kama leading country in Afrika.

Elimu
Elimu
Elimu itatuweka pazur

Nimesikia wanafanya review ya Sera ya elimu ya mwaka 2014 lkn hatujashirikishwa wadau WA nje ya taasisi kubwa

Napenda tupunguze madarasa ya msingi tena yabaki manne .

Viwanda na mabeberu kama watu wako hawana elimu ya viwanda kitaalamu n bure kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania imekuwa na ujinga wa miaka mitano mitano ya Maendeleo (Five years development plan) toka wakati wa Nyerere ambayo hadi leo imefeli vibaya. Magufuli na wenzake wamebaki kulalamikia mabeberu tu. Miaka yote tangu uhuru wa Tanganyika tumekuwa tukipewa misaada lakini badala ya kutumia kufanyia miradi ya maana imekuwa ikiendeshea serikali hizo za kidhalimu za Nyerere hadi huyo Magufuli ambaye ndiyo bomu kabisa. Leo anataka asamehewe mkopo kisa CORONA....Kwani hizo pesa zilitumika kwa ajili ya kutibu CORONA au kwa matumizi mengine.
Paskali, Magufuli na Musukuma mtalaamu sana mabeberu lakini tatizo lipo kwenye hao viongozi wabovu.
 
Duh...!. Mabeberu buana, hii Corona wanataka kuitumia kama fimbo ya kutuchapia!.
P

Mkuu the financial sector ya sasa hivi duniani inawapendelea mabeberu ie exchange rate mechanism waliyoiweka. FYI UK hivi sasa wanajikopesha £60 billion for the next three months kutokanana Covid-19. (Just look at that figure ….. ….. ……. without Covid-19 huwa wanaweka average ya 5-6 billion kila mwezi. Hii vita ni kubwa sana.
 
Wanabodi,

Wanabodi, Ijumaa ya leo nimepata fursa ya kuendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa, leo nikiulizia kuhusu msimamo wa rais Magufuli kutosafiri nje hata kwa zile safari zenye maslahi makubwa kwa taifa, jee msimamo huo una Maslahi kwa Taifa?.

Bandiko hili ni la swali moja kuu, kuwa Tanzania tumedhamiria kujenga Tanzania ya Viwanda, Jee tunaweza kuijenga hiyo Tanzania ya Viwanda bila kutegemea mitaji ya FDI kutoka nchi za nje zikiwemo nchi za Mabeberu?. Namna mzuri ya kuhamasisha FDI ni kupitia kwenye ziara za nje za rais, tuliona kwa JK, tukaona kwa Kagame na sasa tunaona kwa Uhuru, jee rais wetu Magufuli aendelee tuu kujifungia ndani tukitumai hizi FDI zitatufuata zenyewe?.

Msimamo wa Rais wetu Dr. John Pombe Joseph Magufuli , JPM, wa kutosafiri nje una maslahi kwa taifa kwenye hili, hivyo kama tunategemea FDI kutoka nje, lazima rais Magufuli akubali kutoka awafuate ili kuvutia FDI zao au azidi kushikilia msimamo, tukomae nao, kwa hoja ya mgonjwa ndio hufuata mganga, kama wana shida waje?.

Kwa wavivu wa kusoma makitu marefu, tuishie hapa, wengine tuendeleeni

Tena nashauri, baada ya Uchaguzi Mkuu ujao, yule kijana "pendwa" asipogombea ubunge popote, rais amteue tuu awe Mbunge wa kuteuliwa amfanye deputy wa MFA, na ataandamana nae UNGA, halafu tupimane ubavu na kubwa la mabeberu, nani zaidi kati ya Hapa Kazi akiongozana na Dogo Janja na Pempei na Kubwa Jinga!.

Tena kwa sasa bara zima ka Africa tuko kwenye kukamilisha kusaini African Continental Free Trade Area (AfCFTA) Agreement, lakini sisikii Tanzania tunajipangaje. Hivyo Kenya akisaini FTA na Marekani, then njia ya bidhaa za Africa Mashariki kuingia Marekani ni kupitia Kenya.

Hitimisho, kwa vile nimesema mengi humu, naomba kumalizia na lile swali la msingi la hoja hii kwa Maslahi ya Taifa, kuhusu msimamo wa rais Magufuli kutosafiri nje hata kwa zile safari zenye maslahi makubwa kwa taifa, jee msimamo huo una Maslahi kwa Taifa?.

Kwa kuwa Tanzania tumedhamiria kujenga Tanzania ya Viwanda, Jee tunaweza kuijenga hiyo Tanzania ya Viwanda bila kutegemea mitaji ya FDI kutoka nchi za nje zikiwemo nchi za Mabeberu, kuna umuhimu kwa rais wetu kusafiri nchi katika ziara za kimkakati ili kuvutia FDI?.

Kwa wale wa swala, Ijumaa Kareem
Kwa sisi wengine, Furahi Dei Njema

Paskali
Nafikiri mkuu wa nchi,mzalendo namba moja alishatoa majibu. Masuala madogo madogo kama kutafuta wawekezaji ni ishu za kushughulikiwa na mabalozi wanaomuwakilisha. Yeya acha achape kazi hapa hapa nchini. Na kwa kufanya hivyo anaokoa pesa nyingi tu ambazo zingetumika kwa safari zisizo na ulazima sana sababu wanaomuwakilisha wapo huko na wanaweza kufanya kazi kwa niaba yake.
 
Mkuu the financial sector ya sasa hivi duniani inawapendelea mabeberu ie exchange rate mechanism waliyoiweka. FYI UK hivi sasa wanajikopesha £60 billion for the next three months kutokanana Covid-19. (Just look at that figure ….. ….. ……. without Covid-19 huwa wanaweka average ya 5-6 billion kila mwezi. Hii vita ni kubwa sana.
Hivi kwa nini sisi wa waafrika tusipambane na hili janga kwa umoja wetu? Eu inatoa stimulus package kwa member states. Kwa nini Au isikae na African development Bank na kutoa pesa za kuchochea uchumi? Au kila kitu mpaka kulaumu mabeberu. Au African development Bank hawana pesa?
 
Haukusikia kiongozi Mkubwa anakwambia "wao hawaji kwetu na sisi hatuendi kwao"? Ndio diplomacy waliyonayo Kichwani hiyo...kwenda kutafuta wawekezaji na mitaji kwao ni kujikomba, sababu tuna gas, almasi, dhahabu, ardhi nzuri na vyote havipatikani sehemu nyingine duniani then we are so unique.. Watakuja tu, wataachaje na sisi tuna resources zote hizi na hazipatikani sehemu yoyote ile duniani?
Hivi ule mradi wa kuchimba helium gas umefikia wapi?
 
Hivi kwa nini sisi wa waafrika tusipambane na hili janga kwa umoja wetu? Eu inatoa stimulus package kwa member states. Kwa nini Au isikae na African development Bank na kutoa pesa za kuchochea uchumi? Au kila kitu mpaka kulaumu mabeberu. Au African development Bank hawana pesa?

Mkuu financial sector ipo tofauti sana na jinsi unavyofikiri ……. ...….. UK wanachapisha hizo billion 60 kila mwezi then wanakwambia kila £ moja wanabadili kwa gharama ile ile kabla ya Covid-19 kutua. Au kwa maana nyingine wanachapisha hizo £ kwenye machine haiwa-cost kitu chochote kwa sababu wanatakiwa kununua dawa kutoka kwa mchina au popote pale wewe unakubali kwamba hiyo ndio thamani yake wakati ki-kweli thamani yake ilibidi ipungue. Ni kama wakati ule R G Mugabe alipoamua kuchapisha dola zake kule Zim na matokeo yake unayaona. Hawa jamaa wametukalia kooni sana wanajifanya wajuzi sana tuamke Afrika. £ thamani yake ishuke. Hata USA nao lazima wameanza kufanya haka kamchezo.
 
Mkuu financial sector ipo tofauti sana na jinsi unavyofikiri ……. ...….. UK wanachapisha hizo billion 60 kila mwezi then wanakwambia kila £ moja wanabadili kwa gharama ile ile kabla ya Covid-19 kutua. Au kwa maana nyingine wanachapisha hizo £ kwenye machine haiwa-cost kitu chochote kwa sababu wanatakiwa kununua dawa kutoka kwa mchina au popote pale wewe unakubali kwamba hiyo ndio thamani yake wakati ki-kweli thamani yake ilibidi ipungue. Ni kama wakati ule R G Mugabe alipoamua kuchapisha dola zake kule Zim na matokeo yake unayaona. Hawa jamaa wametukalia kooni sana wanajifanya wajuzi sana tuamke Afrika. £ thamani yake ishuke. Hata USA nao lazima wameanza kufanya haka kamchezo.
Mh...
 
Back
Top Bottom