GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,548
- 108,882
- Thread starter
- #81
Jibu ni rahisi tu sherehe zinafanyika usukumani na sisi ni wasukumaKwanini na mwaka huu pia Pesa za Sherehe za Uhuru nazo zisipelekwe/zisielekezwe katika Miradi mikubwa ya Maendeleo ya Wananchi badala yake kwa mwaka huu Sherehe zipo, Mhudhuriaji Mkuu nae atahudhuria ambapo Kitaifa zitafanyika Mkoani Mwanza?
Nasubiri majibu yenu Wakuu.
Aliwaambia wana Nzega hata yeye mwenyewe hana pesa... alipofika Kahama akazigawa...Kwanini na mwaka huu pia Pesa za Sherehe za Uhuru nazo zisipelekwe/zisielekezwe katika Miradi mikubwa ya Maendeleo ya Wananchi badala yake kwa mwaka huu Sherehe zipo, Mhudhuriaji Mkuu nae atahudhuria ambapo Kitaifa zitafanyika Mkoani Mwanza?
Nasubiri majibu yenu Wakuu.
Aliwaambia wana Nzega hata yeye mwenyewe hana pesa... alipofika Kahama akazigawa...
Aliposema hawezi "kujipendelea kwa kujenga barabara ya lami Chattle..."
Ngachoka kabisa...
Tuvumiliane tu...
Tuvumiliane...Ndiyo Kwanza 2019 na bado tunae hadi 2025 kama akina ' Mkulima ' Patrick Mgoya ( Mdogo wake wa Damu kabisa wa aliyekuwa Mkuu wa JKT Meja Jenerali Mstaafu Mzee Raphae Muhuga ) na Juma Nkamia hawajashinda ' Mikakati ' yao ya kutaka atuongoze tena kwa 7 X 2 hivyo kupelekea tuendelee kuwa nae hadi 2039 hapo.
Mnafiki tu.Hakuna cha kuokoa fedha wala nini.Kwanini na mwaka huu pia Pesa za Sherehe za Uhuru nazo zisipelekwe/zisielekezwe katika Miradi mikubwa ya Maendeleo ya Wananchi badala yake kwa mwaka huu Sherehe zipo, Mhudhuriaji Mkuu nae atahudhuria ambapo Kitaifa zitafanyika Mkoani Mwanza?
Nasubiri majibu yenu Wakuu.
Si kweli kwamba mwaka huu inafanyika mwaka ujao haifanyiki, kila mwaka tunaadhimisha Siku ya Uhuru na siku hiyo huwa ni ya mapumziko. Nilichoona kilibadirika kidogo ni gwaride pale uwanjani na watu kutokwenda kula pilau ikulu, mkuu hata kutokupika pilau tarehe 25/12 au ibada kutofanyika church haimaanishi krismas imeahirishwa.Na kwanini mwaka huu zinafanyika na mwaka ujao hazifanyiki? Hii Kwako Wewe ni Akili au Matope? Nasubiri Majibu yako tafadhali.
Hivi wewe ndio uliochaguliwa kuwaongoza wa Tanzania au kijiba change roho kinakuumiza ??Kwanini na mwaka huu pia Pesa za Sherehe za Uhuru nazo zisipelekwe/zisielekezwe katika Miradi mikubwa ya Maendeleo ya Wananchi badala yake kwa mwaka huu Sherehe zipo, Mhudhuriaji Mkuu nae atahudhuria ambapo Kitaifa zitafanyika Mkoani Mwanza?
Nasubiri majibu yenu Wakuu.
Naona umenena kweli kabisa, hiyo 2020 ni Mwenyekiti wetu wa sacco's ndio atatufaa au yule wa wazalendoNatokea Kanda ya Ziwa ( anakotoka Yeye Mr. Kujimwambafai Daima ) na sina Desturi ya Unafiki ambao nakuona unao na unaudumisha hapa. Ukweli ni kwamba Mheshimiwa anaendekeza Ukabila na Kupendelea mno Mkoa au Maeneo atokayo kitu ambacho ni Hatari na Kibaya kwa Ustawi wa Umoja wetu kama Watanzania. Kwakuwa una IQ za ' Punje za Mchele ' hutoweza Kunielewa katika hili ila ukituliza vyema Akili zako utanielewa.
Tena kama Mimi ndiyo ningekuwa Yeye Mheshimiwa katika ' Kuwazuga ' Watanzania kuwa sina ' Ukabila ' ningekataa Kushiriki Sherehe za mwaka huu ambazo Kitaifa zitafanyika Mkoani Mwanza ambako ana DNA nako ' Kiukabila ' na badala yake ningekuwa wa Kwanza Kukubali Kushiriki kama zingefanyika Kisiwani Pemba au Mkoani Singida au Lindi.
Katika hili hata mumtee vipi au mjitetee vipi hii Hisia ya ' Ukabila ' na ' Ukanda ' wake haiwezi Kufutika ndani Vichwa vya Watanzania wenye IQ's Kubwa ambao kila Kukicha ndiyo wanazidi tu Kuongezeka hapa nchini Tanzania. Namalizia kwa Kusisitiza bila haya, uwoga wala aibu kuwa Mheshimiwa apunguze Ukabila na Ukanda ataiharibu hii nchi.
Nimemaliza.
Mkuu unaogopa Nini Mhudhuliaji Mkuu akiwepo? Tuanze hapo kwanza Maana Uzi Wako umekaa kioga Sana.Kwanini na mwaka huu pia Pesa za Sherehe za Uhuru nazo zisipelekwe/zisielekezwe katika Miradi mikubwa ya Maendeleo ya Wananchi badala yake kwa mwaka huu Sherehe zipo, Mhudhuriaji Mkuu nae atahudhuria ambapo Kitaifa zitafanyika Mkoani Mwanza?
Nasubiri majibu yenu Wakuu.
Ukiwa "more predictable" ni hatari sana. Kwa mazingira ya sasa consistency inapaswa kutumiwa kwa tahadhari.Hùyu bwana hana consistence. Sabab kubwa ni kupenda sifa asizostahili.
Kuna hatari ya kuusikia urais wako kwenye bomba muda wote kama hutabadili fikra.Mimi ningekuwa rais ningeadhimisha nyumbani kwangu kama birthday. Wenye wivu mjinyonge
UHURU WA NCHI GANI? IVI TANZANIA ILIWAHIPO KUTAWALIWA. ZAIDI YA MKOLONI CCMKwanini na mwaka huu pia Pesa za Sherehe za Uhuru nazo zisipelekwe/zisielekezwe katika Miradi mikubwa ya Maendeleo ya Wananchi badala yake kwa mwaka huu Sherehe zipo, Mhudhuriaji Mkuu nae atahudhuria ambapo Kitaifa zitafanyika Mkoani Mwanza?
Nasubiri majibu yenu Wakuu.