Je, tumekubali na tutahudhuria Sherehe za Uhuru za mwaka huu wa 2019 kama Mgeni Rasmi kwakuwa zitafanyika Mwanza au?

Kufuta sherehe mwaka fulani hakuwi ni kielelezo cha kupoteza maana na umuhimu.

Kama umechunguza hata hii miaka ambayo sherehe zinafanyika gharama zake zimepunguzwa sana.

Somo ni moja tu huwezi ukakesha bar unakunywa bia za laki mbili halafu kesho asubuhi unakopa hela ya supu.
Sherehe za Uhuru hazikupaswa kuchezewa kwa namna yoyote ile,sasa naona sherehe hizo zimekosa mantiki maana imekuwa mtu mmoja ndio anaamua mwaka huu ziwepo mwakani zisiwepo.kama tatizo lilikuwa gharama basi ingekuwa vyema gharama zingepunguzwa lakini sherehe zikabaki zikifanyika kila mwaka au tuamue kuzifuta moja kwa moja kama tunaona hazina faida yoyote na ni gharama kuzifanya.
 
Sherehe za Uhuru hazikupaswa kuchezewa kwa namna yoyote ile,sasa naona sherehe hizo zimekosa mantiki maana imekuwa mtu mmoja ndio anaamua mwaka huu ziwepo mwakani zisiwepo.kama tatizo lilikuwa gharama basi ingekuwa vyema gharama zingepunguzwa lakini sherehe zikabaki zikifanyika kila mwaka au tuamue kuzifuta moja kwa moja kama tunaona hazina faida yoyote na ni gharama kuzifanya.

Mkuu sidhani kama Phillipo Bukililo anauwezo wa Kuelewa haya Mawazo yako Chanya na Makubwa yenye Tija kwani Yeye Akilini mwake ( pamoja na Wenzake ) Wachache ' Slogan ' yao ni ' Kusifu na Kupamba ' Daima lakini siyo Kuangalia Jambo kwa Kina na nje ya Boksi.

Umeandika vyema kabisa na Kimantiki mno kama lengo ni Kubana Matumizi basi nilidhani hata mwaka huu tungeendelea vile vile Kutofanya hizi Sherehe za badala yake hizo Pesa tuzielekeze katika Miradi ya Maendeleo kuliko Kukataa isifanyike lakini mwaka huu 2019 kwakuwa unafanyika Mkoani Mwanza ( Ukanda ambao Yeye Mheshimiwa ) anatokea huko zinafanyika halafu wenye Akili tukisema kuwa hapa kuna harufu ya ' Ukabila ' na ' Ukanda ' tunaonekana hatufai au tunamchukia au ni Wapinzani au tunatumika na Mabeberu.

Mwisho kabisa sikubaliani na Mtindo huu ambacho sioni Aibu Kuuita ni wa Kipuuzi na Kitoto kabisa wa Kuacha Kufanya ( Kuadhimisha ) Sherehe muhimu za Uhuru wa nchi yetu ambayo ni sehemu ya Tunu yetu kama Taifa kwa Kigezo cha Kubana Matumizi ( ambayo hata hivyo baadae huwa hatupewe Mchanganuo mzima ) wa hizo Pesa zilivyotumika katika hiyo Miradi inayoelekezwa.

Kitendo cha Kusitisha Sherehe za Uhuru wa Tanzania kwa kila mwaka ni Kujidhalilisha na Kuwatukana Watanzania ambao walipambana Usiku na Mchana katika Kututafutia Sisi akina GENTAMYCINE na JOHN huu Uhuru ambao leo hii ' tunajimwambafai ' nao. Tena Mimi binafsi kutokuruhusu hizi Sherehe Kufanyika naona ni kama vile ' tunawatukana ' Waasisi Wakuu akina Mwalimu Nyerere na Karume ( bila kuwasahau wale wote waliokuwa ni Wasaidizi wao ) katika Kuipigania hii Tanzania yetu.

Tubane Matumizi katika Shughuli zingine ila siyo Sherehe za Uhuru za kila mwaka na hapa Wasaidizi wa Mheshimiwa wamsaidie kwani wanampoteza na kama haya Maamuzi huwa anayaamua Yeye kama Yeye basi anakosea na anatukosea mno Watanzania. Ni bora wapunguze mahitaji mengine ambayo huwa yamo katika Maandalizi ya hizo Sherehe za Uhuru lakini Sherehe ziwepo na siyo Kutofanyika kabisa. Kitendo hiki ' Kinatudharaulisha ' mno Watanzania nje ya Mipaka yetu.
 
Si jeshi tu na usalama wa taifa pia.

Wakiwa wengi huko pia tatizo liko wapi? Halafu nakupa ' Assignment ' ndogo nenda kafanye Utafti wako kisha njoo uniambie kama ni kweli huko TISS kumejaa Watu wa Mkoani Mara ( Musoma ) hivi kuna Makabila ambayo yanaongoza ' Kujazana ' huko TISS kama Wahehe ( Iringa ), Wawambwe ( Rukwa ), Wanyakyusa ( Mbeya ), Wadigo ( Tanga ) na Wapemba / Waunguja ( Zanzibar ) Mkuu?

Nasubiri unibishie katika hili.
 
Wakiwa wengi huko pia tatizo liko wapi? Halafu nakupa ' Assignment ' ndogo nenda kafanye Utafti wako kisha njoo uniambie kama ni kweli huko TISS kumejaa Watu wa Mkoani Mara ( Musoma ) hivi kuna Makabila ambayo yanaongoza ' Kujazana ' huko TISS kama Wahehe ( Iringa ), Wawambwe ( Rukwa ), Wanyakyusa ( Mbeya ), Wadigo ( Tanga ) na Wapemba / Waunguja ( Zanzibar ) Mkuu?

Nasubiri unibishie katika hili.
Bila kusahau wasukuma kwa miaka ya hivi karibuni wamejazana sana huko Idarani...
 
Hilo halina ' Ubishi ' Mkuu na anayeliratibu hilo Zoezi zima la Wao ' Kuingizwa ' wengi huko yuko Kwake pale Makao Makuu Mataa ya Ilala Boma ambapo Jengo Kuu la Walimu nchini Tanzania kupotezea muda Wao likiwa linamtizama kwa chini.
Nimekuelewa vyema Mkuu. Sema ndio hivyo wateuliwa wengi wa huko hawana uledi wa uongozi wakikabidhiwa ulaji wanaharibu. Wana mihemuko ya ajabu mno sema ndio hivyo mwisho wanaishiwa kubadilishiwa ulaji pindi pale wanapovurunda.
 
Na 2017 zilipofanyika Dodoma nayo ilikuwa ni nini? Au ubara dhidi ya upwani!
 
Una uhakika wa 100% kwa wakati wa Awamu ya Kwanza ya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere Jeshi lilijaa Watu kutoka Mkoani Mara? Labda kwa Kukusaidia tu na tena yakupasa Ushukuru ni kwamba Tanzania nzima hakuna Wanamume wa kweli kama watokao Mkoani Mara ( Musoma ) na unavyoona nchi hii imetulia hasa Kiusalama na Kijeshi jua ni kwasababu ya Wanamume wa Mkoani Mara hivyo unatakiwa uwashukuru sana tu.

Kwahiyo ulitaka Jeshi lisiwe na Watu wengi kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) na liwe na Watu wengi kutoka Mkoani Kagera, Singida, Kigoma, Kondoa Dodoma na Ukerewe Mwanza Mkuu? Tena ukiendelea Kuwasema vibaya Watu ( Wanamume ) kutoka Mkoani Mara tutaacha Kuwalindeni Watanzania kisha mpigwe vizuri na Rwanda, Malawi na Kenya ndipo mtuheshimu na mjue Umuhimu wetu.

Jamani hiyo Mikoa niliyoitaja hapo na maeneo yake ni ya Watani zangu Wakubwa na huwa napenda Kuwatania / Kuwacharura mno.

Nimekudharau rasmi. Tafuta hela unywe bia wewe,
 
Na 2017 zilipofanyika Dodoma nayo ilikuwa ni nini? Au ubara dhidi ya upwani!

Na kwanini mwaka huu zinafanyika na mwaka ujao hazifanyiki? Hii Kwako Wewe ni Akili au Matope? Nasubiri Majibu yako tafadhali.
 
Kuna mtu alinisisitiza wakati uliobaki ni wa kujiombea mwisho mwema tu usiangalie hivi wala vile maana vitendo na hulka za wanadamu zinaumiza na kusugua nafsi.
 
Natokea Kanda ya Ziwa ( anakotoka Yeye Mr. Kujimwambafai Daima ) na sina Desturi ya Unafiki ambao nakuona unao na unaudumisha hapa. Ukweli ni kwamba Mheshimiwa anaendekeza Ukabila na Kupendelea mno Mkoa au Maeneo atokayo kitu ambacho ni Hatari na Kibaya kwa Ustawi wa Umoja wetu kama Watanzania. Kwakuwa una IQ za ' Punje za Mchele ' hutoweza Kunielewa katika hili ila ukituliza vyema Akili zako utanielewa.

Tena kama Mimi ndiyo ningekuwa Yeye Mheshimiwa katika ' Kuwazuga ' Watanzania kuwa sina ' Ukabila ' ningekataa Kushiriki Sherehe za mwaka huu ambazo Kitaifa zitafanyika Mkoani Mwanza ambako ana DNA nako ' Kiukabila ' na badala yake ningekuwa wa Kwanza Kukubali Kushiriki kama zingefanyika Kisiwani Pemba au Mkoani Singida au Lindi.

Katika hili hata mumtee vipi au mjitetee vipi hii Hisia ya ' Ukabila ' na ' Ukanda ' wake haiwezi Kufutika ndani Vichwa vya Watanzania wenye IQ's Kubwa ambao kila Kukicha ndiyo wanazidi tu Kuongezeka hapa nchini Tanzania. Namalizia kwa Kusisitiza bila haya, uwoga wala aibu kuwa Mheshimiwa apunguze Ukabila na Ukanda ataiharibu hii nchi.

Nimemaliza.
Kila rais hukumbana na hizi hisia zetu za kibinadamu. Mwinyi alilaumiwa alituhumiwa kuendekeza uislam.

Mkapa akatuhumiwa kutokuwa na nguvu mbele ya shemeji zake.

Kikwete kalaumiwa kupendelea marafiki waliomuingiza ikulu.

Sio ajabu kwa huyu kutuhumiwa ukabila na undugu, lawama ni hulka ya binadamu.

Ninaangalia mapana ya malengo yake sitazami siasa za malalamiko.

Kaka punguza dharau za watoto wa shule ya msingi wewe ni binadamu ambaye hujui kesho yako ipo vipi.

Mtu anapochania uzi wako sio kibali cha wewe kutaka kutumia lugha za matusi. Ukiwa mtu mzima uanze kuandika maoni yenye lugha ya staha.
 
Na kwanini mwaka huu zinafanyika na mwaka ujao hazifanyiki? Hii Kwako Wewe ni Akili au Matope? Nasubiri Majibu yako tafadhali.
Sio lazima kila mwaka zifanyike ni utamaduni tuliojizoeza.

Sidhani kama imeandikwa kwenye katiba kwamba kila mwaka ni lazima tuazimishe sherehe za uhuru kwa gwaride na makomandoo kuvunja mawe.
 
Nimekudharau rasmi. Tafuta hela unywe bia wewe,

Nikidharauliwa na Popoma / Pumbavu kama Wewe wala sishtuki. Na sipo hapa JamiiForums Kumpendelea John au Freeman bali nipo hapa Kuwasilisha Mawazo yangu Chanya kutokana na Mitazamo yangu mbalimbali juu ya Masuala Mtambuka. Na nilipojiunga hapa sikusema kuwa nahitaji kuwa upande wowote ule. Ukipatia nitakusifu lakini ukikosea tu sitokuvumilia badala yake nitakusiliba ( nitakusema ) tu. Mbona pale nikiwa naanzisha Mada za Kumsifu John na Chama chake na Serikali yake nzima huwa hujitokezi Kunishukuru? Pumbavu! Katika vitu ambavyo siviwezi Maishani mwangu ni kuwa Mnafiki, Kujipendekeza kwa Mtu na Kusema Uwongo au Kuficha Upuuzi ambao unaonekana wazi wazi hata kwa Watu ambao hawajaenda Shule au Uwezo wao wa Kuchambua Masuala ( Issues ) ni mdogo.

This is GENTAMYCINE.
 
Kila rais hukumbana na hizi hisia zetu za kibinadamu. Mwinyi alilaumiwa alituhumiwa kuendekeza uislam.

Mkapa akatuhumiwa kutokuwa na nguvu mbele ya shemeji zake.

Kikwete kalaumiwa kupendelea marafiki waliomuingiza ikulu.

Sio ajabu kwa huyu kutuhumiwa ukabila na undugu, lawama ni hulka ya binadamu.

Ninaangalia mapana ya malengo yake sitazami siasa za malalamiko.

Kaka punguza dharau za watoto wa shule ya msingi wewe ni binadamu ambaye hujui kesho yako ipo vipi.

Mtu anapochania uzi wako sio kibali cha wewe kutaka kutumia lugha za matusi. Ukiwa mtu mzima uanze kuandika maoni yenye lugha ya staha.

Huna IQ ya Kumuelewa vyema GENTAMYCINE na tafadhali nakuomba upesi sana acha Kunipotezea muda wangu hapa sawa?
 
Mkuu sidhani kama Phillipo Bukililo anauwezo wa Kuelewa haya Mawazo yako Chanya na Makubwa yenye Tija kwani Yeye Akilini mwake ( pamoja na Wenzake ) Wachache ' Slogan ' yao ni ' Kusifu na Kupamba ' Daima lakini siyo Kuangalia Jambo kwa Kina na nje ya Boksi.

Umeandika vyema kabisa na Kimantiki mno kama lengo ni Kubana Matumizi basi nilidhani hata mwaka huu tungeendelea vile vile Kutofanya hizi Sherehe za badala yake hizo Pesa tuzielekeze katika Miradi ya Maendeleo kuliko Kukataa isifanyike lakini mwaka huu 2019 kwakuwa unafanyika Mkoani Mwanza ( Ukanda ambao Yeye Mheshimiwa ) anatokea huko zinafanyika halafu wenye Akili tukisema kuwa hapa kuna harufu ya ' Ukabila ' na ' Ukanda ' tunaonekana hatufai au tunamchukia au ni Wapinzani au tunatumika na Mabeberu.

Mwisho kabisa sikubaliani na Mtindo huu ambacho sioni Aibu Kuuita ni wa Kipuuzi na Kitoto kabisa wa Kuacha Kufanya ( Kuadhimisha ) Sherehe muhimu za Uhuru wa nchi yetu ambayo ni sehemu ya Tunu yetu kama Taifa kwa Kigezo cha Kubana Matumizi ( ambayo hata hivyo baadae huwa hatupewe Mchanganuo mzima ) wa hizo Pesa zilivyotumika katika hiyo Miradi inayoelekezwa.

Kitendo cha Kusitisha Sherehe za Uhuru wa Tanzania kwa kila mwaka ni Kujidhalilisha na Kuwatukana Watanzania ambao walipambana Usiku na Mchana katika Kututafutia Sisi akina GENTAMYCINE na JOHN huu Uhuru ambao leo hii ' tunajimwambafai ' nao. Tena Mimi binafsi kutokuruhusu hizi Sherehe Kufanyika naona ni kama vile ' tunawatukana ' Waasisi Wakuu akina Mwalimu Nyerere na Karume ( bila kuwasahau wale wote waliokuwa ni Wasaidizi wao ) katika Kuipigania hii Tanzania yetu.

Tubane Matumizi katika Shughuli zingine ila siyo Sherehe za Uhuru za kila mwaka na hapa Wasaidizi wa Mheshimiwa wamsaidie kwani wanampoteza na kama haya Maamuzi huwa anayaamua Yeye kama Yeye basi anakosea na anatukosea mno Watanzania. Ni bora wapunguze mahitaji mengine ambayo huwa yamo katika Maandalizi ya hizo Sherehe za Uhuru lakini Sherehe ziwepo na siyo Kutofanyika kabisa. Kitendo hiki ' Kinatudharaulisha ' mno Watanzania nje ya Mipaka yetu.
Hakuna kifungu kwenye katiba kunachomzuia rais asiahirishe sherehe za uhuru. Anachofanya ni kuangalia maslahi muhimu ni yapi kwa taifa.

Mara ya kwanza aliona barabara ya Morocco ni muhimu kwa jiji la Dar na matokeo kila mkazi wa jiji hili anayaona wazi kabisa.

Tatizo letu ni kukariri maisha kudhani kwamba kila rais ni lazima awe na vipaumbele vilivyo ndani ya akili zetu.
 
Dada umeolewa na mwanaume wa kutoka mara?maana si kwa kusifia huko. Hujatujaribu na sisi wanaume wa pande nyingine. Ungefurahi mwenyewe 😂😂😂😂😂


Una uhakika wa 100% kwa wakati wa Awamu ya Kwanza ya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere Jeshi lilijaa Watu kutoka Mkoani Mara? Labda kwa Kukusaidia tu na tena yakupasa Ushukuru ni kwamba Tanzania nzima hakuna Wanamume wa kweli kama watokao Mkoani Mara ( Musoma ) na unavyoona nchi hii imetulia hasa Kiusalama na Kijeshi jua ni kwasababu ya Wanamume wa Mkoani Mara hivyo unatakiwa uwashukuru sana tu.

Kwahiyo ulitaka Jeshi lisiwe na Watu wengi kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) na liwe na Watu wengi kutoka Mkoani Kagera, Singida, Kigoma, Kondoa Dodoma na Ukerewe Mwanza Mkuu? Tena ukiendelea Kuwasema vibaya Watu ( Wanamume ) kutoka Mkoani Mara tutaacha Kuwalindeni Watanzania kisha mpigwe vizuri na Rwanda, Malawi na Kenya ndipo mtuheshimu na mjue Umuhimu wetu.

Jamani hiyo Mikoa niliyoitaja hapo na maeneo yake ni ya Watani zangu Wakubwa na huwa napenda Kuwatania / Kuwacharura mno.
 
Sio lazima kila mwaka zifanyike ni utamaduni tuliojizoeza.

Sidhani kama imeandikwa kwenye katiba kwamba kila mwaka ni lazima tuazimishe sherehe za uhuru kwa gwaride na makomandoo kuvunja mawe.

Kwahiyo hujui kuwa Sherehe za Uhuru kwa nchi yoyote ile duniani zina Tija kwa Kizazi na Vizazi lakini pia ni mojawapo ya Heshima iliyojaa Tunu ya Kitaifa kwa Taifa / Nchi husika? Naomba nitajie nchi yoyote ile duniani ambayo katika tarehe ya Uhuru kwa nchi zao huwa hawasheherekei. Halafu ni wapi au nani Kakudanganya kuwa ni lazima kila kukiwa na Sherehe za Uhuru basi Gwaride la Makomandoo liwepo? Hivi unajua ni kwanini mwaka ule ( Enzi ya Rais JK ) kulifanyika Gwaride lile Kubwa la Makomandoo hadi Silaha nzito nzito zikaonyeshwa na Jukwaani alikuwepo aliyekuwa Rais wa Malawi Mama Joyce Banda japo Rais wa Rwanda Kagame alialikwa lakini hakuja na aliwakilshwa na Balozi wake tena yule aliyemaliza muda wake hapa nchini mwaka huu? Najua zile Sherehe zilikuwa ni Kuadhimsha miaka kadhaa ya Uwepo wa JWTZ lakini ni Tukio ambalo lilipangwa ' Kimkakati ' zaidi ila najua kwa IQ yako ndogo huwezi Kujua wala Kunielewa.

Kwani hakuwezi Kufanyika Gwaride bila kuwepo kwa hilo la hao Makomandoo? Halafu nikikudharau kuwa una Uwezo mdogo wa Akili unakasirika, kuninunua na kuona nakukosea sana wakati kumbe huwa nakuwa sahihi juu yako. Jifunze sana Kujuaa Kujenga Hoja pindi ukijua unataka Kujibizana / Kubishana nami hapa Jamvini sawa? Ni Mtanzania Mpumbavu tu pekee ndiye ataweza Kusema hakuna Tija ya Kuwa na Sherehe zenye Shamrashamra za Siku ya Uhuru wa Tanzania wakati anajua fika kuwa hilo tukio hata Kitaaluma tu na Kiustawi wa nchi Kizazi kwa Kizazi hadi Kihistoria lina Umuhimu mkubwa sana tu.
 
Back
Top Bottom